kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Hivi unafahamu kuwa Mtaka aliongea kitu anachokifahamu consequence yake?Mkuu, inaelekea una tatizo binafsi na waziri wa elimu. Kuna msemo wa kiingereza usemao - "All work and no play makes Jack a dull boy". Ulizia maana yake.
Unadhani Mtaka, Chalamila, Diallo hawana akili kiasi hicho? unadhani wewe hakuna tatizo? Unadhani wewe hawa jamaa wako peke yao?