Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,850
Naona huu ni mwezi wa kina 'Anthony '
UKIMWI ulianza Kujadiliwa tokea mwaka 1981 mbona mpaka hii leo bado tunaujadili tu? Pumbavu Wahed Wewe...!!!Hii habari tumeshaijadili Sana, wewe ndio unakurupuka sasa hivi. Vitu vingine kubali vikupite, nyambaaaf
Umeshawahi fika hizo shule ndugu? Sasa subiri nikumegee siri ya shule za mtindo huo:Mkuu wa mkoa hana facts ni siasa tu watoto wanahitaji kupumzika bhana.Mbona Tabora girls na tabora boys zimeshika namba 3&4 kitaifa bila makambi.Aaacha kuja mikakati isiyo na takwimu za ukweli
Wanafunzi wa kweli Tanzania ( hasa kwa Primary, Ordinary na Advanced level ) tuliishia mwaka 2000 tu Mkuu na kuanzia hapo hadi leo hii hakuna Wanafunzi bali kuna Wahudhuriaji tu wa Madarasani Mashuleni.Kwani Wanafunzi wenyewe wanasemaje? Warudi majumbani au wabaki shule WAJIFUE kujiandaa na mitihani!?
Wanafunzi wa kweli Tanzania ( hasa kwa Primary, Ordinary na Advanced level ) tuliishia mwaka 2000 tu Mkuu na kuanzia hapo hadi leo hii hakuna Wanafunzi bali kuna Wahudhuriaji tu wa Madarasani Mashuleni.
Mpwaaa huku jilinde na maneno.makali.utakuja.mtukana baba yako.wa kambooooo blv mUKIMWI ulianza Kujadiliwa tokea mwaka 1981 mbona mpaka hii leo bado tunaujadili tu? Pumbavu Wahed Wewe...!!!
Ukimchokoza Simba lazima atakuua tu.Mpwaaa huku jilinde na maneno.makali.utakuja.mtukana baba yako.wa kambooooo blv m
Na atakaye mtoa atakuwa anamjengea msingi Imara huko mbele!Sijui kama atabaki salama. Nahisi kitaota nyasi soon akaungane Chalamila
Huyu kweli kiazi!! Mkoa wa Songea silui aliukuta nchi gani!Wewe kwa akili hizi ni Sifuri, Kuna mkoa unaitwa "Songea"
Wana ccm mna matatizo makubwa sana
Unatetea mambo wakati wewe una elimu ya kuunga unga na elimu ya shule za kata
Mkuu wa mkoa anataka kuboresha, wewe unataka watoto wawe Vilaza kama wewe
Tuko pamojaNakataa, Mtaka huo usmart hana na hajawahi kuwa nao.
Nitashangaa kama hataondolewa kimsingi amemtukana rais na kwa ile kauli amedharau mamlaka na hadi genderMtaka Hana adabu kabisa. Kungelikuwa Samia I would have fired him. Angelitafuta forum ya staha kusema aliuoyasema na si kubwatuka
Jidanganye, wote unaowaona ni ma Prof hasa waliopita PCB na PCM walitumia mtindo huo. Nani kakueleza kuwa hakuna kukariri Newton 3rd law wewe.Ukisoma usiku kucha unapata muda wapi wa kutafakari? Ni kukariri, siyo kuelimika.
Sikusema wote, ila wengi. Kama wewe si mmoja wao basi tulia tu mkuu. Ninaoungana nao wamenielewa.Mko wengi wewe na nani? Watu mbona mnajipa mamlaka ya kuwawakilisha wengine
Acha uongo, hata makonda alikuwa akipinga kauli ya waziri. Kumbuka issue yake na Dr.Mpango
Uko sahihi, wanafaulu. Lakini mazingira yao ni rafiki na wazazi wanahangaika kivyao. Mfano mkoa wa Dsm, tuition kwa mtoto toka awali hadi form 6. Kuna haja gani ya kambi wakati mambo yanaenda?Mikoa ambayo hakuna makambi wanafunzi hawafaulu?
nakuelewa mkuu, kama viongozi tena wateule wa raisi wanashindwa kuongea na kujadiliana kwa pamoja kuhusu jambo dogo kama hili mpaka wanaishia kutumia majukwaa kujibizana ni tatizo kubwa. Kuna moja hapa wendo kuna mmoja siyo mwenzetu - yupo kwa nia ya kutuvuruga na mwingine ni mwenzetu ila amezidiwa ameona sasa liwalo na liwe.Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka