gwakipanga
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 794
- 638
Dr ni siraha tosha
Slaa ndoa inamshinda ataweza watu milioni 45!!!!
Tulieni dawa iingie vizuri mtapona tu haraka ya nini wakati bado umelazwa, Dr atakudischarge tu wakati ukifika?
EDWALD LOWASSA ni rais mtarajiwa wa taifa hili, wengine ni wachumia tumbo tu.:fish::fish:Slaaaaaaaa anatosha
JamiiForums Message
You did not select an option to
vote for. Please press back to
return to the poll and choose an
option before voting.
Hii msg siielewi!
MODS NAOMBA MUWASAIDIE WATU WANAOTUMIA SIMU WAWEZE KUVOTE. Badili view toka Mobile iende Touch, kisha badili iwe fullsite, hapo utautafuta uzi huu kwenye jukwaa la siasa, kisha utapiha kura hapo.