Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,746
- 46,269
Pasco, mimi nipo kijiweni kwangu hapa nakunywa kahawa na kashata nakusoma.Mimi ni mtu wa kijiweni!, hoja zangu zote ninazoleta humu, nazitoa kijiweni, na pia ni kwa ajili ya watu wangu wa kijiweni na tena haswa vijiwe vya kahawa!. Asubuhi huanzia vijiwe vya kahawa, mchana hushinda kijiwe cha jf, alasiri vijiwe vya jobless, jioni kwenye kahawa tena, usiku saa ya chakula kijiwe cha mama mtilie kukombelezea mabaki, usiku namalizia tena kijiwe cha jf!. Yaani ninazunguka vijiweni kutwa kucha!, nalalia kijiweni, naamkia kijiweni, nashinda kijiweni, nakula kijiweni!.
Pasco