Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
38,844
Reaction score
90,300
Habari wakuu!

Kama kichwa kinavyojieleza, Hivi msichana mwenye Divisheni 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB anaweza kuchaguliwa kwenda chuo kusomea degree

Ikiwa ndio, je anaweza kukubaliwa kwa kozi zipi?
Yeye anapenda kusomea kozi ya Ufamasia au Medisini.

msaada wa haraka unahitajika
 
sijui ushindani sikuhizi. Miaka yetu kuna mtu alipata Medicine KCMC. asiwaze Muhimbili tu. ajaribu vyuo vingine kama Ifakara, Bugando, Peramiho na Vya private. Akishindwa basi apige Clinical officer kisha atajiendelezaga.


Hata mimi sijajua ushindani wa sasa mkuu. Zamani ufaulu huo mtu hafikirii kabisa
 
Habari wakuu!

Kama kichwa kinavyojieleza, Hivi msichana mwenye Divisheni 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB anaweza kuchaguliwa kwenda chuo kusomea degree

Ikiwa ndio, je anaweza kukubaliwa kwa kozi zipi?
Yeye anapenda kusomea kozi ya Ufamasia au Medisini.

msaada wa haraka unahitajika
Degree unaenda ,lakini kwa program yenye ushindani kama medicine utapata shida kidogo but jaribu vyuo kama St Francis na vinginevyo utapata
 
Back
Top Bottom