Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
Hapana. Msipotoshe watu. Tatizo ni arrogance ya Zitto na kujiona yeye ni muhimu kuliko chama.

hapana,usipotoshe tatizo la slaa ni pale yeye anapojifanya yeye kama mungu kuwa hawezi kukosea ndiyo maana anawagandamiza wenzake na kuwanyanysa lakini ajue kuwa zitto ni zaidi ya slaa hata afanye nini.
 
democracy (dɪˈmɒkrəs&#618😉

1. government by the people or their elected representatives
2. a political or social unit governed ultimately by all its members
3. the practice or spirit of social equality
4. a social condition of classlessness and equality
5. the common people, esp as a political force

[C16: from French démocratie, from Late Latin dēmocratia, from Greek dēmokratia government by the people;

zzk kashapewa adhabu m oja na ameambiwa ajitete ili asiadhibiwe ZAidi ,kama uwanjani kapewa njano alafu anaendelea kufanya Faulo Kuna k o sa referee kumwambia ninawezakukutoa uwanjani kama hutaacha?? By the way katiba ya chama chenu cha zamani inayosema mwanachama kijana haruhusiwi kuwa mwenyekiti T a if a na Rais tu ndiye mwenye haki ya kuwa mwenyekiti ndio demokrasia
 
huwa hana hotuba _anaongozwa na sms za akina Ben, Molemo, Mtoi. alipoambiwa nyomi ya KASULU na alivyokumbuka kipigo alichopata NDO MAANA ali_PANIC, tumuonee huruma_udhaifu wao wa kukurupuka ndio unawaletea shida sana hata kumfukuza maana kila hatua wanakosea_dogo akienda SERENA anawamaliza_unatoa hukum then ndo unampa nafas mtu ya kujibu tuhuma? sheria za Kihafidhina bana_Kimsingi dogo yupo smart kuliko wanavyodhania_wakienda vibaya hilo shati lazima walichane na sasa sijui nani atavaaa kama sio atakaye livaa kuonekana CHIZi na definetely ni SLAA ambaye anaongozwa na kushauriwa na wahuni_wazee wa tototz DUBAI , KuTONYWA
Mkuu, umenifurahisha sana. Hakika umeandika ya kweli
 
Babu slaa kieleele kina msumbimbua ili apate nafasi lakini; final ni mbowe ,mkewe na mkwe hao wote ni wachumia tumbo na mshumbuzi ,
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio

Alisema amepewa siku 14, zimeisha,na amejieleza.
Huyo zito anatakiwa afukuzwe tu, kwani ni nani? Si ataenda chama kingine? Mimi na wewe hatutafaidika kwa lolote.
 
Kijibabu Slaa, mzinzi Mbowe, na mwanao Lema nimoja Kati ya watu wenye mabilioni uswisi na Africa ya Kusini. Ndo maana wanwona kama mwiba.
 
Mbona Zitto akipanda jukwaani huwa hamtaji,yeye kinachomuwasha ni nini?

NISHAMDHARAU HUYU MZEE kuna siku mtu alisema huyu ndugu anaongozwa na chuki sasa naamini
Mkuu, zee linazeeka vibaya. Ni wa kumhurumia tu huyu
 
Kwa nn alisema hivyo?
Mi nilisikia ya kwamba zitto anaweza akafukuzwa uanachama kwa kile anachokifanya yaani kukawa chama kwa kuandikia Viongozi wa majimbo barua kuwataka wamuunge mkono.
Hiyo ya kwamba zitto atafukuzwa ndani ya siku 14 ni uongo kwan zitto ndiye alipewa siku 14 baada ya hapo kamati itapitia utetezi wake.
 
Alisema amepewa siku 14, zimeisha,na amejieleza.
Huyo zito anatakiwa afukuzwe tu, kwani ni nani? Si ataenda chama kingine? Mimi na wewe hatutafaidika kwa lolote.
Mkuu, kwani baada ya kujieleza kuna maamuzi chama wameyafanya?
 
Uwezo wa Zitto huwezi kufananisha na hafidhina yeyote ndani ya chama
NI MAZUZU TU NDIYO HUFIKIRI NAMNA HII.YAANI CHADEMA NI CHAMA CHA KIHADIDHINA (CONSERVATIVE) halafu unataka kupambana na uhafidhina ndaniya Chadema ,huo ni wehu maradiki wa chadema ni pamoha na conservative party ya UK,CONSERVATIVE PEOPLES PARTY YA DENMARK, sasa ukiendelea kumeza mambo bola kujua ndo utaendelea kujivua nguo na kujionyesha utupu
 
Hivi mtu anayefikiria kuruhusu Gongo, hata mawazo yake yapo kiGongo Gongo tu.....
 
Sijaona kosa la kauli hii, zitto anaweza akafukuzwa kabisa uanachama wake, najiuliza maswali sana na sijapata jibu, kwa nini mtetezi wa zitto ni wanaccm na wanachadema wasaliti?

Labda utuambie huyu Dr Slaa kwenye hili anazungumza kama nani?
hukumu zinachukuliwa majukwaani!!!!
 
Hivi mtu anayefikiria kuruhusu Gongo, hata mawazo yake yapo kiGongo Gongo tu.....
Mkuu, mzee amehalalisha uzinifu, kupira wake za watu na sasa gongo. Tusubiri mwisho wa siku atakuja kuruhusu wanaume kuoana
 
Dr Slaa anaweweseka anajua nafasi yake ya kugombea urais 2015 ipo mashakani

Huyu ni dictator hafai kuigwa mi nishamdharau sana
 
Kiitifaki ni sahihi kupita maeneo ambayo bosi wako kapita kukagua uhai wa chama na wewe upite nyuma yake kukagua ?
 
Labda utuambie huyu Dr Slaa kwenye hili anazungumza kama nani?
hukumu zinachukuliwa majukwaani!!!!
Mkuu, kuna wengine wanafikiri kwa kutumia pande za maboga. Hii ni hatari sana. Hawajui kuwa kauli ya Katibu Mkuu inareflect mawazo ya uongozi wa CHADEMA juu ya Zitto Kabwe
 
Kiitifaki ni sahihi kupita maeneo ambayo bosi wako kapita kukagua uhai wa chama na wewe upite nyuma yake kukagua ?
Kwani umesikia kuwa Zitto aliend kukagua uhai wa chama? Mwandiga ni nyumbani kwake Zitto na kikao cha bunge kilikuwa kimeisha, hivyo Zitto alikuwa anarudi kwao. Kwa vile wananchi ambao ni wafuasi wake walikuwa na hamu naye ndo maana wakamuandalia mapokezi makubwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom