LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 253
Maisha popote, inategemea umejiandaa vipi kuyakabili
Mkuu....kwanza fuatilia surnames za hao marafiki zako.....nilikuwa sijawahi kusoma hii thread,wewe ndio umenifanya nikajaribu kuipitia harakaharaka.kifupi FMES' POST imemaliza kila kitu mengine yalikuwa yaleyale kaenda/karudi(no disrespect to other posts),ila mjadala mkubwa uliuanzisha ulipotaja tu kuwa watu wanapata $20k/month.
well i have few friends bongo wanapata btn $2000-5000 believe me wako kwenye kampuni kubwa maarufu bongo na nafasi za juu kidogo,sio CEO,MD.
mimi naamini mishahara "mizuri" iko bongo ila watu wakianza kufananisha bongo na USA ni kutoitendea haki tanzania,hizo ni dunia mbili tofauti.
maisha ni popote utakapoona panakufaa.......
Kwanini nirudi bongo in a first place?Kamundu maada uliyoweka imetulia na utaona michango mingi humu yenye mwelekeo tofauti kwa sababu hili swala ni "core" linawagusa wengi walio TZ na nje.
Wanaokubishia na kukwambia sijui ulimhoji nani, ulitoa statistics gani...mi naona ni ma-apologetics wanaokwepa ukweli. Ni dhahiri kabisa kwamba watanzania wengi/waafrica walio USA na Western Europe maisha yamekuwa magumu siku baada ya siku. Competition ya kazi imekuwa kubwa sana.
Kuna anayesema kwamba kuna watanzania wamesoma wanapata 100K, lakini huyo mtanzania muulize anampa uncle Sam kiasi gani na akilipa Bill anabaki na nini-na wako wangapi wa aina hiyo! Na for sure watanzania wa namna hiyo wapo wachache sana. We all know bana, kwamba naishi Msewe I have been there I have seen it and felt it. Hapa ni kupeana mawazo especially kwa wadogo zetu walio hapa bongo ambao wanaona USA na Europe kama Meccah. No way, things are tough than you expect.
Shida nyingine kubwa ni status! makaratasi. ni ukweli kwamba wengi walienda marekani kwa gia ya kusoma! wamefika huko, either shule waliacha (kwa sababu zilizo juu ya uwezo wao -kwa kukosa karo...maana wengi wetu tunadanganya tukienda ubalozini..oohh my uncle will sponsor me, na mambo kibao..kumbe ni HOT AIR TUU..) wanaishia kuingia mtaani na kujilipua kwa bibi/babu wa kizungu wapate status...well hakuna cha ajabu hapa ni katika harakati za kutafuta!
Lakini kikubwa what should we do? hapa swala ni gumu, kwa sababu alternatives ni worse. Nyumbani ni nyumbani lakini ukweli ni kwamba the situation is tough kama hauna shule ya kueleweka na connection za maana (hapa naongelea mtu kupata kazi ya kukuwezesha kuishi maisha decent Tanzania bila MKATO AU RUSHWA..!) Ukitaka uishi maisha clean yasiyo na rushwa hapa bongo kwa kweli you have to think twice-BUT IT IS POSSIBLE! Ni ukweli ingawa unauma.
Bongo things have changed I agree maana Iam here, BUT we still reward incompetence and corruption at the expense of honesty and intergrity. Baado jina la mtu linaply part kubwa ya ajira yako. USA unaweza kubeba box...ukalipa bills zako, maisha yakaenda...kifupi Tanzania hatujafika level ya kuthamini kwamba kila kazi inaheshima.
Kurudi nyumbani ni muhimu: Ila kama ungeniuliza mimi personally nikupe ushauri gani, siwezi kukupa ushauri wa siasa za Karl Max....rather..WORK HARD WHERE YOU ARE, IRRESPECTIVE WHAT YOU ARE DOING, INVEST HOME (BUILD A HOUSE, START SOME PROJECTS ETC..), FUNGUA ACCOUNT UWE UNAWEKA $$ KIDOGO KIDOGO NA JITAHIDI KUPIGA HATA HIZI EVENING CLASSES. MDA UKIFIKA, UTARUDI NA UKIRUDI HUTAENDA KUPANGA UTAFIKIA KWAKO HATA KAMA NI CHUMBA KIMOJA..NA UKIWA NA AKIBA..HEWALA, UTAKUWA NA PA KUANZIA. THIS IS NOT ONE SIZE FITS ALL and it is not easy-noty easy at all..maana hata hiyo $$ ya kusave ni ngoma nzito.....ITS A DIVERSE TOPIC WENGI TUNA MAWAZO TOFAUTI...
Shida ya biashara za bongo largely zina connection na wanasiasa. Ndo maana wengi wana enda na upepo. Sasa wewe jichanganye….Ulikuwa ni uongo mtupu, ulioakisi mabadiliko ya muda mfupi na sasa maisha yamebadilika sana
Haya turejee sasa, tuwaone hao walijigamba wamebaki bongo na wametusua wako wapi leo hii?
Walioyaweza mpaka leo ni wale walioenda CCM,
Hakuna chochote kwenye hayo mashirika makubwa eti wabongo ni CEO, tuone leo hao wanaolipwa $5000??????
