Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Wengi wenu mlienda USA baada ya kuona zile prospectus za mademu wa kinyamwezi

lets face it

wabongo waliopo UK ndio wameula

60% walijilipua, wakapewa sheria wengine wakapewa passports

katika mlolongo huo:

1) walipata elimu ya Bure (at least UG STUDIES)

2) HAKI ZOTE KAMA RAIA

3) BADO WANAENDELEA KUPELEKA MAKACHALA BONGO

nyumba walipewa na wengi wao waliingia kwenye income support

ambao hawakuingia kwenye IS walipangisha nyumba zao

halafu mnashangaa iweje Shughuli haziishi UK

OHHH MNASEMA CAREER

waliosoma wengi wao walipata kazi za maana nyingi tuuu na wala hawan dream kwenda kubanana na watoto wa vigogo BOT

WASALAAM

Samvulachole,

Usiwadanganye ndugu zetu, japo ni kweli ulichosema lakini ukiingia kwenye social UK , jua umaskini umekukumba maisha na maisha. Ni ngumu mno kutoka kwenye maisha ya kukinga mkono mpaka baadaye ukafanikiwa.

Sawa tumia njia yoyote kupata makaratasi lakini jitahidi ku avoid social benefits maana zinalemaza mno. Hata USA ndio zimelemaza ndugu zetu wengi weusi kule.

Wengine tunachapa mabox yetu warehouse na mungu anasaidia hivyo hivyo.
 
Samvulachole,

Usiwadanganye ndugu zetu, japo ni kweli ulichosema lakini ukiingia kwenye social UK , jua umaskini umekukumba maisha na maisha. Ni ngumu mno kutoka kwenye maisha ya kukinga mkono mpaka baadaye ukafanikiwa.

Sawa tumia njia yoyote kupata makaratasi lakini jitahidi ku avoid social benefits maana zinalemaza mno. Hata USA ndio zimelemaza ndugu zetu wengi weusi kule.

Wengine tunachapa mabox yetu warehouse na mungu anasaidia hivyo hivyo.

True story..london wapo wabogo wamekaa UK miaka zaidi ya 15 wanakinga social benefits..wanaona haibu kurudi dar..shule waliacha sasa wamezaaa..they got nothing to show for it!! Jamani kama umekuja kusoma SOMA!! kama umekuja kufanya kazi na kutafuta maisha fanya hivyo lakini usisikilizie social benefits...its wot keep the poor poor..it creates a lazy class.. (chavs in the uk, blacks in the UK/USA etc...)
 
Samvulachole,

Usiwadanganye ndugu zetu, japo ni kweli ulichosema lakini ukiingia kwenye social UK , jua umaskini umekukumba maisha na maisha. Ni ngumu mno kutoka kwenye maisha ya kukinga mkono mpaka baadaye ukafanikiwa.

Sawa tumia njia yoyote kupata makaratasi lakini jitahidi ku avoid social benefits maana zinalemaza mno. Hata USA ndio zimelemaza ndugu zetu wengi weusi kule.

Wengine tunachapa mabox yetu warehouse na mungu anasaidia hivyo hivyo.

Lengo sio kuwasema vibaya bali ni kutoa mfano zaidi, kuna jamaa zangu wa visiwani ambao wapo huko UK baada ya kukimbia mapinduzi kisiwani. Hawa nao walitumbukia kwenye mfumo huu, hadi hii leo wameshindwa kuibuka. Mbaya zaidi hata watoto wao wametumbikia katika mfumo huu hivyo kuendelea kuishi katika mfumo huo, ambao unalegeza mbinu za kujituma katika kufanikisha maisha binafsi na ya kifamilia.
 
Lengo sio kuwasema vibaya bali ni kutoa mfano zaidi, kuna jamaa zangu wa visiwani ambao wapo huko UK baada ya kukimbia mapinduzi kisiwani. Hawa nao walitumbukia kwenye mfumo huu, hadi hii leo wameshindwa kuibuka. Mbaya zaidi hata watoto wao wametumbikia katika mfumo huu hivyo kuendelea kuishi katika mfumo huo, ambao unalegeza mbinu za kujituma katika kufanikisha maisha binafsi na ya kifamilia.

