BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Kwi kwi kwi kwi kwi angalia povu zinavyokutoka!!!! Kumtetea msaliti katika chama ambacho hakikuhusu kwamba kaonewa na unatoa povu ili abaki CHADEMA!!!! Hivi una akili sawa sawa weye!!!? Inabidi ukapimwe akili yako kwa kutaka kuingilia mambo ya ndani ya chama ambacho hakikuhusu hata chembe. Ndio imeshatoka mtatoa povu kwa miezi chungu nzima ijayo msaliti harudishiwi nyadhifa zake na akiendeleza kibri basi hata uanachama atavuliwa. Mambo ya CHADEMA waachie CHADEMA nenda katoe povu kwenye chama chenu cha wauza unga ambacho kwa sasa kinapumumua kwa mashine.
siko narrow minded kama wewe kibavicha, naangalia mambo kwa mapana yake.
kabla ya 2009 Zitto alikuwa mtakatifu na hero kwa chadema ila alipoenda kuchukua form ya kumchallange mkwe wa hayatulah mtei ndo tunaona haya yote. na tangu kipindi kile mpaka leo bado mnaendelea kumchafua. we all know. tatizo ni uenyekiti. Zitto ni yuleyule ila mnamchafua kwa makusudi. siamini kama kweli kuna mkono wa ccm. hatujasahau yaliyomkuta chacha wangwe kwa kumchallange mkwe wa hayatulah mtei.
kama mbowe anajiamini katika uongozi wake kwa nini amhofie zitto wakati kapu lakura bado lingembeba?
hata kama hatujui kusoma hata picha ukutani hatuioni? funguka, otherwise utatumika sana.