Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
tuna viongozi malimbukeni na washamba mnoo.Shida inakuja ni pale akili ndogo kutawala akili kubwa
tuna viongozi malimbukeni na washamba mnoo.Shida inakuja ni pale akili ndogo kutawala akili kubwa
Ni wakati wa wasomi kujiunga na bonga movie na bongo flava. Wachache waliosoma wameula.Watu serious, wanaojielewa hawatakiwi kwa sasa.......
Kuna nchi zingine pia hazitaki wananchi wao wawe na uelewa,
Kuna kitu muda tu kimeanza sijui kama umekigundua,yaani ni bongo fleva mwanzo mwisho kuanzia kupigwa kwenye media mpaka matamasha yapo kila mara????
Ukichunguza vizuri utanielewa nachomanisha
Ova
Kodi haikusanywi kwa kucheza ngoma na Sanaa. Hii PhD yako waliokupatia nao Wana matatizoWaziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo;
Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.
View attachment 1826377
Kwa akili hizi hata Uganda watatupita mda si mrefuViongozi wa Tanzania wana Ujinga Mwingi Sana vichwani Mwao
Acha kudharau na kuharibu ugali wa wenzio. Kwa taarifa yako, Misa alifaulu darasa la saba na kusoma sekondari ya serikali. Ana akili kuliko wewe, hawezi shindwa kuamwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa lao.Mwigulu angepewa wizara ya michezo..
Sasa elimu ya Kodi na Hamisa Mobetto?
We mjinha elimu ya mlipa kodi ni taaluma na TRA wana hicho kitengo, unless kama kimevunjwanyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Tena mkuu wa kitengo anaitwa somebody Kayombo if am not mistaking.We mjinha elimu ya mlipa kodi ni taaluma na TRA wana hicho kitengo, unless kama kimevunjwa
Na yeye kakaa kimya anapaka henna tu na kuvaa ushungi.wana muaharibia Mama la Mama
Asilimia kubwa ya watoto sahvi ukiwauliza nani role model wako wanakuambia mondi, sjui kbaNi wakati wa wasomi kujiunga na bonga movie na bongo flava. Wachache waliosoma wameula.
Elimu yetu ni bora Elimu. Mwalimu anapewa darasa lina watoto 120. Wamekaa kwenye madawati au wamekalia mawe na matofali ni juu yao.Asilimia kubwa ya watoto sahvi ukiwauliza nani role model wako wanakuambia mondi, sjui kba
Etc unataka kuwa nani ukiwa mkubwa anamtaja msanii fulani😂😂😂😂😂
Tunatengeneza taifa la ----
Ova
Jiulize watoto wanashika vizuri miziki yote ya bongo flava kuliko mambo yao ya darasani???Elimu yetu ni bora Elimu. Mwalimu anapewa darasa lina watoto 120. Wamekaa kwenye madawati au wamekalia mawe na matofali ni juu yao.
Sasa watoto 120 unaweza kugundua mwepesi wa kushika hesabu na kusoma vizuri au tu kushika majina yao?