Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Tumsubiri tu MangeYani nausubiria kwa hamu ila holaaa...kila nikiona reply ya huu uzi nakuja chap kuchungulia ila hakuna anaejua...
Ila roho imeniuma
Kijana mzuri anakufa mapema kizembe

Sent using Jamii Forums mobile app

