DART Mwendokasi
Official Account
- May 17, 2023
- 75
- 101
- Thread starter
- #81
Tuko active na tunamaanisha na katika hili hatuna masharti kama wengineMkiwa active mtapata mengi sana. Ila msije mkaja na mambo ya wenzenu TANESCO ya kupewa changamoto walizonazo, wao badala ya kuhangaika na changamoto hizo, wanaanza mambo ya kutaka mtu aandike namba yake ya simu, anakoishi na jina lake kamili..!!!