Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Binafsi nafikiri Mtanzania aishi popote provided maisha anakubaliana nayo ila kitu kimoja ambacho watu waliokwenda Marekani miaka ya 90's wakumbuke kuwa nchi imebadilika sio kama walivyoiacha.
Halafu wasisahau ndugu zao waliowaacha TZ kwa maana kuwa wengine waliuza mali zao kuwapeleka huko lakini mpaka leo hizo mali hazijanunuliwa tena. Watu walikwenda huko wakiwa na mategemeo makubwa sana kuliko hali halisi, mtu anakubali familia iuze nyumba yao ili aende akiwa na matumaini kuwa baada ya miwzi sita atanunua tena hiyo nyumba lakini unakuta inapita hata miaka kumi hiyo nyumba wala kibanda kingine havijapatikana.
Maisha ni magumu sana everywhere, ila Marekani opportunity ni nyingi sana kulinganisha na Tanzania lakini hata hivyo na Tanzania opportunity zipo provided unatumia elimu yako.
Mimi nafikiri mtu mliyemaliza shule pamoja akaenda nje na wewe ukapata kazi Tanzania una cha kuonyesha kwa kuwa yeye akija lazima afikie kwao na kama alituma hela nyingi zinaishia kwenye matatizo ya ndugu ndio maana wanaona tabu kurudi kuanza maisha Tanzania
 
Ukitaka kupata makaratasi kiulaini tafuta kibonge halafu umuoe....lakini kuwa mwangalifu usimtie mimba..

Nyani eeeehh!!...LOL!

Yup..bonge la dili hilo...tafuta mpana na umueleze hali
halisi.Kwanza watoto wa kizungu nd'o chambo ile noma.
Mimi hii pia ningempa mtu kama advise.Haina haja kuingia
marekani na elimu yako bomba lakini huwezi kupata kazi poa
kwa sababu ya paper...mwisho unaishia kusikoeleweka kulingana
na qualification zako.It happens!
 
Kwani hii mada inamhusu nani haswa? Kama ni watanzania walioko marekani basi kingereza wanajua. Sioni choice ya lugha ni issue. Ingawa ingependeza kama ingeandikwa kwa kiswahili.

Hii mada ni for both wanaowania kuenda na waliopo ndani!
Kisha pia si ukweli eti wa-Tz walioko marekani kiingereza
wanakijua...its relative to what u mean by "wanakijua"!
Message imefika aidah kwa Kiswahili na kimombo...sasa akili
mukichwa tu!
 
Mbongo halisi nimeingia. Wazee wahuko natafuta Trucks (International), niambieni waheshmiwa bei ya gari ya 2000-2004. 6X2 semi trailer.
Nipeni site basi au info.
Alafu msirudi Bongo huku choka mbaya. Mhasibu wa kampuni yangu ana degree na mimi boss wake nimechoka. Sasa fikiria hali yake kimaisha ikoje.

Weye sasa unachekesha kweli...Huyo mhasibu asije akasoma hii makala.Nitaangalia usawa wa hizo Trucks na mambo ya website kisha tuone vipi.Ukiwa unamtu bara la uropa ingekua poa zaidi.
Shukran.
 
Watu wa Marekani wamefanikiwa sana John Mashaka maarufu kama Mwanakijiji ameweza kumiliki redio yake inaitwa KLH NEWS,website, podomatic, makochi meupe,ana suti nyeusi, ana posts zaidi ya elfu nane Jambo Forums,anaandika magazetini n.k
haya ni mafanikio makubwa sana.
 
Some of our educated brothers and sisters are increasingly unhappy and openly frustrated with USA way of life. Highly educated Tanzanians are currently working in embarrassing lower paying jobs like nursing assistants, hard labor and taxi drivers. Most of them who rushed to USA just after their college graduation walk are increasingly find themselves out of touch with reality, most of them are still fantasizing how good their peers are doing back home, most of them are turn their frustration to clubs and prostitution to end pain inside. This forced me to ask myself two questions (1) why (2) what can we do to help them.

(1) Why? USA is very different from TV shows or fanatic lifestyle you all see on TV when you land in USA you are going to find out three important things (a) You must work to survive (b) Education is very expensive (c) You have a big possibility of violating US-Laws and traditional morals on the process of succeeding in U.S.A. You need to know the following in detail first.

