Sky umezingua.siku hizi mambo n tofauti. Point 6 lazma kwenye kombi hapo muhas.Muhimbili anaweza kwenda kuchukua BSc Nursing
aende diploma tu, PCB hua sio ya mchezomchezo ashukuru hata kwa hicho alichopata.D
E
E
GD
E
E
Vp E E SDegree hawezi..ajaribu diploma
E E S inakaajeMwambie huyo ndugu yako aache ujinga ye ana matokeo ya kawaida harafu hataki kusoma diploma,tena aache kabisa ujinga kama alijua hilo angekomaa akapata sifa sitahiki degree saizi lazima angalau uwe na kuanzia DD sasa yeye ana DE hawezi chaguliwa.
Hii kitu inanikumbusha shemeji yangu mwaka juzi alivyomaliza form 4 nikamwambia omba diploma ya Clinical Medicine kwa kumlazimisha akaomba akapata ila akakataa kwenda akalazimisha kwenda kusoma advance tena CBG matokeo yametoka ana 3 ya 13 saizi anakumbuka hiyo nafas na kuniomba nimsaidie kuomba maanake kama angeenda mwakani alikuwa anamaliza
Mshauri vizuri kwa kumueleza umuhimu wa diploma ningekuwa karibu mi ningekuja kukusaidia kumuelewesha.......ila akikataa achana nae apambane baadae atakuja kuona umuhimu wake
Nasikitika kukwambia kwamba ndugu yako kwa ufaulu wake hawezi kusoma chochote kwa level ya degree.Habari wakuu!
Kama kichwa kinavyojieleza, Hivi msichana mwenye Divisheni 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB anaweza kuchaguliwa kwenda chuo kusomea degree
Ikiwa ndio, je anaweza kukubaliwa kwa kozi zipi?
Yeye anapenda kusomea kozi ya Ufamasia au Medisini.
msaada wa haraka unahitajika
Huwezi chaguliwa kujiunga na elimu ya juu.E E S inakaaje
Kwa HGE ni kama fani ipi mtu anaweza somea mkuuHuwezi chaguliwa kujiunga na elimu ya juu.
Hujafikia kigezo cha point 4 kwa masomo mawili.
Kasome diploma ya fani uipendayo utajiendeleza mbele ya safari.
Haiwezekani kusoma degree kwa diploma ni sawa kabisaE E S inakaaje
Mimi nilisoma sayansi.Kwa HGE ni kama fani ipi mtu anaweza somea mkuu