DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
uko na upungufu mkubwa sana wa kufikiri na kutafakari mambo
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Usichanganye mambo sheikh,ukalinganisha Elimu yetu na Ya Kenya au ulaya,
Mtu anaweza akasoma akaishia mwaka wa pili havard,lakini huwezi ukamlinganisha na mtu aliyesoma miaka sita Udsm,
Hapa bongo,wapo vijana kutoka India,China wanafanya IT kwenye makampuni makubwa ya simu,ukiwaangalia ni wadogo kwa umri,huku kwetu ilibidi wawe sekondari au chuo mwaka wa 1,lakini ni ma expert wanafundisha wazee wa miaka 45+
 
Huna pesa ya kusoma nje ya nchi wewe

Hakuna mtanzania asiyependa mwanae akasome Oxford, University of london

Ada ni kubwa wenzetu wahindi wamewekeza kumlipia mtoto wa chekechea dollar 30,000 Marekani ni kawaida sana

Kuna wahindi Bongo watoto wao wanasoma chekechea uingereza wanalipa dollar 40,000 kwa mwaka

Wewe huna uwezo huo ndio maana unabaki Udsm, Mzumbe. Ukijitahidi mpaka msaada wa serikali bado matumizi binafsi utalia lia

kubali kushindwa mkuu

Mtu smart unaweza soma engineering Coet kule kweli

Ukifika Coet udsm ni shida, Engineering gani kule Coet, Hakuna vifaa ni kukariri tu

Pale BICO udsm kuna machine za enzi za old stone age
Mkuu inatosha unatupiga madongo sana
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Waeleze hao wapuuzi wanaodhani form 6,ni wlimu ya muhimu
 
Yote uliyoandika hayaondoi ukweli si kila chuo cha nje cheti chake kinakubalika hapa nchini.
Ishu ni ujuzi wa Mtu au karatasi kama cheti

Mtu anafanya kazi Space X Marekani Graduate na ni mtanzania na amesoma chuo cha Massachuttess kwa miaka 4 unaweza mfananisha na Graduate wa Engineering kule Coet udsm asiyeweza hata kutengeneza software yeyote kwa miaka 4

Sasa kama wewe wa Coet unatambulika kwa cheti cha maandazi hakina msaada unasubiri kusimamia barabara za lami za mchina na majengo mabovu kurepair

Elimu ya Tanzania ni utopolo, Ndio maana serikali wanafanya marekebisho ya mitaala

Mitaala yetu haina msaada kwa wanafunzi

Unajifunza kiswahili Halafu unayarudia kwa Kiingereza secondary ni upuuzi
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Kama ni Ngumi tu hapa umetupiga TKO.
 
uko na upungufu mkubwa sana wa kufikiri na kutafakari mambo
Huna exposure mkuu, Mfumo wetu wa shule Tanzania haupo na wala hautumiki ulaya

Ulaya hakuna Form Six, Content ulizosoma ndio zinakuwezesha kusoma kozi fulani

Wengi wamemaliza Form Four na kujiunga vyuo vikuu

Huko kutambulika ni kwa watoto maskini ambao mnategemea ajira serikalini
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
Elimu yetu lini ilikuwa credible? Katika watu wenye elimu nasisi utasema tuna elimu mzee? Sisi tuna shule tu ila elimu hakuna.
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
You said it all mkuu
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Umenikumbusha machungu maana nimepoteza muda wangu nikisoma eti five na six; ujinga mtupu! Mwanangu akihitimu four anaenda chuo basi.
 
Vyeo vya hisani si vya kujadili,mhisani ndio anaamua nani anamtaka na kwa sababu gani,kupinga au kupongeza hakubadilishi matokeo
 
Elimu yetu lini ilikuwa credible? Katika watu wenye elimu nasisi utasema tuna elimu mzee? Sisi tuna shule tu ila elimu hakuna.
Elimu yetu ni trash. Lakini nakuhakikishia wengi wanaonda kusoma vichuo huko China, India, Turkey au Malaysia hasa undergraduate ni vyuo takataka kabisa grade ya mwisho.

Mara nyingi ni vyuo ambavyo huwa vinawinda tu wanafunzi kutoka Afrika kwasababu za kibiashara.

Huko China hata Lecture utapigwa na wahindi au waganda wababaishaji kwasababu mtaala ni English na wachina hawakijui.
 
Elimu yetu ni trash. Lakini nakuhakikishia wengi wanaonda kusoma vichuo huko China, India, Turkey au Malaysia hasa undergraduate ni vyuo takataka kabisa grade ya mwisho.

Mara nyingi ni vyuo ambavyo huwa vinawinda tu wanafunzi kutoka Afrika kwasababu za kibiashara.

Huko China hata Lecture utapigwa na wahindi au waganda wababaishaji kwasababu mtaala ni English na wachina hawakijui.
Ila bongo si kuna kasumba kwamba ukisomea nje ati vyuo ni vizuri kuliko vya ndani
 
Elimu yetu ni trash. Lakini nakuhakikishia wengi wanaonda kusoma vichuo huko China, India, Turkey au Malaysia hasa undergraduate ni vyuo takataka kabisa grade ya mwisho.

Mara nyingi ni vyuo ambavyo huwa vinawinda tu wanafunzi kutoka Afrika kwasababu za kibiashara.

Huko China hata Lecture utapigwa na wahindi au waganda wababaishaji kwasababu mtaala ni English na wachina hawakijui.
Fafanua kidogo sijaelewa
 
Ila bongo si kuna kasumba kwamba ukisomea nje ati vyuo ni vizuri kuliko vya ndani
Hiyo ilikuwa miaka 5, 10 kurudi nyuma. Sasa hivi watu wameanza kushtuka.

Watu walihamasishwa na recruitment agents kwasababu ukipeleka wanafunzi kuna mgawo wako unapata ( commision ).

Pita Quora ndio utapata picha halisi.

Wengine walienda halafu walivyorudi wakakuta vyuo vyao havitambuliki na TCU.

Wanafunzi wengi waliosoma huko hawana maajabu kabisa, yaani ni bora kama huna uwezo wa kusoma ulaya ukasoma hapa hapa tu.

Kenya, South Africa, Uganda pia ni better options.
 
Back
Top Bottom