Kibunango,

Ulichosema ni kweli tupu. Ukiingia kwenye benefits unaishia kuishi kwenye council houses ambazo nyingi ziko maeneno ambayo yanakuwa mabaya. Matokeo yake hata huduma kama za shule zinakuwa mbaya, polisi hawaonekani hivyo hata crime inakuwa juu. Huduma za hospitali zinakuwa duni pia.

Mtoto anayezaliwa kwenye mazingira kama hayo ni ngumu sana kufanikiwa. Hata akiwa na uwezo bado anakosa motivation ambayo watoto wengine wanapata kwa kuona wazazi wao wanahangaika kila siku.

Akienda shuleni na kula chakula bila kulipa tayari ni mwanzo wa bulling kutoka kwa watoto wengine, hivyo hata kwenda shuleni kwenyewe kunaanza kuwa taabu.

Kama wageni tunataka kujikomboa kwenye hizi nchi za watu, njia ni moja tu, kuchapa kazi na kupanda taratibu kwenye ladder mpaka. Njia za mkato kama social benefits, zinakurudisha nyuma hatua tano.
 
Samvulachole,

Usiwadanganye ndugu zetu, japo ni kweli ulichosema lakini ukiingia kwenye social UK , jua umaskini umekukumba maisha na maisha. Ni ngumu mno kutoka kwenye maisha ya kukinga mkono mpaka baadaye ukafanikiwa.

Sawa tumia njia yoyote kupata makaratasi lakini jitahidi ku avoid social benefits maana zinalemaza mno. Hata USA ndio zimelemaza ndugu zetu wengi weusi kule.

Wengine tunachapa mabox yetu warehouse na mungu anasaidia hivyo hivyo.

True story..london wapo wabogo wamekaa UK miaka zaidi ya 15 wanakinga social benefits..wanaona haibu kurudi dar..shule waliacha sasa wamezaaa..they got nothing to show for it!! Jamani kama umekuja kusoma SOMA!! kama umekuja kufanya kazi na kutafuta maisha fanya hivyo lakini usisikilizie social benefits...its wot keep the poor poor..it creates a lazy class.. (chavs in the uk, blacks in the UK/USA etc...)

Lengo sio kuwasema vibaya bali ni kutoa mfano zaidi, kuna jamaa zangu wa visiwani ambao wapo huko UK baada ya kukimbia mapinduzi kisiwani. Hawa nao walitumbukia kwenye mfumo huu, hadi hii leo wameshindwa kuibuka. Mbaya zaidi hata watoto wao wametumbikia katika mfumo huu hivyo kuendelea kuishi katika mfumo huo, ambao unalegeza mbinu za kujituma katika kufanikisha maisha binafsi na ya kifamilia.

Kibunango,

Ulichosema ni kweli tupu. Ukiingia kwenye benefits unaishia kuishi kwenye council houses ambazo nyingi ziko maeneno ambayo yanakuwa mabaya. Matokeo yake hata huduma kama za shule zinakuwa mbaya, polisi hawaonekani hivyo hata crime inakuwa juu. Huduma za hospitali zinakuwa duni pia.

Mtoto anayezaliwa kwenye mazingira kama hayo ni ngumu sana kufanikiwa. Hata akiwa na uwezo bado anakosa motivation ambayo watoto wengine wanapata kwa kuona wazazi wao wanahangaika kila siku.

Akienda shuleni na kula chakula bila kulipa tayari ni mwanzo wa bulling kutoka kwa watoto wengine, hivyo hata kwenda shuleni kwenyewe kunaanza kuwa taabu.

Kama wageni tunataka kujikomboa kwenye hizi nchi za watu, njia ni moja tu, kuchapa kazi na kupanda taratibu kwenye ladder mpaka. Njia za mkato kama social benefits, zinakurudisha nyuma hatua tano.

