Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 765
E na D inafikaje point 4?degree ataenda maana point zake zinafika 4,akapige education kwa huakika wa mkopo,degree za pharmacy ,nursing, asahau wanataka kuanzia point 6
E na D inafikaje point 4?degree ataenda maana point zake zinafika 4,akapige education kwa huakika wa mkopo,degree za pharmacy ,nursing, asahau wanataka kuanzia point 6
Kwanza awe tayari kwa lolote, kcmc wana kozi ya mifupa jina lake nimelisahau, kama ni msichana aombe walau nursing au ukunga pale muhimbili... Pia asibase sana kwenye vyuo vyenye ushindan mkubwa... Sua wana kozi za kilimo japo wengi wanazidharau...mshauri sasa maana keshazingua hivyo
Hamna haja ya kubadili in my opinion wanagefanya hata c mbili... Vijana wakiwa shule hawasomi kabisa ni upuuzi tu wanaendekeza...labda wabadili dakika za mwisho vinginevyo kwa waliochukua michepuo ya sayansi wengi watalia
Nurse wa degree anaazia kwenye nursing officer level akifanya na masters huko baadae anaweza kuishia wizarani pale akiratubu maswala ya wachoma sindanounauhakika Mkuu?
Vipi ishu ya soko na salari
d ni mbili,jumlisha e ni moja,sasa e anazo mbili ,ukijumlisha unapata 4E na D inafikaje point 4?
Kwanza awe tayari kwa lolote, kcmc wana kozi ya mifupa jina lake nimelisahau, kama ni msichana aombe walau nursing au ukunga pale muhimbili... Pia asibase sana kwenye vyuo vyenye ushindan mkubwa... Sua wana kozi za kilimo japo wengi wanazidharau...
Kama gia zote zikikataa basi angalie diploma, clinical officer au pharmacy...
Chonde chonde asije akajiloga akasoma education kisa amekosa MD...
Nurse wa degree anaazia kwenye nursing officer level alifanya na masters huko baadae anaweza kuishia wizarani pale akiratubu maswala ya wachoma sindano
Jamaa wanamshahara mzuri sana. halafu kwenda nje kufanya kazi ni kugusa tu. Na kibongo Nurse mwenye degree ni bosi.unauhakika Mkuu?
Vipi ishu ya soko na salari
muhimbili hapati asijisumbue wanataka point kuanzia 5 na sita kupanda juuKwanza awe tayari kwa lolote, kcmc wana kozi ya mifupa jina lake nimelisahau, kama ni msichana aombe walau nursing au ukunga pale muhimbili... Pia asibase sana kwenye vyuo vyenye ushindan mkubwa... Sua wana kozi za kilimo japo wengi wanazidharau...
Kama gia zote zikikataa basi angalie diploma, clinical officer au pharmacy...
Chonde chonde asije akajiloga akasoma education kisa amekosa MD...
d ni mbili,jumlisha e ni moja,sasa e anazo mbili ,ukijumlisha unapata 4
Soko si serikarinibtu hata miradi UN unaweza kupatamkuu suala la soko na salari?
Jamaa wanamshahara mzuri sana. halafu kwenda nje kufanya kazi ni kugusa tu. Na kibongo Nurse mwenye degree ni bosi.
hapati hiyo apo muhimbili labda kwa vyuo kama st john domMuhimbili anaweza kwenda kuchukua BSc Nursing
KabisaJamaa wanamshahara mzuri sana. halafu kwenda nje kufanya kazi ni kugusa tu. Na kibongo Nurse mwenye degree ni bosi.
Hamna haja ya kubadili in my opinion wanagefanya hata c mbili... Vijana wakiwa shule hawasomi kabisa ni upuuzi tu wanaendekeza...
Soko si serikarinibtu hata miradi UN unaweza kupata
hapati hiyo apo muhimbili labda kwa vyuo kama st john dom