Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
Ukiomuona nguchilo anatamba Na kubwata ujue yuko karibu Na shimo lake. Kunguru hana kibiongo kama ukiona kibiongo ameinama anaokota kitu.

Mtaka amejiamini nini kumbwekea waziri?
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.

Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.

View attachment 1851200


Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.

Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.

Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.

Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.

Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.

Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.

Mama Samia tuondolee huyu Ndali
View attachment 1851425
IMG-20210713-WA0027.jpg
 
Ukiomuona nguchilo anatamba Na kubwata ujue yuko karibu Na shimo lake. Kunguru hana kibiongo kama ukiona kibiongo ameinama anaokota kitu.

Mtaka amejiamini nini kumbwekea waziri?
Ameshaomba samahani tayari. Itamkosti huko mbeleni aombe Mungu aendelee kupanda juu.
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.

Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.

View attachment 1851200


Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.

Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.

Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.

Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.

Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.

Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.

Mama Samia tuondolee huyu Ndali
View attachment 1851425
Mkuu, inaelekea una tatizo binafsi na waziri wa elimu. Kuna msemo wa kiingereza usemao - "All work and no play makes Jack a dull boy". Ulizia maana yake.
 
Mtaka ukae ukijua ipo siku ya kwako yatajulikana, wale influencers unaowalipa mtandaoni kukusifia utawalipa hadi lini?
Mtaka ni kiongozi wa hovyo sana ambae anatumia kuchangia na kulipa watu wenye ushawishi mtandaoni ili wamsifie huku yeye akiendelea kupiga madili. Ipo siku mama Samia atakumulika, muda utasema
Ndalichako mara ngapi anatoa pesa ili aandikwe vizuri
 
Mkuu wa mkoa hana facts ni siasa tu watoto wanahitaji kupumzika bhana.Mbona Tabora girls na tabora boys zimeshika namba 3&4 kitaifa bila makambi.Aaacha kuja mikakati isiyo na takwimu za ukweli
Ila tabora girls na boys aina ya wanafunzi wanaoenda pale ni wazur shule ina walimu wazoefu, mazngira mazur na pia hata hao wanafunz wengi wanao uwezo makwao
 
Nakataa, Mtaka huo usmart hana na hajawahi kuwa nao.
Uko sahihi. Hayo ni mawazo yako. Tuliowengi tunaamini yuko smart.
Kwa serikali za Afrika, kiongozi wa ngazi yake ni vigumu sana kupinga kauli ya waziri hadharani. Ameonesha tofauti kubwa sana.
 
Wewe umesoma shule za kina Junior ndio maana tuulize sisi tuliosoma Kayumba tukusimulie ugumu wa hii elimu ya huku kwetu.
Mkuu mimi sipo huko.

Kwenye sheria za utumishi wa umma watumishi wanatakiwa kutoka ofisini saa ngapi?

Ulitaka waziri akiuke sheria hiyo?
 
Mr. Mtaka kachemka...

Si kwa sababu ya alichoongea kuwa hakina maana. Inawezekana ana nia njema lakini si katika namna alivyoi - present hiyo hoja yake na mahali na wakati...
Ndalichako naye ana makosa. Alipaswa kujifunza na kuifahamu vema jamii anayoiongoza pamoja na changamoto zake kabla ya kubwatuka kwa kuwa ni waziri.

Masomo ya muda wa ziada nchini hayajaanza leo, angejifunza ni kwanini hali hiyo ipo na inazidi kushika kasi kutoka masaa hadi kuwa makambi ya mwezi. Baada ya hapo angekuja na mwongozo badala ya kuja na tamko ambalo linatetea sera mbovu za elimu.

Mtaka kaongea ukweli mchungu unaofichwa na viongozi wengi wa wizara hii.

Walimu wametwishwa mzigo wa kufikia viwango vya ufaulu bila huruma. Mzigo ni mkubwa kuliko uwezo lakini lazima ubebwe. Ataubebaje huyu mwalimu? Katafuta mbinu ya kuubeba bado anawekewa vikwazo.

Profesa anashindwa kutafuta suluhisbo la tatizo anabaki kubweka bila uelekeo. Ndo maana Msukuma alisema uprofesa wao hauna tija kwa ustawi wa taifa letu.
 
Hilo agizo la Waziri wa Elimu lenye lengo la kufelisha kwa kuzuia watoto wasisome baada ya saa 9 lilitolewa kimya kimya au hadharani?
Tena amewadhalilisha wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanapambana kupata matokeo mazuri kwenye maeneo yao kwani walishawashawishi wananchi kukubali kugharamia masomo ya ziada, alijua hilo na bado akathubutu kusema wamepoka mamlaka.

Acha tu ajibiwe kihuni kwa kuwa alitumia ubabe wa mamlaka badala ya hekima.
 
Waziri hajatoa agizo kwa feelings zake, ipo miongozo ya elimu. Badala ya kushambulia mtu angejikita kwenye mabadiliko kisera na nafasi hiyo anayo. Lakini pia anaweza kuwasiliana na waziri au hata Rais kwa marekebisho kama ana hoja.

Kwanini amdhalilishe waziri? Unajua matokeo ya kauli zake ikiachwa namna hii bila kuwajibika?

Nimesema wewe unajua vyema, Mbowe hata kama akiongea jambo hadharani akakosea kuna mtu pale ufipa anaweza kutoka hadharani kumkosoa akabaki salama? Uongozi una miiko yake lakini tukienda hivi mawaziri wataachia wakuu wa mikoa wafanye wanalotaka.

Mama Samia anapaswa kunyoosha rula. Huu ni utomvu wa nidhamu anapaswa kuchukua hatua ili viongozi waheshimiane otherwise tutasikia mengine na mwisho serikali kuwa dhaifu.
Yeye mkubwa aliwaheshimu wadogo?
Tusichokijua hapa ni kuwa kila RC /DC kwenye eneo lake amewekewa malengo ya kutimiza kwenye kila idara, nj pamoja na elimu.

Sasa mkuu wa mkoa kaweka mikakati yake, waziri anakuja kuwaambia wananchi kuwa hiyo mikakati si sahihi. Huyu mkuu wa mkoa au wilaya atafanikiwaje?

Vitabu kapewa vichache, walimu pungufu, majengo mabovu, madawati hakuna na hata walimu wachache waliopo wamekata tamaa ya kazi.

Waziri aje na suluhusho halisi badala ya kushikilia sheria na kanuni ambazo hazileti tija.
 
Back
Top Bottom