Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

si mkifika huko mchukue masomo kama ya unurse na walimu ndio yanalipa,halafu kuna kupewa permit ya kufanya kazi bure sababu manurse na walimu bado wanahitajika,uk wengi nimewaona waliochukua hii route wamekuwa successful sijui kama us situatiion ni different?
 
​bora warudi Tanzania kwani nchini kwetu hakuna tatizo la ajira
 
nilikuwa sijawahi kusoma hii thread,wewe ndio umenifanya nikajaribu kuipitia harakaharaka.kifupi FMES' POST imemaliza kila kitu mengine yalikuwa yaleyale kaenda/karudi(no disrespect to other posts),ila mjadala mkubwa uliuanzisha ulipotaja tu kuwa watu wanapata $20k/month.
well i have few friends bongo wanapata btn $2000-5000 believe me wako kwenye kampuni kubwa maarufu bongo na nafasi za juu kidogo,sio CEO,MD.
mimi naamini mishahara "mizuri" iko bongo ila watu wakianza kufananisha bongo na USA ni kutoitendea haki tanzania,hizo ni dunia mbili tofauti.
maisha ni popote utakapoona panakufaa.......
Mkuu....kwanza fuatilia surnames za hao marafiki zako.....
Pili ni mashirika mangapi yanayoto huo mkwanja so far bongo....

Hizo nafasi ni chache saaana na ni nadra sana kwa mimi joni tomasi kupata nafasi pale....hata nije na vyeti vya chuma......hizo story za mnyamwezi 20k haipo arifu....
 
Sorry joining it so lately. But I do' wanna see that crazy life. East or west home is best. We ungali ktk shida, rudi nyumbani, kwani mkataa kwao ni mtumwa wana jf wenzangu. Yanini kufuatilia nyayo za kitumwa?
 
Kamundu maada uliyoweka imetulia na utaona michango mingi humu yenye mwelekeo tofauti kwa sababu hili swala ni "core" linawagusa wengi walio TZ na nje.

Wanaokubishia na kukwambia sijui ulimhoji nani, ulitoa statistics gani...mi naona ni ma-apologetics wanaokwepa ukweli. Ni dhahiri kabisa kwamba watanzania wengi/waafrica walio USA na Western Europe maisha yamekuwa magumu siku baada ya siku. Competition ya kazi imekuwa kubwa sana.

Kuna anayesema kwamba kuna watanzania wamesoma wanapata 100K, lakini huyo mtanzania muulize anampa uncle Sam kiasi gani na akilipa Bill anabaki na nini-na wako wangapi wa aina hiyo! Na for sure watanzania wa namna hiyo wapo wachache sana. We all know bana, kwamba naishi Msewe I have been there I have seen it and felt it. Hapa ni kupeana mawazo especially kwa wadogo zetu walio hapa bongo ambao wanaona USA na Europe kama Meccah. No way, things are tough than you expect.

Shida nyingine kubwa ni status! makaratasi. ni ukweli kwamba wengi walienda marekani kwa gia ya kusoma! wamefika huko, either shule waliacha (kwa sababu zilizo juu ya uwezo wao -kwa kukosa karo...maana wengi wetu tunadanganya tukienda ubalozini..oohh my uncle will sponsor me, na mambo kibao..kumbe ni HOT AIR TUU..) wanaishia kuingia mtaani na kujilipua kwa bibi/babu wa kizungu wapate status...well hakuna cha ajabu hapa ni katika harakati za kutafuta!

Lakini kikubwa what should we do? hapa swala ni gumu, kwa sababu alternatives ni worse. Nyumbani ni nyumbani lakini ukweli ni kwamba the situation is tough kama hauna shule ya kueleweka na connection za maana (hapa naongelea mtu kupata kazi ya kukuwezesha kuishi maisha decent Tanzania bila MKATO AU RUSHWA..!) Ukitaka uishi maisha clean yasiyo na rushwa hapa bongo kwa kweli you have to think twice-BUT IT IS POSSIBLE! Ni ukweli ingawa unauma.

Bongo things have changed I agree maana Iam here, BUT we still reward incompetence and corruption at the expense of honesty and intergrity. Baado jina la mtu linaply part kubwa ya ajira yako. USA unaweza kubeba box...ukalipa bills zako, maisha yakaenda...kifupi Tanzania hatujafika level ya kuthamini kwamba kila kazi inaheshima.

Kurudi nyumbani ni muhimu: Ila kama ungeniuliza mimi personally nikupe ushauri gani, siwezi kukupa ushauri wa siasa za Karl Max....rather..WORK HARD WHERE YOU ARE, IRRESPECTIVE WHAT YOU ARE DOING, INVEST HOME (BUILD A HOUSE, START SOME PROJECTS ETC..), FUNGUA ACCOUNT UWE UNAWEKA $$ KIDOGO KIDOGO NA JITAHIDI KUPIGA HATA HIZI EVENING CLASSES. MDA UKIFIKA, UTARUDI NA UKIRUDI HUTAENDA KUPANGA UTAFIKIA KWAKO HATA KAMA NI CHUMBA KIMOJA..NA UKIWA NA AKIBA..HEWALA, UTAKUWA NA PA KUANZIA. THIS IS NOT ONE SIZE FITS ALL and it is not easy-noty easy at all..maana hata hiyo $$ ya kusave ni ngoma nzito.....ITS A DIVERSE TOPIC WENGI TUNA MAWAZO TOFAUTI...
Kwanini nirudi bongo in a first place?
 
