Hakuna mzee MPUMBAVU kama huyu alipewa Hadi ubalozi saivi magufuli hayupo ana mdiss ana shukrani anataka tumbo liongezeke tu upinzani wasiikubali hii takataka isiyokuwa na msimamo
Kuna possiblity Dr Wilbroad Slaa siku moja akarudi kwenye active politics tena kwenye chama chake kilekile kilichompatiaga ubunge wa Karatu kwa vipindi vitatu mfululizo - yaani CHADEMA...
Na hiyo ndiyo siasa. Na hizo ndizo characters halisi za wanasiasa...!!
Hivi mfano, umegombana na jirani hamuongei kabisa alafu siku umevamiwa na majambazi akaja kutoa msaada utamkataza na kumwambia "acha unafiki jirani mbona umekuja kutoa msaada wakati hatuongei?"