Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Labda waweke kwenye matanagzo ya tv na radio ila CYO kuja kitaah kutoa elimu mnk hata walio soma chuo Cha kod inawashinda tu kueleza maswala ya kod
 
Dah mbona Mh Mwigu anatufungisha SANA?

Maana ndani ya siku chache hizi tayari kapiga mawili yaani, la Kwanza la simcard hatujapoa kapiga na hili shuti la kuparaza.

Mh Mwigu unakwama wapi kwani? Au wasaidizi wako miyeyusho?
 
Ina maana wao wana uelewa wa masuala ya Kodi kuliko wanaofanya kazi TRA??!!
Wanaweza kuuza sura / sura zao zinauzika..., sina tatizo na hio issue, bali ni kufahamu hizo sura wanaziuza kwa kiasi gani na kama ni value for money....

Mtaani pagumu kuzidi kukamua wadau ni rahisi zaidi kuweza kutoa damu kwenye jiwe kuliko watu willingly kuchangia posho na ma-VX ya wabunge na mawaziri...
 
Kahaba anishawishi kulipa kodi? Hivi Tanzania kwa nini tunataka kuonyesha watoto wetu kuwa watu wanaoishia kwa njia za kijanja janja ndiyo wanastahili kutuzwa?
Atashawishi ma-kahaba wenzake....

Sina tatizo la yeye kushawishi au sibishi kama anaweza kushawishi..., tatizo ni tunampa ngapi ili ashawishi ? Tusije kuwa tunatoa 1000/= ili kupata 100/=
 

Hao ndo wanaotoa elimu ya walipa kodi?
Mi ndio maana sionagi sababu ya kusoma mpaka nipate PhD maana hata wenye nazo naonaga hawaeleweki nahisi kuna uchawi huko kwenye elimu za juu
Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni. Kuna mwenyekiti wa chama kikuu fulan cha upinzani Tanzania elimu yake ni form 4 tu tena kwa kuunga unga, lkn cha kushangaza kweny chama chake anaongoza maprofesa kibao, tena anawaburuza kichizi. Ukiwa na chelete mfukoni elimu haina maana kabisa!
 
nyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Tatizo siyo Fan bas, swali ni Kua ana Elimu au uelewa wa kumuelewesha mtu akaelewa kuhusu inshu ya Kodi?

Au unadhani kua hayo ni Matangazo ya kuongeza nguvu za Kiume
 
Tungekua serious hizi nafasi zingeshindaniwa na wanafunzi IFM
Watu serious, wanaojielewa hawatakiwi kwa sasa.......
Kuna nchi zingine pia hazitaki wananchi wao wawe na uelewa,
Kuna kitu muda tu kimeanza sijui kama umekigundua,yaani ni bongo fleva mwanzo mwisho kuanzia kupigwa kwenye media mpaka matamasha yapo kila mara????
Ukichunguza vizuri utanielewa nachomanisha

Ova
 
Back
Top Bottom