Acheni kuwaongopea watu humu

kwanza ki statistic watu wa visiwani ndio wengi zaidi UK kuliko watu wa bara



na kwa taarifa yenu hawa ndio wanapeleka pesa zaidi nyumbani kuliko hao wanaojidaui wazalendo ambao ni wafanya kazi zaidi/wanafunzi


Mara ya mwisho nilikwenda kwa Dewji na aliniambia kuwa hawa jamaa waliojilipua wamekuwa blessing in disguisse kwani wanapeleka ma containers na saa zingine nusu ya meli ni ya vitu vya hawa jamaa kuanzia malori mpaka makontena ya bidhaa


Ndio wengi waliingia kwenye benefit lakini hawakukaa sana kama mnavyotaka kuwaongopea watu humu


wengi wao walipata British passports na wamekuwa economically active kuliko mnavyotaka kuwafanya na bila kusahau kuwa wamekuwa mobile kibiashara sana baada ya kupata pasi zao


Nendeni Kariakoo mkafanye uchunguzi mtaona maduka mengi kule na ma importers wengi kule ni watu wenye asili ya visiwani wenye British passports waliojilipua 1995

wanunuzi wa majumba kule kariakoo ni hawa wali waliojilipua


Kwa anaelewa benefit system ya UK ataelewa kuwa kupata income support ni hki la kila Mwingereza mwenye mtoto si lazima uwe uwe unemployed na mashaalah wengi wa hawa watu hawana haja ya IVF wanajaaliwa kupata watoto. Msisahau kuwa UK ni social democracy hivyo mambo hayo ni kawaida tuuu


Wanawake wa nyumbani mara nyingi hawana pesa za ma child minders lakini nchi hii hawa wanawake wanapesa pesa kujiendeleza kitaaluma kupitia projects mabali mbali


Mmezungumzia ma CHAV lakini mtu kuwa cha si lazima uwe kwenye benefit na hata David Bekhama kama mnataka tuingine kwenye definition ya u chav ni CHAV, the same applies to Rooney an Rio Ferdinand...bila kumsahau Sir Alan Sugar


Kutokana na cultureza nyumbani wanawake wengi kusema ukweli hawako economically active lakini second generation inabadilika kwa kiasi kikubwa

huu mjadala kuhusu watu waliojilipua umekuwa ukiendeshwa na watu ambao hawana zaidi ya VIVU tuu kwani waliowahi wakachukua advantage ya nafasi ndio hawa ambao wako active kiuchumi mnataka kuwapaka matope bila mpango wowote



Mara ya mwisho nilienda kutoa kontena langu Dar na naweza kukuambia kuwa majority ya waliokuwa pale kuprocess mambo ya kutoa mizigo yao pale ni hao waliojilipua na watu wa U, sikuona watu wa USA wanaosifiwa kuwa wamesoma na wameendelea zaidi

na kam mmendelea zaidi mbona mnakuja UK kuishi free rent wakati wa kusummer ? ndio its an open secret huwa mnakuja UK kufanya kazi kwa kutumia mjaina ya hawa hawa waliojilipua na NI zao?

acheni hii prejiduce mlionayo

that said najua waliojilipua kule Canada wengi wao maisha ni tofauti kutokana na serikali ya kule kuwalazimisha kusoma ili hali UK na Europe mambo ya kulazimishwa kusoma hayapo

leteni hoja nyingine lakini penye ukweli semeni
 
Acheni kuwaongopea watu humu

kwanza ki statistic watu wa visiwani ndio wengi zaidi UK kuliko watu wa bara



na kwa taarifa yenu hawa ndio wanapeleka pesa zaidi nyumbani kuliko hao wanaojidaui wazalendo ambao ni wafanya kazi zaidi/wanafunzi


Mara ya mwisho nilikwenda kwa Dewji na aliniambia kuwa hawa jamaa waliojilipua wamekuwa blessing in disguisse kwani wanapeleka ma containers na saa zingine nusu ya meli ni ya vitu vya hawa jamaa kuanzia malori mpaka makontena ya bidhaa


Ndio wengi waliingia kwenye benefit lakini hawakukaa sana kama mnavyotaka kuwaongopea watu humu


wengi wao walipata British passports na wamekuwa economically active kuliko mnavyotaka kuwafanya na bila kusahau kuwa wamekuwa mobile kibiashara sana baada ya kupata pasi zao


Nendeni Kariakoo mkafanye uchunguzi mtaona maduka mengi kule na ma importers wengi kule ni watu wenye asili ya visiwani wenye British passports waliojilipua 1995

wanunuzi wa majumba kule kariakoo ni hawa wali waliojilipua


Kwa anaelewa benefit system ya UK ataelewa kuwa kupata income support ni hki la kila Mwingereza mwenye mtoto si lazima uwe uwe unemployed na mashaalah wengi wa hawa watu hawana haja ya IVF wanajaaliwa kupata watoto. Msisahau kuwa UK ni social democracy hivyo mambo hayo ni kawaida tuuu


