Hamna haja ya kubadili in my opinion wanagefanya hata c mbili... Vijana wakiwa shule hawasomi kabisa ni upuuzi tu wanaendekeza...
Naona hata hujui kuandika kwa ufasaha na hii ndio sababu iliyonifanya niseme necta wangeweka walau C mbili maana kijana kama wewe ukute umemaliza form 6 alafu hata kuandika hujui.Acha ufala wewe... ivi unazan necta ni babaako ndomana wakaweka minimum two D... nenda kasome wewe tukuone na kujifanya una akili sana umu kwenye uzzi wakat ndo vilaza wenyewe nyie shenzi
Naona hata hujui kuandika kwa ufasaha na hii ndio sababu iliyonifanya niseme necta wangeweka walau C mbili maana kijana kama wewe ukute umemaliza form 6 alafu hata kuandika hujui.
NB: Huu muda unaopoteza humu ungekaa mezani ujifunze kuandika kwa ufasaha.
Special diploma ndio Nini tenahadi awe ana principal pass 2 kuanzia D mbili na kuendelea...so degree haweza chukua hadi asome kwanza special diploma
Mifupa ni orthopedics,Mifupa inaitwa Physiotherapy ila nayo iko too competitive. This year wanahitaji candidates below 80 na last time naangalia, waombaji walikuwa zaidi ya 100. Ipo ingine pia ya macho nayo same. Zote ni diploma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda degree ya magogoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eductn pale Chuo cha kata dodoma