Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
naomba watu wa USALAMA WAMKAMATE HUYU BABU HII KAULI SI YA KISIASA BALI NI YAKIMAFYA
NA KAMA MTAMPUUZA ANAWEZA KUFANYA KAMA ALIVYOSEMA NCHI HAITATAWALIKA. Take this notes.

R.I.P Chacha Wangwe Mzimu wake umecharuka unadai Padri Dr hajawahi kuitisha misa kumwombea wala hataki hata kuzulu kaburi lake wala kulipia Bango TBC wankumbuke chezea Mzimu wewe.......
 
Hata mimi nimemsikia Dr Slaa kwa masikio yangu kupitia ITV ya Dr Mengi. Zitto anaponzwa na mtandao wake ambao pengine anaujua au haujui pia kwa sababu ya u much know wake.

Chezea Mzimu wa chacha wangwe wewe...
 
Tokea afariki chacha wangwe Hakuna kiongozi wa Chadema amewahi kumkumbuka sasa Mzimu wake umebisha hodi chezea Mzimu wewe...
 
Jamani ninyi wasiwasi wenu nini? kweni akifukuzwa nyie mtaathilika kitu gani? mbona mnatoka povu mwacheni anajua anacho kifanya tena anajua kuliko ninyi kwani ana mwanasheria sawa? acheni kutoa povu wanaharamu nyie.
 
BABU wewe tulia tu hio ya ZZK ni trela Subiri picha kamili hio ndio habari ya mujini! Jiandae kurudi KARATU huo UKATIBU MKUU Unauachia siku si nyingi.
 
Mwanachama wa Kawaida (Zitto) anakuwa na ushawishi mkubwa kuliko (katibu + mwenyekiti), hapa lazima hawa jamaa wachanganyikiwe tu.

Hujui ccm wametumia ujinga na umaskini wa watanzania kumfadhili zitto ili aue CHADEMA?Tunajua wapo wengi wanaomwamini kutokana na ujinga wao na wengine tamaa zao kwa hiyo wala si ajabu kwa hili hasa kwenye nchi ya watu wasiojitambua!na zzk anajua hilo

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio
 
Labda wewe tuambie
kwanza nini maana ya demokrasia halafu tuchangie.
 
Zitto should be perished away no mercy on that. OVER.
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio

Hii kampuni sio chama tena. Kinaendeshwa kiimla utadhani familia
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio

huwa hana hotuba _anaongozwa na sms za akina Ben, Molemo, Mtoi. alipoambiwa nyomi ya KASULU na alivyokumbuka kipigo alichopata NDO MAANA ali_PANIC, tumuonee huruma_udhaifu wao wa kukurupuka ndio unawaletea shida sana hata kumfukuza maana kila hatua wanakosea_dogo akienda SERENA anawamaliza_unatoa hukum then ndo unampa nafas mtu ya kujibu tuhuma? sheria za Kihafidhina bana_Kimsingi dogo yupo smart kuliko wanavyodhania_wakienda vibaya hilo shati lazima walichane na sasa sijui nani atavaaa kama sio atakaye livaa kuonekana CHIZi na definetely ni SLAA ambaye anaongozwa na kushauriwa na wahuni_wazee wa tototz DUBAI , KuTONYWA
 
Sijaona kosa la kauli hii, zitto anaweza akafukuzwa kabisa uanachama wake, najiuliza maswali sana na sijapata jibu, kwa nini mtetezi wa zitto ni wanaccm na wanachadema wasaliti?
 
Labda wewe tuambie
kwanza nini maana ya demokrasia halafu tuchangie.

soma hotuba ya ZZK Mwandiga utaona shule aliyomwaga kuhusu maana ya Demokrasia_kubwa zaidi ni kuwa Optimist na sio kutawaliwa na masilah binafsi
 
Labda wewe tuambie
kwanza nini maana ya demokrasia halafu tuchangie.




democracy (dɪˈmɒkrəs&#618😉

1. government by the people or their elected representatives
2. a political or social unit governed ultimately by all its members
3. the practice or spirit of social equality
4. a social condition of classlessness and equality
5. the common people, esp as a political force

[C16: from French démocratie, from Late Latin dēmocratia, from Greek dēmokratia government by the people;
 
BABU wewe tulia tu hio ya ZZK ni trela Subiri picha kamili hio ndio habari ya mujini! Jiandae kurudi KARATU huo UKATIBU MKUU Unauachia siku si nyingi.

Ndoto za mchana ndiyo hizi unaota . Pole sana.
 
Sijaona kosa la kauli hii, zitto anaweza akafukuzwa kabisa uanachama wake, najiuliza maswali sana na sijapata jibu, kwa nini mtetezi wa zitto ni wanaccm na wanachadema wasaliti?
1. Kama kauli hii haina makosa, je chadema ni ya kidemokrasia au ya kiimla?
2. Hakuna utaratibu wa kutolea maamuzi halali kuhusu mambo ya chama?
3. Km ameshafukuzwa kwanini mnakasirika akifanya mikutano mkoani kwake?
4. Kwanini nyie mnamdhalilisha halafu hamumpi fursa ya kujitetea?

is that democracy? Chadema acheni ulaghai, watz sio wajinga kiasi hicho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom