Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

Shukrani Mkuu.
Hapa cha kumshauri atafute kozi zisizofahamika na zenye soko kama hiyo ya mifupa. Nusing na Ukunga nadhani itakuwa na ushindani.

Pia huyu Bi.mdada amedhamiria kuchukua digrii suala la diploma ukimshauri ni kutwanga maji kwenye kuni.

Education nimemuambia asithubutu hata kuiwaza
Hiyo kozi ya mifupa inaitwa bsc in prothestics and orthotics ...

Nayenyewe nimeangalia wanataka Awe na C ya kemia plus D na E...

Nenda kwenye website ya kcmc utaiona...

Kusema hataki kabisa diploma inaonyesha bado hana akili... We ngoja mambo yatapomfika shingon ndio atajitambua...

Kwa sasa aombe degree na wenda round ya kwanza akakosa, akikosa aombe tena round ya pili na tatu... Na akikosa kote akasome diploma!!
 
St Francis Ifakara walizuiwa udahili wa MD.
Kwa pass mark hizo dogo hana budi kusoma diploma japo nazo zipo too competitive, akishindwa ajaribu degree nyingine mf ualimu. Karibu vyuo vyote sasa hivi vipo tight kwenye udahili. Mama Ndalichako kalikomalia sana la udahili, kama huna sifa haupati. Ukiingia kiujanjaujanja mbeleni cheti kitahojiwa na utapata tabu sana!!
 
Mwaka jana kuna dogo alikuwa wa kiume alipata two ya Pcb na alikuwa anapenda Md au kozi yoyote ya afya,Mwisho wa siku kapata kozi tofauti na md,kwasasa yupo Udom anasoma kozi ya It,na kwasasa ukimwambia Md haitaki tena anasema It itamlipa sana,kwaiyo uyo mdada asikazanie tu iyo kozi ya md ajaribu na kada nyingine
 
Huyo mwanafunzi wetu kaa nae umueleze kwa matokeo yake kusoma degree anayoitaka yeye sio rahisi, hana kigezo cha kusoma degree,4points .CHa msingi abadili gia angani tuu akasome diploma.
 
Enzi za kila kiumbe kusoma digrii zimeshakwisha. Zama zile kila mtu na vilaza wote waliomba kwenda degree hata awe na scores mbovu, huu ujinga umekwisha sasa na kama madogo hawasomi hakika jua na mvua ni haki yao. Wanapoteza mda mwingi wanaigiza maisha kana kwamba kuingia Advance ni sawa na kuwa kaole, shule iheshimiwe na watu wote
 
Shukrani Mkuu.
Hapa cha kumshauri atafute kozi zisizofahamika na zenye soko kama hiyo ya mifupa. Nusing na Ukunga nadhani itakuwa na ushindani.

Pia huyu Bi.mdada amedhamiria kuchukua digrii suala la diploma ukimshauri ni kutwanga maji kwenye kuni.

Education nimemuambia asithubutu hata kuiwaza
Mifupa inaitwa Physiotherapy ila nayo iko too competitive. This year wanahitaji candidates below 80 na last time naangalia, waombaji walikuwa zaidi ya 100. Ipo ingine pia ya macho nayo same. Zote ni diploma.
 
St Francis Ifakara walizuiwa udahili wa MD.
Kwa pass mark hizo dogo hana budi kusoma diploma japo nazo zipo too competitive, akishindwa ajaribu degree nyingine mf ualimu. Karibu vyuo vyote sasa hivi vipo tight kwenye udahili. Mama Ndalichako kalikomalia sana la udahili, kama huna sifa haupati. Ukiingia kiujanjaujanja mbeleni cheti kitahojiwa na utapata tabu sana!!
Kuna jamaa tulimaliza nae miaka minne chuoni alafu akaja kuambiwa hana vigezo...
 
Mifupa inaitwa Physiotherapy ila nayo iko too competitive. This year wanahitaji candidates below 80 na last time naangalia, waombaji walikuwa zaidi ya 100. Ipo ingine pia ya macho nayo same. Zote ni diploma.
Hiyo nnayoisemea ni tofauti kabisa na physiotherapy... Na kwa marks zake hawezi ipata...
 
Miaka yetu hapo angeenda degree bila shida, siku hizi unakuta shule ina div III 5, div II 40 na div I 20 huku kukiwa hana IV wala zero miaka yetu ilikuwa opposite, zero na four nyingi kuliko.
 
Back
Top Bottom