Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
Zitto should be perished away no mercy on that. OVER.
8825cff1cb7b3e9424f669ae569d5f40.jpg
 
Maelezo ya watu kadhaa hapa yananikumbusha simulizi ya kile kitabu cha Mashimo ya Mfalme Sulemani.
Enzi hizo huko kwa wakukuana kulikuwa kukichezwa ngoma ya kutamburisha wachawi ikiongozwa na bi kizee mmoja akiitwa GAGULA. Huyu mzee alikuwa na kifimbo chake muda wote ngoma ikichezwa yeye huelea angani kwa msaada wa maluhani wake, akikugusa tu nacho unapigwa mkuki wa moyo pale pale. Lakini ukweli ni kwamba Mfalme alikuwa akimtumia kuondoa mahasimu wake bila kuharifu heshima yake. Tuna vigagula tena vidume kibao.
 
Mkuu, kwani baada ya kujieleza kuna maamuzi chama wameyafanya?

Utetezi wake ndiyo unapitiwa.

Mbona buku 7 team mnamsimamia Zitto tu Kitila na Mwigamba hamkuwatuma?
Acheni hizo.

Hapo ndo mnashangaza sana najua mnapanda mbegu ya woga ili cdm waingie upepo ila maamuzi ya kubaki au kuondoka zitto yako mikononi mwa chadema.

Magazeti ya mlengo wa kiccm nayo yaliandika zitto aimaliza cdm sasa hapo ni kuwa zitto ni ccm au?
Tafakari chukua hatua.
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio

"Nitapambana kutetea uanachama wangu.

Kwa upinzani ni lazima tufanye tofauti na CCM. Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma kwa upinzani ni mbaya zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa wote bila kujali vyama. Uwajibikaji sio msamiati kwa watawala tu bali kwa viongozi wote. Namna tunavyotaka nchi iendeshwe ndivyo hivyo tuendeshe vyama vyetu. Tuhuma dhidi ya Kiongozi wa Upinzani kuhusu masuala ya uadilifu zinapaswa kuhukumiwa kwa namna ile ile wanayohukumiwa watawala.
Ninarudia kuwaambia ndugu zangu kwamba sitoki CHADEMA. Chama kina jasho langu na nitapambana mpaka dakika ya mwisho kutetea haki ya uanachama wangu.
Mimi ni CHADEMA toka ujana. Niliingia CHADEMA kwa kuchagua na sio wengine walioingia kwa Mazingira Ya kupata fursa za kugombea. Wengine wangepitishwa na chama walichokuwa kuwa wagombea Leo wasingekuwa upinzani na inawezekana wangekuwa mawaziri mizigo au waendesha operesheni tokomeza!"
zitto-akiwasilisha-repoti-2.jpg
 
NI MAZUZU TU NDIYO HUFIKIRI NAMNA HII.YAANI CHADEMA NI CHAMA CHA KIHADIDHINA (CONSERVATIVE) halafu unataka kupambana na uhafidhina ndaniya Chadema ,huo ni wehu maradiki wa chadema ni pamoha na conservative party ya UK,CONSERVATIVE PEOPLES PARTY YA DENMARK, sasa ukiendelea kumeza mambo bola kujua ndo utaendelea kujivua nguo na kujionyesha utupu
Mkuu, naona unafikiri kwa kutumia pande za maboga. Hakuna mahala nimeandika kuwa CHADEMA ni chama cha kihafidhina. Bali kuna kudi la wahafidhina ndani ya chama wanaopinga demokrasia. Uwe unatafakari kabla ya kuchangia. Pole sana
 
Utetezi wake ndiyo unapitiwa.

Mbona buku 7 team mnamsimamia Zitto tu Kitila na Mwigamba hamkuwatuma?
Acheni hizo.

Hapo ndo mnashangaza sana najua mnapanda mbegu ya woga ili cdm waingie upepo ila maamuzi ya kubaki au kuondoka zitto yako mikononi mwa chadema.

Magazeti ya mlengo wa kiccm nayo yaliandika zitto aimaliza cdm sasa hapo ni kuwa zitto ni ccm au?
Tafakari chukua hatua.
Mkuu, huwezi kuzuia nguvu ya Zitto. Iwe ndani ya CHADEMA au nje. Pole sana Mkuu
 
Miaka ya nyuma wakati Dr wenu wa canon anagombania urais niliwahi kusema huyu hafai kuwa rais amejaa udikteta, maisha ya kugawa watu na anapenda kuabudiwa. Hata ile taasisi anayoiongoza pale dar kama chairman katika bodi anaiendesha kama yeye ndio kila kitu. Anaabudiwa kama mungu na hadi jamaa zake wakifika pale wanakuwa kama waungu. Huyo katibu wenu wa chama chenu ambaye anatoa tamko kama hili halafu unaiita chama hichi ni cha demokrasia yenye kuleta maendeleo. Demokrasia hiyo haipo huko labda demokrasia ya utopia yenye kuishi katika nadharia za zidumu fikra za mwenyekiti hakuna mwengine zaidi.