Wako wapi ?
Hata waliojifungulia kampuni zao, kama kina Pascal Mayalla kipindi hicho walikamata hela sana, sasa aje hapa atuambie leo hii yuko wapi?
Na kulikuwa na kijana mmoja alianza mpaka kujilikana East Africa mmoja wa waanzilishi wa mitando mwanzoni, leo ni hii sijui kapotelea wapi na kuzikwa kabisa
![]()
Will launch largest data center and cloud service in Africa in 2017 - The Business Year
"More companies are outsourcing ICT services, and WiA is responding to this with major projects this year to address the fully outsourced IT-model."thebusinessyear.org
Kutusua ni relative, kunafuata kanuni za relativity, kuna mwingine kutusua kwake ni uwezo wa kula chips yai, kuku na soda, badala ya kula ugali maharage, huku anapanda daladala, anakaa nyumba ya kupanga na kuvaa nguo za mtumbani!,Ulikuwa ni uongo mtupu, ulioakisi mabadiliko ya muda mfupi na sasa maisha yamebadilika sana
Haya turejee sasa, tuwaone hao walijigamba wamebaki bongo na wametusua wako wapi leo hii?
Mimi niko very open, hali yangu nimeiweka wazi, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-sufferHata waliojifungulia kampuni zao, kama kina Pascal Mayalla kipindi hicho walikamata hela sana, sasa aje hapa atuambie leo hii yuko wapi?
Wala sikatai PascoKutusua ni relative, kunafuata kanuni za relativity, kuna mwingine kutusua kwake ni uwezo wa kula chips yai, kuku na soda, badala ya kula ugali maharage, huku anapanda daladala, anakaa nyumba ya kupanga na kuvaa nguo za mtumbani!,
Mwingine kutusua kwake ni kukaa kwake, kumiliki usafiri na kuyamudu maisha. Tunakuja huko ughaibuni, wengi wetu wanakaa nyumba za kupanga, wanafanya kazi za hovyo, they make good money, wanaendesha magari mazuri na kupiga pamba kali but with nothing back home!.
Mimi niko very open, hali yangu nimeiweka wazi, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
JPM kaondoka, Samia kaingia, hakuna kilichobadilika, it is real tough!.
Watanzania waliofanikiwa wako wengi but very secretive so does diaspora waliofanikiwa Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!
Kila mwaka nakuja US twice, April na September, naandika sana mambo ya diaspora
Paskali
- Thread 'Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!' Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!
- Thread 'Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga' Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga
- Post in thread 'Habari njema kwa Diaspora wa Tanzania, Wale ambao hawajajilipua, kuwekewa utaratibu, kupiga kura-Waziri Mkuu' Habari njema kwa Diaspora wa Tanzania, Wale ambao hawajajilipua, kuwekewa utaratibu, kupiga kura-Waziri Mkuu
- Thread 'Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania' Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania
- Post in thread 'Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship' Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship
- Thread 'CRDB Bank funga kazi! Unaweza kutuma pesa bure, kwa yeyote, kokote ukiwa popote Duniani. Big Up Sana CRDB Bank, diaspora tuchangamkie hii fursa!' CRDB Bank funga kazi! Unaweza kutuma pesa bure, kwa yeyote, kokote ukiwa popote Duniani. Big Up Sana CRDB Bank, diaspora tuchangamkie hii fursa!
- Thread 'Live from Dallas, US: Kongamano la Uwekezaji la DICOTA Kuwahamasisha Diaspora kuwa Wawekezaji' Live from Dallas, US: Kongamano la Uwekezaji la DICOTA Kuwahamasisha Diaspora kuwa Wawekezaji
- Wana Diaspora, naomba ushirikiano wenu; tukutane, tujadili Tanzania ikusaidieje ili uisaidie nchi yako?
- Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India
- Kutoka Sea Cliff Hotel, Zanzibar: Kongamano la Nne la Diaspora
- Balozi Dr.Wilbroad Slaa kuwa mwenyekiti tamasha la diaspora Sweden
- Wana Diaspora, naomba ushirikiano wenu; tukutane, tujadili Tanzania ikusaidieje ili uisaidie nchi yako?
- Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
- Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msingi Kuhusu Diaspora Watanzania
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India
- Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship
- Kutoka Sea Cliff Hotel, Zanzibar: Kongamano la Nne la Diaspora
- Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)
- Balozi Dr.Wilbroad Slaa kuwa mwenyekiti tamasha la diaspora Sweden
- Live from Dallas, US: Kongamano la Uwekezaji la DICOTA Kuwahamasisha Diaspora kuwa Wawekezaji
- CRDB Bank funga kazi! Unaweza kutuma pesa bure, kwa yeyote, kokote ukiwa popote Duniani. Big Up Sana CRDB Bank, diaspora tuchangamkie hii fursa!
- Live from Washington DC: Kongamano la Uwekezaji la Benki ya CRDB, Kuleta Tumaini Jipya la Ewekezaji Tanzania
- Usichojua Kuhusu Diaspora wa Tanzania, Wanamkubali Sana Samia, Wangekuwa Wanapiga Kura Kama Diaspora wa Wenzetu, Samia Angevuna Kura Nyingi za Kutosha
- View attachment 3588254