Slow learner
Member
- Jul 6, 2019
- 18
- 7
Binafsi naona hata mfumo wa ukataji ticket umekaa kiupigaji sana, Kuna baadhi ya vituo ticket zinatumika zaidi ya mara 2 au 3 kwa abiria mmoja.
Nashauri uwekwe mfumo wa kutumia N-CARD yaani pesa iwe inakatwa direct kutoka kwenye card kwa kadri ya destination ya abiria, kama inavyofanywa pale kivukoni.
Pia magari yenu mengi ni mabovu, yaani idadi ya gari zilizo barabarani ni chache kuliko zilizobaki yard, fanyeni maboresho ya magari
Nashauri uwekwe mfumo wa kutumia N-CARD yaani pesa iwe inakatwa direct kutoka kwenye card kwa kadri ya destination ya abiria, kama inavyofanywa pale kivukoni.
Pia magari yenu mengi ni mabovu, yaani idadi ya gari zilizo barabarani ni chache kuliko zilizobaki yard, fanyeni maboresho ya magari