Wanawake wa nyumbani mara nyingi hawana pesa za ma child minders lakini nchi hii hawa wanawake wanapesa pesa kujiendeleza kitaaluma kupitia projects mabali mbali


Mmezungumzia ma CHAV lakini mtu kuwa cha si lazima uwe kwenye benefit na hata David Bekhama kama mnataka tuingine kwenye definition ya u chav ni CHAV, the same applies to Rooney an Rio Ferdinand...bila kumsahau Sir Alan Sugar


Kutokana na cultureza nyumbani wanawake wengi kusema ukweli hawako economically active lakini second generation inabadilika kwa kiasi kikubwa

huu mjadala kuhusu watu waliojilipua umekuwa ukiendeshwa na watu ambao hawana zaidi ya VIVU tuu kwani waliowahi wakachukua advantage ya nafasi ndio hawa ambao wako active kiuchumi mnataka kuwapaka matope bila mpango wowote



Mara ya mwisho nilienda kutoa kontena langu Dar na naweza kukuambia kuwa majority ya waliokuwa pale kuprocess mambo ya kutoa mizigo yao pale ni hao waliojilipua na watu wa U, sikuona watu wa USA wanaosifiwa kuwa wamesoma na wameendelea zaidi

na kam mmendelea zaidi mbona mnakuja UK kuishi free rent wakati wa kusummer ? ndio its an open secret huwa mnakuja UK kufanya kazi kwa kutumia mjaina ya hawa hawa waliojilipua na NI zao?

acheni hii prejiduce mlionayo

that said najua waliojilipua kule Canada wengi wao maisha ni tofauti kutokana na serikali ya kule kuwalazimisha kusoma ili hali UK na Europe mambo ya kulazimishwa kusoma hayapo

leteni hoja nyingine lakini penye ukweli semeni

Samvulachole,
Lengo hapa si kuhukumu mtu bali kutoa ushauri. Ninaweza kukubaliana na wewe kwa cases za Wazanzibar kwamba huenda kwao inaweza ikawasaidia. kwasababu walio wengi ni wafanyabiashara kwa asili. Kwahiyo anaweza akawa anapata social benefits na huku anaendelea na biashara zake. Tena anaweza kufanya biashara zake hasa kama ziko TZ bila serikali kujua na hivyo kutokupunguziwa benefits anazopata. Kundi kama hili lipo ila ni dogo ukilinganisha na wategemea benefits mbalimbali.

Pia kwenye ujumbe wangu sikuongelea kuhusu suala la kutuma pesa nyumbani maana hilo na jambo tofauti. Mtu mwingine anaweza kuwa anapata pounds 500 kwa mwezi lakini anatuma pesa kila mwezi wakati mwingine anapata pounds 4000
na hakuna kitu. Mimi niliongelea madhara ya kuitukuza social benefits kwa sisi wageni.

Lakini kiujumla social benefits ni kikwazo sio kwa sisi wageni tu bali hata kwa wenyeji wenyewe. Umesema kupata income support ni haki ya kila Mwingereza, sio kweli. Child benefit tu ndio inatolewa kwa kila mtu hata akiwa milionea, nayo sio pesa nyingi, ni pounds kama 18 kwa mtoto wa kwanza na around 12 kwa watoto wengine kwa wiki. Benefits zingine zote zinategemea kipato cha familia. Mimi nina miaka ya kutosha hapa na fundisho ninalowapa wanangu ni kukaa mbali na social benefits. Mpaka sasa hakuna benefit yoyote tuliyowahi kupata zaidi ya hiyo child benefit. Nimeona madhara yake kwa weusi lakini pia nimesoma madhara yake kwa jamii mbalimbali. Umewataja watu kama akina Beckham na Ferdinand, hawa ni watu wachache sana katika kundi lenye mamilioni ya watoto, kwa asilimia hawazidi hata asilimia moja ya wanaofanikiwa kutoka kwenye council houses. Kwa familia inayopata zaidi ya pounds 20,000 kwa mwaka inatakiwa wasipate msaada wowote zaidi ya hiyo child benefits. Ukiangalia elfu 20 kwa baba na mama wala sio pesa nyingi.

