mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Nimekujibu ni
nimekujibu nimefuta nikakujibu nikafuta nikafuta nikakujibu hivi. Basi tuu nikae kimyaKumbe sio kupewa madali yote ni sehemu tu ya badali, na serikali pia itamiliki sehemu kwa mjibi ya waziri. Gati 8 hadi 9 gati ya magari hayako kwenye mkataba, hauna uhusiano na bandali ya tanga na mtwara.