Work to survive:

If you work without a permit is illegal, given that fact if you don’t have enough money in your pocket minimum of $1600 a month you must work. To work in USA you need personal identification number called Social Security Number, so that means you need Social Security Card for work identification. The problem you are going to face is most highly paying jobs are increasingly sensitive to illegal Social Security Cards, which are mandatory to any job. The other problem you are going to face is the fact that your USA host friends are not going to let you jobless just because of documents since everybody is doing it why not you? From beginning of your journey you are going to find yourself compromising your traditional morals and dreams you have for USA. After few months without any source of income you are going to find yourself under desperation and pressure to do something quick to make a living possible.

Social Security Number:

To work legally in USA you need Social Security Number, but due to political pressures the process of getting Social Security is more complicated than ever. For International Student to get SSN # you need to be In Status and that means to be a full time student.
.
Education:

For an international student to qualify for any benefit he/she must be in student status, that means you need to maintain 12hrs of college classes per semester and your performance status should be “good academic standings”. Together with education one of advantage of good status includes Social Security Letter, which students used to get Social Security Number. For a regular State college cost of international student for 12 hours semester is ranging from $4000-$8,000 plus or minus, One Year is two semesters. This cost is not only ridiculous but also laughable for a middle class young Tanzania to keep up with. Some Students with higher performance in GMAT or GRE may get a break of paying out of state fees, so the real cost is going to be around $2,000-$5,000. You must also consider the fact that getting scholarship is easy said than done.

What can we do to help them?

There’s no clear answer to this questions everybody think differently, however I am going to give my opinion honestly.

Social Behavior:

In my first paragraph some people may end up with conclusion that I called all Tanzanians graduate frustrated but I am not.

Background:

Young Tanzanians started a massive immigration to USA in 1996, most of them young student who completed their Advance levels. Most of them aged between 20-23 years of age. With older Tanzanians distance themselves with this young Tanzanians they learned fast how to hustle. This young group went through ups and downs just like any other young people but at the end of day they learned how to maneuver complicated life in USA. Those Tanzanians who came here after college find themselves living the past of their fellow high school classmates’ example documents hustles, boyfriends and girlfriends, clubbing. The only problem is the fact that now they have to do this at 25-27 years of age and not early 20’s. This group who went to high school together find themselves share very few things in common socially example. Those Tanzanians graduates came here with the altitude that they are smarter than their fellow high school mates because they did not make to local colleges like UD, Mzumbe or Sokoine, but their fellow mates who immigrate to USA became more matured and street smarter. This situation put many Tanzanians who graduate abroad very uncomfortable, most of them decide early they rather face problems with lack of street awareness rather than shameful asking embarrassing question or help to those who they ones consider looser’. The behavior is still common here in United States.


What is your Take on this? Stay and Hustle or Go home before is too late?



Wengi wenu mlienda USA baada ya kuona zile prospectus za mademu wa kinyamwezi

lets face it

wabongo waliopo UK ndio wameula

60% walijilipua, wakapewa sheria wengine wakapewa passports

katika mlolongo huo:

1) walipata elimu ya Bure (at least UG STUDIES)

2) HAKI ZOTE KAMA RAIA

3) BADO WANAENDELEA KUPELEKA MAKACHALA BONGO

nyumba walipewa na wengi wao waliingia kwenye income support

ambao hawakuingia kwenye IS walipangisha nyumba zao

halafu mnashangaa iweje Shughuli haziishi UK

OHHH MNASEMA CAREER

waliosoma wengi wao walipata kazi za maana nyingi tuuu na wala hawan dream kwenda kubanana na watoto wa vigogo BOT

WASALAAM
 
Nyani eeeehh!!...LOL!

Yup..bonge la dili hilo...tafuta mpana na umueleze hali
halisi.Kwanza watoto wa kizungu nd'o chambo ile noma.
Mimi hii pia ningempa mtu kama advise.Haina haja kuingia
marekani na elimu yako bomba lakini huwezi kupata kazi poa
kwa sababu ya paper...mwisho unaishia kusikoeleweka kulingana
na qualification zako.It happens!

Maeneo mazuri ya kupata vibonge wa makaratasi ni midwest..Wisconsin, Minnesota, Iowa, Kansas, The Dakotas. Miji midogo midogo ndiyo mizuri kwani wanapatikana bila tabu yoyote!!
 