Kwa walio wengi inalipa kuchukua benefits kuliko kufanya kazi lakini ndio huwezi kusogea zaidi ya hapo. Pia tatizo lingine ni familia kutengana, kwenye maisha ya benefits wanawake inalipa kama huna bwana kwahiyo wengi hawaoni umuhimu wa kuwa na bwana. Hili nalo kwa Waislamu na Waarabu huenda lisiwe na madhara sana maana bado wanathamini ndoa kuliko makundi mengine. Lakini kwa weusi walio wengi kama watu wa West Africa tayari kuna madhara makubwa. Watoto wanalelewa bila wanaume nyumbani na baadaye ni balaa tupu.

Wanasiasa na hasa Labour wanaona dawa ni kuwapatia hawa watu chakula, pa kulala na pesa ya pombe, wanasahau kwamba akili ya mwanadamu inahitaji zaidi ya hivyo vitu. Na wengine tusizamie huko, kama unachukua benefits lakini una uwezo wa kutoka huko na kusaidia wanao ni jambo jema.
 
Acheni kuwaongopea watu humu

kwanza ki statistic watu wa visiwani ndio wengi zaidi UK kuliko watu wa bara



na kwa taarifa yenu hawa ndio wanapeleka pesa zaidi nyumbani kuliko hao wanaojidaui wazalendo ambao ni wafanya kazi zaidi/wanafunzi


Mara ya mwisho nilikwenda kwa Dewji na aliniambia kuwa hawa jamaa waliojilipua wamekuwa blessing in disguisse kwani wanapeleka ma containers na saa zingine nusu ya meli ni ya vitu vya hawa jamaa kuanzia malori mpaka makontena ya bidhaa


Ndio wengi waliingia kwenye benefit lakini hawakukaa sana kama mnavyotaka kuwaongopea watu humu


wengi wao walipata British passports na wamekuwa economically active kuliko mnavyotaka kuwafanya na bila kusahau kuwa wamekuwa mobile kibiashara sana baada ya kupata pasi zao


Nendeni Kariakoo mkafanye uchunguzi mtaona maduka mengi kule na ma importers wengi kule ni watu wenye asili ya visiwani wenye British passports waliojilipua 1995

wanunuzi wa majumba kule kariakoo ni hawa wali waliojilipua


Kwa anaelewa benefit system ya UK ataelewa kuwa kupata income support ni hki la kila Mwingereza mwenye mtoto si lazima uwe uwe unemployed na mashaalah wengi wa hawa watu hawana haja ya IVF wanajaaliwa kupata watoto. Msisahau kuwa UK ni social democracy hivyo mambo hayo ni kawaida tuuu


Wanawake wa nyumbani mara nyingi hawana pesa za ma child minders lakini nchi hii hawa wanawake wanapesa pesa kujiendeleza kitaaluma kupitia projects mabali mbali


Mmezungumzia ma CHAV lakini mtu kuwa cha si lazima uwe kwenye benefit na hata David Bekhama kama mnataka tuingine kwenye definition ya u chav ni CHAV, the same applies to Rooney an Rio Ferdinand...bila kumsahau Sir Alan Sugar


Kutokana na cultureza nyumbani wanawake wengi kusema ukweli hawako economically active lakini second generation inabadilika kwa kiasi kikubwa

huu mjadala kuhusu watu waliojilipua umekuwa ukiendeshwa na watu ambao hawana zaidi ya VIVU tuu kwani waliowahi wakachukua advantage ya nafasi ndio hawa ambao wako active kiuchumi mnataka kuwapaka matope bila mpango wowote



Mara ya mwisho nilienda kutoa kontena langu Dar na naweza kukuambia kuwa majority ya waliokuwa pale kuprocess mambo ya kutoa mizigo yao pale ni hao waliojilipua na watu wa U, sikuona watu wa USA wanaosifiwa kuwa wamesoma na wameendelea zaidi

na kam mmendelea zaidi mbona mnakuja UK kuishi free rent wakati wa kusummer ? ndio its an open secret huwa mnakuja UK kufanya kazi kwa kutumia mjaina ya hawa hawa waliojilipua na NI zao?

