DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Unataka nifanye sensa kwamba wasomi wangapi wana mafanikio ?

Huyo Bakheresa umeshapita kwenye website yake ( bakhresa.com ) uone wanaoendesha makampuni yake wana elimu gani na wamesoma wapi ?

Kwa taarifa yako angekuwa yeye ndio bado yuko front kwenye uendeshaji mpaka sasa angekuwa anaendesha Azam mgahawa.

Musukuma ni mtu aliepata bahati nasibu kwenye dhahabu, kitu ambacho kingeweza kumwangukia mtu yeyote bila kujali elimu yake.

Lakini utajiri wa kisomi kama wa Co-founder wa Kopagas hauwezi kuanguka kwa mtu kama Musukuma.
umemaliza mkuu, ivi KOPA GAS mmiliki ni nani Chief
 
Usiseme watu, ukajitoa. Jiweke na wewe. Lkn hoja yangu ni kwamba toeni sababu za msingi. Vinginevyo mnadhalilika tu hapa.

Mwenzenu anashona suti akijiandaa kuapishwa. Huku mnaojiita wasomi mliopitia form 6 Kisha mkaenda vyuo mkitokwa povu midomoni.

Kenya ni nchi ambayo haina system ya kidato cha sita. chi nyingine ni Afrika Kusini (Ina vidato vitano). Unasemaje juu ya hilo? Pia kuna nchi zingine huwa zina bridging programme za mwaka mmoja kwa wale wanaotaka kusoma shahada za kwanza, unasemaje juu ya hilo?
Huyo Mchopanga kasoma huko Kenya au AK ?
 
Wewe na Mchopanga nani yuko huru zaidi?

Kwa taarifa yako Mchopanga ndiye msomi zaidi kuliko wewe uliyepita form 6 na kwenda chuo.


Amekuwa huru kiasi kwamba akaweza kuchangamana na wakubwa mpk ameteuliwa kuwa DC.

Sasa yuko huru kifikra, kijamii na atakuwa huru zaidi kiuchumi baada ya kupata uDC.

Mkaruka vipi mkuu? Huwezi kuwa huru kama una njaa ya tumboni ama mfukoni.
Nani kakwambia mimi nina njaa ?

Mwenye njaa yuko huko anazurula na kutoa toa macho huku akisifia wanaume huko Lumumba kutafuta chochote.

Mimi ni complete free human creature.
ahaah, mtifuano wenu si wa kitoto, nipo hapa kuangalia msije kushikana mashati
 
Ukiona mbongo kaenda kusoma Russia, China, India, Ukraine au Malaysia mara nyingi huwa ni kwenye vyuo ambavyo ni trash kabisa.

Ndio maana wengi huwa wanarudi hawajielewi.
utakuta wengi wao walikosa sifa za kujiunga na vyuo vikuu vyetu, hivyo vya huko India ni sawa na TEKU
 
Kenya ni nchi ambayo haina system ya kidato cha sita. chi nyingine ni Afrika Kusini (Ina vidato vitano). Unasemaje juu ya hilo? Pia kuna nchi zingine huwa zina bridging programme za mwaka mmoja kwa wale wanaotaka kusoma shahada za kwanza, unasemaje juu ya hilo?
Uko sahihi kabisa.

Tatizo kwenye hili jambo watu wamejipostion kwa mlolongo wa elimu zao. Yaani wale walioshia form four wakaenda chuo wako royal na upande wao na wale wa form six wako royal na upande wao.
 
Ukiona mbongo kaenda kusoma Russia, China, India, Ukraine au Malaysia mara nyingi huwa ni kwenye vyuo ambavyo ni trash kabisa.

Ndio maana wengi huwa wanarudi hawajielewi.
Mkuu, kwenye nchi nyingi kuna vyuo vizuri na vibaya.

Salim Ahmed Salim na John Malecela walisoma India, wakaenda kufanya jazi za kuheshimika dunia nzima, si Tanzania tu.
 
Samahani Mkuu huyu bwana mbona alimaliza pale Tambaza 2005 na alifanya vizuri tu.


0912​
M​
JUMA ISSA
7​
I​
GENERAL-S HISTORY-A KISWAHI-C ENGLISH-C​
Mkuu haya matokeo umeyapata wapi maana miaka ya 2005 hayakupatikana Online??
 
Mkuu haya matokeo umeyapata wapi maana miaka ya 2005 hayakupatikana Online??
Yapo mkuu ingia hapo maktaba.tetea.org utayapata kuanzia mwaka 2005 na kuendelea jamaa upande wa shule naona alikuwa anajitahidi sana.

Tumpe muda na imani atafanya vyema na vile Rorya bado ni changa tuondoe hofu kwake.
 
Yapo mkuu ingia hapo maktaba.tetea.org utayapata kuanzia mwaka 2005 na kuendelea jamaa upande wa shule naona alikuwa anajitahidi sana.

Tumpe muda na imani atafanya vyema na vile Rorya bado ni changa tuondoe hofu kwake.
Lakini zamani zilikuwa namba tu, ninavyojua ?
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Ukitaka ajira unaweza kuajliwa bila sifa za vyeti. Ukitaka masomo kuna sifa za chini zinazohitajika. acha mifano isiyoendana na kinachojadiliwa, hizo ni bhla! bhla! Kama unafuta mfumo wa TZ lazima ufuate hatuia za masomo zilizopo. Huwezi kuingia digrii , ukitokea form 4. Form 4 yetu inajulikana ubora na udhaifu wake. Ukitaka mfumo wa Kenya ni tofauti na wetu. Tusidanganyane!
 
Lakini zamani zilikuwa namba tu, ninavyojua ?
C03B516B-0C64-411E-8EC8-F8A827F54DF3.png
E17B3A46-4BEF-49A6-87A2-A2E1C5D7367A.png

Jina lake hilo hapo la 912
 
Hahaaa teuzi za hovyo zilianza na mwendazake yaani yeye ulikua ukimsifia tu , au ukipiga mpinzani mmoja kwake yeye ni bonge la ishu unakua umemkoooosha kwelikweli, limtu kama bashite lilikua RC stupiod kabisa, mengine aliyateua kisa yanajua kukata mauno tu ne mengine " TENA NI MWEHUPE"
 
Utaratibu wa udahili vyuo vya nje ni tofauti na wa kwetu. Huenda walimchukua kwa sifa za.form four. Siyo lazima upite kidato cha sita ndipo uingie chuo kikuu. Hata hapa Tanzania kuna watu wamesoma, wanasoma na kumaliza chuo kikuu bila kupitia kidato cha sita
 
Back
Top Bottom