Ok,vp mkuu fani zp zinaweza chukuliwa amechukua HGE..alaf issue ya migration imekaa vpHaiwezekani kusoma degree kwa diploma ni sawa kabisa
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ok,vp mkuu fani zp zinaweza chukuliwa amechukua HGE..alaf issue ya migration imekaa vpHaiwezekani kusoma degree kwa diploma ni sawa kabisa
Diploma hata kwa chetibcha form six anasoma mkuuNasikitika kukwambia kwamba ndugu yako kwa ufaulu wake hawezi kusoma chochote kwa level ya degree.
Achilia. mbali medicine, pharmacy,nursing au education huyo hata bachelor of swimming and diving hawezi kupata.
Kwa sababu hajafikisha kigezo cha chini kabisa cha kujiunga na elimu ya juu kilichowekwa na TCU.
Kigezo lazima uwe na ufaulu wa point 4 kwa masomo mawili ambapo anatakiwa apate DD au CE.
Ndugu yako ana DE hivyo hawezi kupata.
Mwambie aende akasome diploma tu kwa kutumia cheti chake cha kidato cha nne.
Ok,vp isue za migration znakaa vpMimi nilisoma sayansi.
Ngoja waje watu wa arts watakushauri.
HGE kozi zote za biashara na uchumi anasoma hata sanaa kikubwa tumia muongozo wa TCU na Chuo husika anachotaka kusoma kujua kozi anayotaka kusoma by the way mwanafunzi mwenyewe anapaswa awe na chaguo la kozi anayoitaka hasa tangu anaanza form 5 au hata kabla yaani kama mtu wa PCB anaposoma kuwa DaktariOk,vp mkuu fani zp zinaweza chukuliwa amechukua HGE..alaf issue ya migration imekaa vp
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
So itakuwa diploma?vp loan ipo kwelHGE kozi zote za biashara na uchumi anasoma hata sanaa kikubwa tumia muongozo wa TCU na Chuo husika anachotaka kusoma kujua kozi anayotaka kusoma by the way mwanafunzi mwenyewe anapaswa awe na chaguo la kozi anayoitaka hasa tangu anaanza form 5 au hata kabla yaani kama mtu wa PCB anaposoma kuwa Daktari
Uhamiaji mkuu ni kozi yoyote anaenda kwa sababu ni Jeshini
Vp pia process zp zinatumika kujiunga hiyo uhamiaji mkuuHGE kozi zote za biashara na uchumi anasoma hata sanaa kikubwa tumia muongozo wa TCU na Chuo husika anachotaka kusoma kujua kozi anayotaka kusoma by the way mwanafunzi mwenyewe anapaswa awe na chaguo la kozi anayoitaka hasa tangu anaanza form 5 au hata kabla yaani kama mtu wa PCB anaposoma kuwa Daktari
Uhamiaji mkuu ni kozi yoyote anaenda kwa sababu ni Jeshini
Hata mm namshangaa kilaza halafu anachagua koziHiyo kozi ya mifupa inaitwa bsc in prothestics and orthotics ...
Nayenyewe nimeangalia wanataka Awe na C ya kemia plus D na E...
Nenda kwenye website ya kcmc utaiona...
Kusema hataki kabisa diploma inaonyesha bado hana akili... We ngoja mambo yatapomfika shingon ndio atajitambua...
Kwa sasa aombe degree na wenda round ya kwanza akakosa, akikosa aombe tena round ya pili na tatu... Na akikosa kote akasome diploma!!
vp loan huwa ipo kwelualimu cheki hapo
Chaguzi zote za vyuo lazima zihakikiwe na TCU-hivyo hapo hawezi kupita kwani hana point 4 kutoka masomo mawili. Afikirie Diploma au kurudia mtihani. Unaweza pia ukacheki Foundation ya Open University (wameruhusiwa) na ndani ya mwaka mmoja anaweza kuomba tena chuo akifaulu. Kujaribu tu ni kupoteza hela.Nimeusoma, naona si rahisi kwa yeye kupata chuo kwa ngazi ya shahada.
labda ajaribu tuu hasa kwenye vyuo visivyo na ushindani
Hakuna kitu kama hicho. Vyuo vyote vinakwenda kwa vigezo vya TCU.Degree unaenda ,lakini kwa program yenye ushindani kama medicine utapata shida kidogo but jaribu vyuo kama St Francis na vinginevyo utapata
Mkuu anatakiwa point 4 kutoka kwenye masomo mawili tu. Huyo ana tatu.degree ataenda maana point zake zinafika 4,akapige education kwa huakika wa mkopo,degree za pharmacy ,nursing, asahau wanataka kuanzia point 6
Kvp mkuu hyo foundation ?Chaguzi zote za vyuo lazima zihakikiwe na TCU-hivyo hapo hawezi kupita kwani hana point 4 kutoka masomo mawili. Afikirie Diploma au kurudia mtihani. Unaweza pia ukacheki Foundation ya Open University (wameruhusiwa) na ndani ya mwaka mmoja anaweza kuomba tena chuo akifaulu. Kujaribu tu ni kupoteza hela.
Nursing anatakiwa awe na point 6 kwa masomo 3. Huyu ana 4 tu. TCU July 2018 wanasemaMuhimbili anaweza kwenda kuchukua BSc Nursing
Kwa hapo kuhusu hiyo course ya PROSTRETICS AND OTHROTICS (kama ndo hiyo unayosemea) itakuwa ngumu kupata. kwan inahitaji uwe na point 6 au uwe na G.P.A ya 3.5 na kuendlea kwa aliyemaliza diploma hapo KCMC, Au sehemu nyngineKwanza awe tayari kwa lolote, kcmc wana kozi ya mifupa jina lake nimelisahau, kama ni msichana aombe walau nursing au ukunga pale muhimbili... Pia asibase sana kwenye vyuo vyenye ushindan mkubwa... Sua wana kozi za kilimo japo wengi wanazidharau...
Kama gia zote zikikataa basi angalie diploma, clinical officer au pharmacy...
Chonde chonde asije akajiloga akasoma education kisa amekosa MD...
Mkuu wanachtaka point 4 kutoka masomo mawili. Ukishatimiza hilo unaweza kuomba na hapo ndio wanaposema una point 4 kutoka masomo 3 na unashindanishwa na wengine. Hiyo ya point 4 unashindanishwa na icho kigezo tu, hata ukiwa muombaji pekee unaachwa.d ni mbili,jumlisha e ni moja,sasa e anazo mbili ,ukijumlisha unapata 4
Loan sidhani kama ipo mkuu kikubwa muulize yeye anataka kusoma nini huenda anataka kusoma vyuo vya afya na cheti chake cha o level ni kizuri hivyo anaweza kuomba.......ila mkopo ninavyojua haupoSo itakuwa diploma?vp loan ipo kwel
Uhamiaji siku hizi wanachukuliwa kutokea JKT labda kwa wanaojua wanaweza kukusaidia zaidiVp pia process zp zinatumika kujiunga hiyo uhamiaji mkuu
Kama anauwezo acheck vyuo vya nje kama India/China aangalie kama vinaweza kumchukua. Awatafute Global Education Link (ukigoogle utapata mawasilianoyao). Kwa Tanzania degree haiwezekani bila kurudia mtihani F6, kupitia Diploma au Foundation Course (open).Pia huyu Bi.mdada amedhamiria kuchukua digrii suala la diploma ukimshauri ni kutwanga maji kwenye kuni.