acheni hii prejiduce mlionayo

that said najua waliojilipua kule Canada wengi wao maisha ni tofauti kutokana na serikali ya kule kuwalazimisha kusoma ili hali UK na Europe mambo ya kulazimishwa kusoma hayapo

leteni hoja nyingine lakini penye ukweli semeni

Mtanzania hapo juu kaelezea kwa urefu..issue sio kufanya biashara home (na niwaChache wanaofanya hivyo acha hizi dewji references so unnecessary references) watu wa visiwani wengi tuu tumekutana nao huku UK..wengine hata hawapendi kujiita watanzania wako radhi wawe wasomali (wapo hao pia)..Issue ya chavs dont use beckham and other football stars ni asilimia ndogo saaaaaaaaana..ndenda council housing if u dont live ther already and see for youself..

BENEFITS ZINALEMAZA PIA NI MBAYA KWA WATOTO...LAZY PARENTS BREED LAZY AND UNMOTIVATED CHILDREN...
TUELIMISHANE WATANZANIA TUISHIYO NJE...
 
Mara ya mwisho nilienda kutoa kontena langu Dar na naweza kukuambia kuwa majority ya waliokuwa pale kuprocess mambo ya kutoa mizigo yao pale ni hao waliojilipua na watu wa U, sikuona watu wa USA wanaosifiwa kuwa wamesoma na wameendelea zaidi

29072007560.jpg



29072007562.jpg


29072007563.jpg


29072007569.jpg


29072007564.jpg


29072007567.jpg



Jinsi ya kupakia kontena....

29072007568.jpg


29072007566.jpg
 
Naomba tuambizane, hii parking lazima imekuwa suggested na mtu aliyewahi kusoma boarding school!! There is no way mtu mwenye experience ya day akafanya haya duh!! Hii kali kweli. I need some suggestions about how all this was made possible
 
Naona 40ft inakula saloon tano.si mchezo, ndo maana tulioko bongo tunaona foleni haziishi. Nyinyi ndo mnasababisha.
 
hakuna nchi njema duniani kama USA, usome usisome it does not matter, lakini ni lazima uwe umekwenda for the right reasons, na uwe the right person
nimekusoma mkuu......nina swali kwa hali hii ya anguko la uchumi hali ni kama ulivyoandika?

kabla ya kufunga mkanda tujue......
 
nimekusoma mkuu......nina swali kwa hali hii ya anguko la uchumi hali ni kama ulivyoandika?

kabla ya kufunga mkanda tujue......

- Mkuu hali ya US ya sasa, hata baada ya kuharibika kwa uchumi bado ni safi kwa watafutaji, hakijaharibika kitu kwa sababu kazi nyingi za utafutaji hazijaharibika, kazi kama za kulea wazee, matahira, na wagonjwa, mabox, security guards, hizi ni kazi ambazo unaweza kuzipata kwa haraka haraka na bila shuruba sana za makaratasi na bado hazijaharibika.

- Kwazi zilizoharibika ni pamoja na Computers IT, Banking, Insurance, Financials $ Markets, Investments, Real Estates, na Doctors, yes kuna wabongo wachache waliosoma walikuwa kwenye hizi sekta, kwa kweli hakuna kitu tena.

- The most ideal job kwa mbongo wa kawaida inapaswa kuwa ni kwenye Transportaion Industry, ila sasa tatizo lake ni moja tu, ni lazima uwe na makaratasi, lakini mkuu bado pia ni vizuri kucheza cheza loto pale US Embassy maana you never know!

Samahani ninashindwa kuandika mengi muhimu kwa wahangaikaji kwa sababu siku hizi balozi za West tupo nao sana humu kwenye forums, kwa hiyo tusije tukawapa faida bure na kuwaharibia walioko kwenye tunnel.

Respect.

FMES!
 