Or ni wapi duniani watu wanaishi kwa raha tu bila kuisotea?

Ni katika mawazo ya watu tu kuwa "inatakiwa" ukiishi Marekani usihangaike, uishi kwa raha mustarehe; hivi hawa wanaonyang'anywa majumba kwa kushinda kulipa pango ni Watanzania? Hivi ni wamarekani wangapi wamedrop shule hata vyuo vikuu? Ni Wamarekani wangapi ambao wana madeni hadi kwenye koo?

Haya mawazo kuwa ukija Marekani basi maisha yanatakiwa yawe hivi au vile ni mawazo potofu. Maisha yanayowakuta baadhi ya Watanzania hapa Marekani ni maisha yanayowakuta baadhi ya Wanigeria, Wachina, Wahindi, n.k na yes Wamarekani wenyewe.

It is the nature of the beast... anayedhania kuwa ati akifanya hiv i au vile basi maisha yatamnyokea anajidanganya. Marekani imejengwa kwa kuchakarika na anayeacha kucharika (kujiendeleza kielimu, trying new endeavors, daring some new challenges) na akabakia domant ati "nimeshagraduate" nianze kula kuku kwa mrija anajiandaa kwa failure.

Ukiacha kucharika ukiwa Bongo utakoma, na ukiacha kucharika ukiwa Kongo utakoma vile vile; na ndugu zangu ukiacha kuchakarika ukiwa Marekani utakoma vile vile.

Hata hivyo, kuna points muhimu sana ambazo zimewekwa na hizo nakubaliana nazo 100 percent..
 
kwa nini wasijillipue ?

au ndio kujifanya wao wako so proud kuwa waTanzania kuliko familia za akina JK,LOWASSA na vigogo wengine

wewe ni mtoto wa MASIKINI na namna ya kurahisisha maisha yako ni kujilipua

unangoja nini?

acheni wenda wazimu nyie...hivi nyie mnafikiri kuwa nanyi mpo kwenye kupata hiyo national cake ya Tanzania?

Give me a break
 
Watu wa Marekani wamefanikiwa sana John Mashaka maarufu kama Mwanakijiji ameweza kumiliki redio yake inaitwa KLH NEWS,website, podomatic, makochi meupe,ana suti nyeusi, ana posts zaidi ya elfu nane Jambo Forums,anaandika magazetini n.k
haya ni mafanikio makubwa sana.

mswahili habari za masiku mkuu umetutupa.

si vyema ufanyavyo yakhe huji hadi tushateketea.

kumbe mkjj ndio mashaka ? kweli ukija kuna jambo
 
Wapemba waliojilipua kule Canada mambo yao yanakwenda nashangaa hawa watu wanaopenda kufanya ma pati kila kukicha wanalalama eti maisha magumu

wewe mtoto wa masikini unataka kushindana na watoto wa akina malecela utaweza wapi wewe

nenda kajilipue upate sheria uwasaidiendugu zako utulize ball
 
Niwie radhi ndugu, lakini kama baada ya miaka 11 kiingereza ndicho hicho, sijui hali ilikuwaje kabla ya hapo! Na pili, unapoandika mada kama hii kwa kiingereza, unawafaidisha wasiohusika na kuwahatarisha wale unaokusudia kuwasaidia kwa habari hiyo.

Wewe naona unabadilisha mada. Jadili hoja za huyu bwana alizoziweka, kama huelewi kiingereza unaweza kuuliza kwa wengine hapa watakusaidia-ndiyo watu wamekuwa wakifanya siku zote hapa.

Halafu,kuna tatizo gani na kiingereza cha jamaa hapo juu, hata uwanze kumkandia, mbona kimetulia tu au ndiyo hayo ya kutojiamini? Halafu hapa tulishakubaliana kabisa kuwa lugha zote mbili-Kiswahili na Kiingereza-zinakubalika, tabu iko wapi kwa huyu bwna kuandika Kiingereza? Halafu mbona watu wanakosea sana Kiswhaili hapa na hamsemi ila mtu akikosea kiingereza hata herufi tu macho yanawatoka, huo ni utumwa wa akili au ni nini? Acheni longolonga jama, tusidhalilishane hapa!
 