Ulikuwa ni uongo mtupu, ulioakisi mabadiliko ya muda mfupi na sasa maisha yamebadilika sana
Haya turejee sasa, tuwaone hao walijigamba wamebaki bongo na wametusua wako wapi leo hii?

Walioyaweza mpaka leo ni wale walioenda CCM,
Hakuna chochote kwenye hayo mashirika makubwa eti wabongo ni CEO, tuone leo hao wanaolipwa $5000??????
Wako wapi ?
Hata waliojifungulia kampuni zao, kama kina Pascal Mayalla kipindi hicho walikamata hela sana, sasa aje hapa atuambie leo hii yuko wapi?
Na kulikuwa na kijana mmoja alianza mpaka kujilikana East Africa mmoja wa waanzilishi wa mitando mwanzoni, leo ni hii sijui kapotelea wapi na kuzikwa kabisa

 
Ulikuwa ni uongo mtupu, ulioakisi mabadiliko ya muda mfupi na sasa maisha yamebadilika sana
Haya turejee sasa, tuwaone hao walijigamba wamebaki bongo na wametusua wako wapi leo hii?

Walioyaweza mpaka leo ni wale walioenda CCM,
Hakuna chochote kwenye hayo mashirika makubwa eti wabongo ni CEO, tuone leo hao wanaolipwa $5000??????
Wako wapi ?
Hata waliojifungulia kampuni zao, kama kina Pascal Mayalla kipindi hicho walikamata hela sana, sasa aje hapa atuambie leo hii yuko wapi?
Na kulikuwa na kijana mmoja alianza mpaka kujilikana East Africa mmoja wa waanzilishi wa mitando mwanzoni, leo ni hii sijui kapotelea wapi na kuzikwa kabisa

Shida ya biashara za bongo largely zina connection na wanasiasa. Ndo maana wengi wana enda na upepo. Sasa wewe jichanganye….
 
Ulikuwa ni uongo mtupu, ulioakisi mabadiliko ya muda mfupi na sasa maisha yamebadilika sana
Haya turejee sasa, tuwaone hao walijigamba wamebaki bongo na wametusua wako wapi leo hii?
Kutusua ni relative, kunafuata kanuni za relativity, kuna mwingine kutusua kwake ni uwezo wa kula chips yai, kuku na soda, badala ya kula ugali maharage, huku anapanda daladala, anakaa nyumba ya kupanga na kuvaa nguo za mtumbani!,

Mwingine kutusua kwake ni kukaa kwake, kumiliki usafiri na kuyamudu maisha. Tunakuja huko ughaibuni, wengi wetu wanakaa nyumba za kupanga, wanafanya kazi za hovyo, they make good money, wanaendesha magari mazuri na kupiga pamba kali but with nothing back home!.
Hata waliojifungulia kampuni zao, kama kina Pascal Mayalla kipindi hicho walikamata hela sana, sasa aje hapa atuambie leo hii yuko wapi?
Mimi niko very open, hali yangu nimeiweka wazi, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
JPM kaondoka, Samia kaingia, hakuna kilichobadilika, it is real tough!.

Watanzania waliofanikiwa wako wengi but very secretive so does diaspora waliofanikiwa Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

Kila mwaka nakuja US twice, April na September, naandika sana mambo ya diaspora
Paskali
 
Kutusua ni relative, kunafuata kanuni za relativity, kuna mwingine kutusua kwake ni uwezo wa kula chips yai, kuku na soda, badala ya kula ugali maharage, huku anapanda daladala, anakaa nyumba ya kupanga na kuvaa nguo za mtumbani!,

Mwingine kutusua kwake ni kukaa kwake, kumiliki usafiri na kuyamudu maisha. Tunakuja huko ughaibuni, wengi wetu wanakaa nyumba za kupanga, wanafanya kazi za hovyo, they make good money, wanaendesha magari mazuri na kupiga pamba kali but with nothing back home!.

Mimi niko very open, hali yangu nimeiweka wazi, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
JPM kaondoka, Samia kaingia, hakuna kilichobadilika, it is real tough!.

Watanzania waliofanikiwa wako wengi but very secretive so does diaspora waliofanikiwa Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

Kila mwaka nakuja US twice, April na September, naandika sana mambo ya diaspora
Paskali
Wala sikatai Pasco
Ni kweli enzi ya Kikwete, tualiambiwa rudi nyumbani kumenoga, na kweli wenzetu walijipata mpaka tukawa tunajiona tumefeli maisha sana kukimbia bongo.
Tatizo la bongo ni consistency ya kutokuwa katika hali waliyotuaminisha, kuwa maisha sasa nyumbani yamenyooka, hata mimi nakumbuka rafiki niliosoma nao walikuwa katika hali nzuri sana na inaonekana inahusiana na siasa za nchi.
Leo watu wanaofanikiwa kwa uchache ni sana ni walugaluga waliotoka mikoani kwa kuwa na uthubutu kwenye biashara , ila sio enzi za Kikwete wale wenzetu waliokuwa mtoto wa kibosile fulani, zama hizo zimepita.
Sasa sisi tunarudi nyumbani kuja kustaafu tunakutana na usumbufu tupu wale waliokuwa wanapeta miaka ile kutushonangila kila kona tugawane hivi vipensheni vyetu vya wazungu japo sio nyingi sana lakini ni consistency na ukichangia exchange rate, tunawasanifu tu.
 
Back
Top Bottom