Japo sisi wengine sio madaktari, lakini dalili za early stages za mind incapacitation zimeanza kujitokeza kwa baadhi ya viongozi wa Chadema, nadhani kuna baadhi yao wameanza kufunguka macho kuwa kinachoendelea dhidi ya Zitto ni some kind of vendatta ndio maana wamejinyamazia!. Sasa kama hizi ndizo early stages, later stages zitakuwaje?!.
Kama hawatatokea watu imara ndani ya CC ya Chadema kuhakikisha haki inatendeka, mzee wetu huyu, atakipeleka chama kusiko!, na hivi kufuatia kuwa ni msomi wa divinity aliyebobea, kuna baadhi ya wafuasi wake ni wanakondoo, sio tuu kwa utii, hadi kukaribia kumuabudu, chochote atakachosema hapana, wao hukiona kama dhambi, na kosa kubwa la Zitto ni kuonyesha interest ya 2015!, hii ni dhambi ya mauti na ndicho pekee kinachomsubiri Zitto ndani ya Chadema, hii kauli ya "eti anaweza" as if maamuzi hayajaamuliwa, ni zuga tuu!, nashukuru Zitto mwenyewe hili ameishalijua, na kaamua kufa nao!.
Pasco.