LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Maisha popote, inategemea umejiandaa vipi kuyakabili
Mkuu....kwanza fuatilia surnames za hao marafiki zako.....nilikuwa sijawahi kusoma hii thread,wewe ndio umenifanya nikajaribu kuipitia harakaharaka.kifupi FMES' POST imemaliza kila kitu mengine yalikuwa yaleyale kaenda/karudi(no disrespect to other posts),ila mjadala mkubwa uliuanzisha ulipotaja tu kuwa watu wanapata $20k/month.
well i have few friends bongo wanapata btn $2000-5000 believe me wako kwenye kampuni kubwa maarufu bongo na nafasi za juu kidogo,sio CEO,MD.
mimi naamini mishahara "mizuri" iko bongo ila watu wakianza kufananisha bongo na USA ni kutoitendea haki tanzania,hizo ni dunia mbili tofauti.
maisha ni popote utakapoona panakufaa.......