Stephen Wassira aliona mbali na kauli yake itatimia haswa wakimfukuza Zitto. Fukuzilieni mbali msaliti huyo wengine sisi tushangilie mwisho wa chama cha utopian :cool2::spy::rip:

CHADEMA huongozwa na katiba.Hakuna Demokrasia bila kufuata kanuni na Taratibu

By the way unapozungumzia udikteta unazungumzia relative term.Maana hata demokrasia ni udikteta wa wengi dhidi ya wachache
 
Hakika zito ni mwanasiasa mzuri. Ivi ninani anauwezo wakuvumilia yanayo mpata zito ndani ya cdm?nampongeza sana zito.mungu yupo pamoja nawe
 
Utetezi wake ndiyo unapitiwa.

Mbona buku 7 team mnamsimamia Zitto tu Kitila na Mwigamba hamkuwatuma?
Acheni hizo.

Hapo ndo mnashangaza sana najua mnapanda mbegu ya woga ili cdm waingie upepo ila maamuzi ya kubaki au kuondoka zitto yako mikononi mwa chadema.

Magazeti ya mlengo wa kiccm nayo yaliandika zitto aimaliza cdm sasa hapo ni kuwa zitto ni ccm au?
Tafakari chukua hatua.

unaakili ya kawaida sana mkuu kaa ukijua kuwa zitto amekuwa mwamba siku zote wakati ananyanyaswa chadema ameendelea kuwa imara.

mwambieni mzee slaa akifanya mchezo na zitto ataisahau siasa na kubaki jina tu kwenye siasa zitto ndiyo mwenye chadema mengine yote ni porojo tu.
 
Kweli Zitto anaogopwa sana,yaan mpaka Dr Slaa sasa anahofu kuwa anaweza akawafunika kwenye Baraza Kuu?otherwise hana haja ya kupanic kwa hili,baraza ambalo ndilo chombo kikuu cha Chadema kiamue tuanze ukurasa mpya.
 
Labda wewe tuambie
kwanza nini maana ya demokrasia halafu tuchangie.

Halafu alivyokuwa mpuuzi anaruka baadhi ya vipengele vilivyoongelewa, maana katika mkutano wa ZZK baadhi ya wapambe wake waliisema vibaya CDM na hili ndo aliloonya katibu mkuu, maana siwezi ishi nyumba moja nawe wakati wewe upo busy kuibomoa, I wont stand for it no matter who you are.
 
Hujui ccm wametumia ujinga na umaskini wa watanzania kumfadhili zitto ili aue CHADEMA?Tunajua wapo wengi wanaomwamini kutokana na ujinga wao na wengine tamaa zao kwa hiyo wala si ajabu kwa hili hasa kwenye nchi ya watu wasiojitambua!na zzk anajua hilo

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hawa wengine wengepitishwa na chama chao kugombea ubunge leo hii wasingekuwa wapinzani-Zitto
 
BABU wewe tulia tu hio ya ZZK ni trela Subiri picha kamili hio ndio habari ya mujini! Jiandae kurudi KARATU huo UKATIBU MKUU Unauachia siku si nyingi.

waziri wa pesa maalufu kuliko fedha yenyewe..
 
One thing we dont care in chadema is , "WHO IS WHO" we only care about constitution, Even if Dr. Slaa could be where Zitto in right now, we could just follow our const, Tanzanians lets wake up, time is up to be a fun of somebody, follow whats right, If zitto has done mistake, let the const decide his future in Chadema, making noise here and supporting either parties wont help, support the const. This same man once announced that he must contest for presidency 2015, while by that time he will be 1 year less to constitution requirement, and when he was asked about this, he claimed that constitution are made by people, he might be right, but not to fullfil somebodies dreams' truly since that day I lost my trust in this man, SO GUYS, LETS STICK ON CONSTITUTION.., AND LETS DONT BE AFRAID OF HOW MANY PEOPLE ARE CLAPING FOR SOMEBODY.
 
kwa hiyo mtu uhukumiwa kwa matendo ya wengine?

Kwa hiyo wafuasi wa mbowe na dr slaa wanao mtukana zitto wanakuwa wametumwa na wakina mbowe?

Chadema kina viongozi mzigo,mambo yanafanywa na wapenzi au mamluki au mashabiki wa Zito,kwanini aukumiwe Zito,waraka umeandaliwa na Kitila na Mwigamba lakini anahukumiwa Zito,anatukwana Zito,Je yanafanywa na Ben,Yericko,Mungi,Lema,na Vifaranga wote wametumwa na mama zao
 
Kwanini hii saccos inaendeshwa kiimla?

So mnaitakia nn?si mumshauri ZZK aondoke maana yupo kwenye saccos, sometimes inabidi kujitoa ufahamu ili kujibu baadhi ya post its utter rubbish, phew!!!!!
 
Huyu mzee ana matatizo gani? yaaani u-dikteta umemkaa kupita maelezo!
Mbona ndio maisha yake ya kila siku. Unajua hata hizo document wanazo zunguka nazo Tanzania nzima kumchafua Zito wametengeneza Mnyika na Lema.(sauti huru, Dec 11-13 , 2013)
 
CC ya Chama pigeni chini huyu msaliti na anaejifanya yeye CDM damu kumbe yeye ni KIRUSIndani ya CDM
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom