Wengi wenu mlienda USA baada ya kuona zile prospectus za mademu wa kinyamwezi
lets face it
wabongo waliopo UK ndio wameula
60% walijilipua, wakapewa sheria wengine wakapewa passports
katika mlolongo huo:
1) walipata elimu ya Bure (at least UG STUDIES)
2) HAKI ZOTE KAMA RAIA
3) BADO WANAENDELEA KUPELEKA MAKACHALA BONGO
nyumba walipewa na wengi wao waliingia kwenye income support
ambao hawakuingia kwenye IS walipangisha nyumba zao
halafu mnashangaa iweje Shughuli haziishi UK
OHHH MNASEMA CAREER
waliosoma wengi wao walipata kazi za maana nyingi tuuu na wala hawan dream kwenda kubanana na watoto wa vigogo BOT
WASALAAM
Samvulachole,
Usiwadanganye ndugu zetu, japo ni kweli ulichosema lakini ukiingia kwenye social UK , jua umaskini umekukumba maisha na maisha. Ni ngumu mno kutoka kwenye maisha ya kukinga mkono mpaka baadaye ukafanikiwa.
Sawa tumia njia yoyote kupata makaratasi lakini jitahidi ku avoid social benefits maana zinalemaza mno. Hata USA ndio zimelemaza ndugu zetu wengi weusi kule.
Wengine tunachapa mabox yetu warehouse na mungu anasaidia hivyo hivyo.