.....hii article ni generalization ya hali ya juu,naona kuna kawivu kidogo ka kuwapaka matope jamaa wa unyamwezini,hizo njaa zenu za bongo kaeni nazo na kama maisha ya watu hayaendi vizuri mjue si mtoni tuu tena bongo 99.999% ni njaa tupu na diseases,nina uhakika mpiga box wa unyamwezini anaishi vizuri na kutengeneza $$$ zaidi kuliko mawaziri wenu ambao sio wezi...walioshindwa maisha wengi wao ni matatizo yao wenyewe lakini sio kwa sababu wako unyamwezini,kama waliosoma wanapoteza kazi ni mambo ya kawaida tuu huku na hakuna aibu kufanya kazi mnazoziita za hali ya chini kama mnavyofikiria,unyamwezini ndio mambo yote huko bongo mnajidanganya tuu!
 
Maeneo mazuri ya kupata vibonge wa makaratasi ni midwest..Wisconsin, Minnesota, Iowa, Kansas, The Dakotas. Miji midogo midogo ndiyo mizuri kwani wanapatikana bila tabu yoyote!!

...wewe **** bado unaongelea paper mpaka leo,nilishakueleza wajanja wote wamemaliza hizo game wakiwa college bado na sio hiyo mitipwa tipwa yako ya section 8,wajanja wamepata paper kwa watoto wakali ambao najua hata kuwasalimia unaogopa!
 
...wewe **** bado unaongelea paper mpaka leo,nilishakueleza wajanja wote wamemaliza hizo game wakiwa college bado na sio hiyo mitipwa tipwa yako ya section 8,wajanja wamepata paper kwa watoto wakali ambao najua hata kuwasalimia unaogopa!

Wee kuku mimi nilikuwa natoa ushauri/maoni yangu tu na haina maana hayo niliyosema yananihusu mimi. Mimi nilizaliwa hapa....panya buku wewe
 
Duh! Mambo magumu na yanazidi kuwa magumu. Pamoja na "stimulus package", wamepitisha sheria mpya inaitwa " Employ American Act". Lengo ni kuhakikisha "stimulus package" inawanufaisha wazawa tu. Kuna jamaa yangu anamalizia MBA yake na alishaahidiwa kazi "Merrill Lynch". Kwa sababu ya hii sheria [pamoja na ukwasi], wamemwambia haitawezekana tena kufanya kazi hapa. Ingawa bado ana nafasi ya kufanya nao kazi nje ya US, point ni kuwa mambo hapa yanabadilika kila kukicha. Kama mwelekeo ndio huu, nahisi utafika wakati hata wazawa watatafuta pakutokea. The good thing is, wahamiaji bado wanahitajika kwa sababu kuna kazi ambazo raia hawawezi kuzifanya [lakini wahamiaji wanazipiga bila wasiwasi].
 
Hii mada ni muhimu sana. Kwanza kabla sijaanza kuchangia nataka nikuulize wewe muandikaji, jee upo US au una ndugu aliyekuwepo US? Mimi nimekaa US almost 10 years, rules and regulations changed every now and then.

Kuja US bila kufahamu hii nchi imejengwa kwa misingi gani is total wrong. Kama unakuja kusoma second degree (graduate school), i advise ufanye GMAT, GRE, MCAT, PCAT nchini kwako. Kama utapata score za maana then unaweza kuja hapa ukapata scholarship and other misaada. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kudharau Elimu ya Marekani kwa sababu zetu za kijamaa na kishenzi.

Zamani wakati tunakuja SSN ulikuwa unapewa kwa kutumia DL yako, lakini sababu ya wahamiaji kuabuse system then ndio maana priority ikanyanganywa.

Swala la kurudi Tanzania, mimi binafsi sitaki hata kulisikia, there is more than million reasons that i can defend maamuzi yangu. Nchi inaliwa na watu wachache, uchumi is down into the toilet. Watanzania wengi nilio maliza nao, ambao ni top 10% ya form six 2008 wanakimbilia nchi za EU and North America, reason ni kwamba Tanzania hakuna ngazi ya kwenda juu.

Mtanganyika, with due respect..inamaanisha umekuja Marekani 08? [Check your last para] If that is the case then nimekupata uzuri! kwanini unasababu milioni...
 
Maeneo mazuri ya kupata vibonge wa makaratasi ni midwest..Wisconsin, Minnesota, Iowa, Kansas, The Dakotas. Miji midogo midogo ndiyo mizuri kwani wanapatikana bila tabu yoyote!!

LMAO!!!...they have a nickname or code name RFA-Reserved for Africans.
 
Last edited:
Back
Top Bottom