akiona mwenzako ananyolewa zako tia maji! JK ajiandae maana miaka ishaenda hiyo!Wewe pia uliyelishwa hizo propaganda zako endelea kuamini hicho ulichopangiwa kuamini.
R.I.P Lowassa,
Long live JK.
akiona mwenzako ananyolewa zako tia maji! JK ajiandae maana miaka ishaenda hiyo!Wewe pia uliyelishwa hizo propaganda zako endelea kuamini hicho ulichopangiwa kuamini.
R.I.P Lowassa,
Long live JK.
Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINIMy feeling ni kwamba aliondoka siku nyingi Sana SEMA Protokali za kikubwa ndio.zilichekewesha kumtangaza!!
Nafsi yangu inaniambia yupo mwingine hatangazwi Hadi Hawa kwanza watangazwe ndio huyo atafuata coz yeye ni mkubwa zaidi kuliko Hawa wanaotangulia Sasa hivi!!
Ngoja tuone!!
Watia nia wengine ni yule Jaji Mstaafu kutokea Zanzibar Augustino Ramadhani na yule mtoto wa mzee MalechelaMwaka 2015 haukuwa rafiki kwa wagombea nafasi ya urais , hakuna yoyote angemaliza term yake ya 10 years ikiwa wangeshinda
1. JPM
2. BERNARD MEMBE
3.MAALIM SEIF
4.EDWARD LOWASSA
5.Ana Mgwila
6. nani anafuata?
Mtu alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi, sasa huo uwazir mkuu hiyo heshima inatokana na nini, mtu anasifika kwa wizi wa mali za umma, bado anapewa heshima eti ya bendera kupepea nusu mlingoti.Taifa liko gizani hatuna umeme kauchuna! Kaibukia kwingine kana kwamba suala la umeme halimhusu!
Janabi wa KJ?Duh 🙄 !
Umenitisha,
Lakini hayo ni mambo ya mwamba Cardiovascular 🫀!
Hachezi mbali na sisi wahenga 🙏🙏
Emmanuel Nchimbi na Hussein Bashe, Iddy Zungu walikuwa bado ni watiifu kwa mzee au walishamsaliti na kuunga juhudi Msoga Gang?pia ishu ya anoutoglo kuuzwa Lowasa aliamuru ukuta uvunjwe na wananchi fasta waliuvuja.
lowasa pumzika kwa amani baba
Najua alokusababishia gonjwa hili alokuwa rafiki yako mpenzi BOYZ 2 MEN aka JK ataleta unafiki mkubwa kwenye mazishi yako.
Ndo watanzania mjue Wakwere na wazaramo wana unafiki mkubwa sana.
wanakuua huku wakikuchekea
Kawaida tu mkuu, mbona unaonekana unaumia sana kuliko JK mwenyewe anayekaribia kufa kama ulivyosema?!!!akiona mwenzako ananyolewa zako tia maji! JK ajiandae maana miaka ishaenda hiyo!
Hzi huwa ni fix tuu wanasiasa ni weziHuyo katoka kwenye familia ya kitajiri tangu akiwa mtoto na biashara amefanya sana tu, si aina ya watu ambao walihitaji kujitafuta sana ili watoboe kama ilivyo kwa makupuku wengi hapa Tz.
Ni kama ilivyo kwa Mbowe tu.
Mtu wa pekee ambaye utakuwa sahihi kushangaa utitiri wa mali alizojilimbikizia ni JK kwasababu hata historia ya familia yake inakataa.
Unamaana gani hapo kwenye 'mawani'?Ulikua kwenye wale walinzi wa bavicha 2015 wenye mawani makubwa myeusi? Poleni sana.
Hii nchi ina siri sana!Hili nalo litazamweView attachment 2900393