Dkt. Mwigulu Nchemba ateua wadau watakaotoa elimu ya mlipa kodi; wamo Hamisa Mobetto, Edo Kumwembe na Mbwana Samatta

Mwisho wa siku huko kwenye mitandao, wanaowapenda hao mnaowaita wahamasishaji wengi wao sio walipa kodi...!! Hivi unadhani kitu akikisema huyo Hamisa kwa akili ya kawaida watu watakitia maanani? Hii style HAPANA ... ...
 
Sinaga wivu wa kijinga to that extent. Mimi nazungumza uhalisia na ukweli. Kama waona tax haina kimya kiasi yeyote anaweza kuhamasisha, bora tuishie hapa..!!
Kumbuka tu serikali sio business entity kiasi ikahitaji meneja masoko wa kuvutia wateja...!!
Acha ubishi kwahyo wanaofanyaga mfano matangazo ya voda huwa ni IT expert wa voda?
Na unavosema yoyote anaweza kuhamasisha why umpinge mabeto mwenye followers umweke asiye na ushawishi hata kwa mjumbe
 
Acha ubishi kwahyo wanaofanyaga mfano matangazo ya voda huwa ni IT expert wa voda?
Na unavosema yoyote anaweza kuhamasisha why umpinge mabeto mwenye followers umweke asiye na ushawishi hata kwa mjumbe


Nazani hapo katika kuchangia mjadala ni vizuri kwanza kutambua “targeted group “

Matangazo ya voda ni tofauti na elimu kwa mlipakodi.

Targeted group ya Vodacom yaweza kuwa almost wateja wote wanaotumia simu in the first place.

Targeted group ya elimu kwa mlipakodi ni kama inavyojieleza kuwa ni walipakodi.

Yani anatakiwa kuwapa elimu walipakodi kuhusiana na maswala ya kikodi ili ku improve compliance level.
Sasa nikuulize;

Huyo mobeto hao followers wake composition ya followers wake ikoje?

% ngapi ni walipakodi?

So far followers wake wengi ni wale wa kufafana na yeye kiakili , kimwenendo, n.k

Fikiria!
 
Foolish! Ukitaka ku-promote kondom hapo sawa! Kodi? Nchi gani duniani unaijua yenye watu wajinga kama wewe na mwigulu kuwa na maono kama hayo?
We elewa tu mobeto atakuelimisha namna ya kulipa kodi kwani wewe utaki elimu
 
Kuna wataalamu kibao mtaani wenye degree zao za taxation,leo shavu linatolewa kwa wasio na hata idea ya kodi,daah huku ni kudhoofisha jitihada za waliovyuoni na wao kujiona hawana matumizi na serikali yao,elimu ya masuala ya kodi sio braa! braa! braa! Tu mtu anaeleza yahitaji ufafanuzi yakinifu,unatumia criteria ya public figures in serious national issues,ipo siku mabarozi vs covid 19 itavamiwa na wachambuzi wa michezo
 
Hivi kweli Hamisa akakueleze kuhusu elimu ya Mlipa kodi? Kweli?

Kwani elimu ya mlipa kodi inahitaji mvuto wa ngozi na makalio ili mtu aweze kuelewa vema?

Si kuja vijana wengi tu wamesoma Chuo cha Kodi, wapewe hilo chapuo.

Wakawaeleweshe watu mtaani na kuwajibu kwa ufasaha. Pengine makali ya kukosa ajira yangepunguzwa kidogo.

Upuuzi!.
Vyeti wasomi makabatini vyawekwa,chapuo latolewa kwa wasio na uelewa na tahasusi husika,shikamoo Tanzania
 
Back
Top Bottom