Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

Degree unaenda ,lakini kwa program yenye ushindani kama medicine utapata shida kidogo but jaribu vyuo kama St Francis na vinginevyo utapata


shukrani mkuu.
vipi kuhusu ishu ya mkopo endapo ataenda hivyo vyuo
 
Habari wakuu!

Kama kichwa kinavyojieleza, Hivi msichana mwenye Divisheni 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB anaweza kuchaguliwa kwenda chuo kusomea degree

Ikiwa ndio, je anaweza kukubaliwa kwa kozi zipi?
Yeye anapenda kusomea kozi ya Ufamasia au Medisini.

msaada wa haraka unahitajika
Angekua na nia ya kusomea MD au pharmacy basi angekitahidi apate wala div 2!!
 
Back
Top Bottom