Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,037
Wadau BANDARI yetu ilisemekana haifanyi kazi kwa UFANISI na kusababisha Upotevu Mkubwa wa MAPATO.Ili kuifanya Bandari ifanye kazi kwa ufanisi na kukusanya Mapato zaidi ikakabidhiwa kwa Kampuni ya DP WORLD ya DUBAI licha ya Wenye Nchi yao kupinga lakini wenye Maamuzi likiwemo BUNGE halikujali nini Wanasema Wapiga kura wao.
Sasa kuna Shirika linaitwa TANESCO.Shirika hili halina tofauti na BANDARI kwani Ufanisi wake ktk Kutoa Huduma ya Umeme imekuwa ya KUUNGA UNGA na kusababisha mdororo wa Uchumi kwa Watumiaji wa huduma hiyo.Cha kushangaza BUNGE lipo KIMYA Kama vile halioni Kama lilivyoona kwenye suala la BANDARI.
Kwa kuwa Kampuni ya DP WORLD ya DUNIA ilipigiwa Upatu kuwa ni Kampuni BORA basi Utaratibu uliotumika Kuwapa DP WORLD ya DUBAI ile BANDARI utumike pia Kuwapa TANESCO na BUNGE lilipite Azimio la KUKUBALI ili Tuondokane na hii SHIDA ya Umeme.Nina Hakika DP WORLD ya DUBAI itaifanya TANESCO ifanye kazi zake kwa Ufanisi.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Sasa kuna Shirika linaitwa TANESCO.Shirika hili halina tofauti na BANDARI kwani Ufanisi wake ktk Kutoa Huduma ya Umeme imekuwa ya KUUNGA UNGA na kusababisha mdororo wa Uchumi kwa Watumiaji wa huduma hiyo.Cha kushangaza BUNGE lipo KIMYA Kama vile halioni Kama lilivyoona kwenye suala la BANDARI.
Kwa kuwa Kampuni ya DP WORLD ya DUNIA ilipigiwa Upatu kuwa ni Kampuni BORA basi Utaratibu uliotumika Kuwapa DP WORLD ya DUBAI ile BANDARI utumike pia Kuwapa TANESCO na BUNGE lilipite Azimio la KUKUBALI ili Tuondokane na hii SHIDA ya Umeme.Nina Hakika DP WORLD ya DUBAI itaifanya TANESCO ifanye kazi zake kwa Ufanisi.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app