Hii mada imeanzishwa kwa ajili ya nani? Kwa nini imeandikwa kwa kiingereza? Mwandishi hajaitendea haki lugha aliyotumia, na wala hajawatendea haki walengwa!

lakini mzee MESEJI SENT ! ujumbe umefika !

Wazee hii mada nzuri bana uongo mbaya, kuna real facts, comical, and all ! Jichanganyeni humu !
 
Jamani mbona karatasi zipo za kirahisi sana nashangaa watu wanahangaika bila ya kuwa na karatasi hahahahahaha.

Nyani kuna karatasi kibao bila ya kuchukua mademu XXXXXXL ha ha ha ha.
 
Wewe naona unabadilisha mada. Jadili hoja za huyu bwana alizoziweka, kama huelewi kiingereza unaweza kuuliza kwa wengine hapa watakusaidia-ndiyo watu wamekuwa wakifanya siku zote hapa.

Halafu,kuna tatizo gani na kiingereza cha jamaa hapo juu, hata uwanze kumkandia, mbona kimetulia tu au ndiyo hayo ya kutojiamini? Halafu hapa tulishakubaliana kabisa kuwa lugha zote mbili-Kiswahili na Kiingereza-zinakubalika, tabu iko wapi kwa huyu bwna kuandika Kiingereza? Halafu mbona watu wanakosea sana Kiswhaili hapa na hamsemi ila mtu akikosea kiingereza hata herufi tu macho yanawatoka, huo ni utumwa wa akili au ni nini? Acheni longolonga jama, tusidhalilishane hapa!

Haya ndiyo matatizo yetu ya kuwa na matazamio ya chini (low expectaions) kwa kila jambo tunalolitenda.

Uandishi huo alioutumia mwandishi unachanganya habari kiasi kwamba mwanzo na mwisho havieleweki. Hao wasomi anaowazungumzia ni wasomi wa daraja lipi?

Ninashangaa na kusikitika kwa watu kama Kitila kutoona tatizo na lugha kama hiyo iliyotumika hapo. Hata kama nia ya mwandishi imeeleweka analenga nini, bado haimwondolei jukumu la kunyoosha habari anayoileta ieleweke vyema na wasomaji.

Kila mtu anaelewa hatupo shuleni hapa, lakini uelewa huo hautupi sababu ya kutetea uandishi mbovu.

Sishangai kama hatupewi kazi kwa sababu ya barua zetu mbovu tunazoziandika kwa kuomba kazi hizo.

Na kama mtu kazi yake ni ya ualimu, na anavumilia namna ya uandishi wa wanafuzi wake kama huo uliotumika hapa,......!
 
Jamani mbona karatasi zipo za kirahisi sana nashangaa watu wanahangaika bila ya kuwa na karatasi hahahahahaha.

Nyani kuna karatasi kibao bila ya kuchukua mademu XXXXXXL ha ha ha ha.

Mazee....karatasi za XXXXXXXL hazina ugumu, mizengwe wala masharti mengi. Sharti pekee na muhimu ni penzi tu! Ukiwa nalo hilo karatasi kama unalia vile. Hizo njia zingine wengine zinaweza zikawapa shida kidogo...au unasemaje wewe mazee? Maana najua umeshajivinjari anga za XXXXXXL......LOL....natania mazee
 
Kithuku samahani nisingeweza kueleza vizuri kwa kiswahili baada ya miaka kumi na moja na sua sua na misamiati.

Hata hicho kiingereza chako pia kimekuwa kigumu kueleweka kwa ubaya wake pia, you could have done better in presenting your points.
 
Kithuku samahani nisingeweza kueleza vizuri kwa kiswahili baada ya miaka kumi na moja na sua sua na misamiati.

Hata hicho kiingereza chako pia kimekuwa kigumu kueleweka kwa ubaya wake pia, you could have done better in presenting your points.

Mshashi anakwa-mbia baada ya aka eleven kiwanja Swahili inakimbia, si unajuwa tena mambo fulani ya environmental factors mwanangu!

Usikute mpaka kufikiri anafikiri kwa lugha ya kigeni, sasa mpaka aanze kutafsiri fikira kwenye Kiswahili and what not, atapoteza vitu in translation.

Ukikaa chini sana unaweza kusahau kutembea vile vile.
 
Back
Top Bottom