Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Ofisa Mawasiliano na Uhusiano wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Willium Gatambi ameeleza sababu za msongamano vituo vya 'Mwendokasi' jijini Dar es Salaam Leo Oktoba 11, 2023.
Amesema tatizo hilo linasababishwa na watu wengi asubuhi kuelekea upande mmoja pia hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi hayo.
Gatambi ameongeza kuwa Serikali inaendelea na mchakato wa kuongeza idadi ya mabasi, ambapo amesema sio jambo la mara moja.
Pia soma;
- Dar: Abiria wateseka kwenye foleni kusubiri mabasi ya mwendokasi Kituo cha Mbezi Mwisho
Amesema tatizo hilo linasababishwa na watu wengi asubuhi kuelekea upande mmoja pia hakuna mfumo rasmi wa kuongozea mabasi hayo.
Gatambi ameongeza kuwa Serikali inaendelea na mchakato wa kuongeza idadi ya mabasi, ambapo amesema sio jambo la mara moja.
Pia soma;
- Dar: Abiria wateseka kwenye foleni kusubiri mabasi ya mwendokasi Kituo cha Mbezi Mwisho