Mwendokasi Jangwani hakupitikiti, kupitia barabara ya Kawawa mpaka mpaka hali itakapotengemaa

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
TAARIFA KWA UMMA
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unawaarifu abiria wetu wa usafıiri wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu Mwendokasi, kuwa leo Novemba 5, 2023 Saa 6:30 Mchana, barabara ya Morogoro eneo la Jangwani imefungwa.

Changamoto hii inasabishwa na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, na hivyo kusababisha barabara katika eneo la Jangwani kujaa maji. Hivyo kwa sasa Mabasi Yaendayo Haraka yanaendelea kutoa huduma kupitia barabara ya Kawawa inayopita eneo la Kigogo na Karume mpaka pale hali itakavyokua shwari. Wakala wa DARTunaomba radhi abiria wote kutoka na changamoto hii inayowaathiri kutokufika kwa wakati maeneo wanayokwenda.

Aidha, huduma za mabasi yetu katika Njia Mlishi ya Kimara hadi Mbezi, Kimara hadi Kibaha, Kimara hadi Mloganzila na Muhimbili hadi Gerezani zinaendelea kutolewa kama kawaida.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART
Novemba 5, 2023

View attachment 2804767
 
TAARIFA KWA UMMA
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unawaarifu abiria wetu wa usafıiri wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu Mwendokasi,kuwa leo Novemba 5, 2023 Saa 6:30 Mchana,barabara ya Morogoro eneo la Jangwani imefungwa.
Changamoto hii inasabishwa na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, na hivyo kusababisha barabara katika eneo la Jangwani kujaa maji.Hivyo kwa sasa Mabasi Yaendayo Haraka yanaendelea kutoa huduma kupitia barabara ya Kawawa inayopita eneo la Kigogo na Karume mpaka pale hali itakavyokua shwari.Wakala wa DARTunaomba radhi abiria wote kutoka na changamoto hii inayowaathiri kutokufika kwa wakati maeneo wanayokwenda.
Aidha,huduma za mabasi yetu katika Njia Mlishi ya Kimara hadi Mbezi, Kimara hadi Kibaha,Kimara hadi Mloganzila na Muhimbili hadi Gerezani zinaendelea kutolewa kama kawaida.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART
Novemba 5, 2023

View attachment 2804767
CCM na Chalamila watakuambia ni ''mapenzi ya Mungu''. CCM hoyee!
 
TAARIFA KWA UMMA
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unawaarifu abiria wetu wa usafıiri wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu Mwendokasi,kuwa leo Novemba 5, 2023 Saa 6:30 Mchana,barabara ya Morogoro eneo la Jangwani imefungwa.
Changamoto hii inasabishwa na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, na hivyo kusababisha barabara katika eneo la Jangwani kujaa maji.Hivyo kwa sasa Mabasi Yaendayo Haraka yanaendelea kutoa huduma kupitia barabara ya Kawawa inayopita eneo la Kigogo na Karume mpaka pale hali itakavyokua shwari.Wakala wa DARTunaomba radhi abiria wote kutoka na changamoto hii inayowaathiri kutokufika kwa wakati maeneo wanayokwenda.
Aidha,huduma za mabasi yetu katika Njia Mlishi ya Kimara hadi Mbezi, Kimara hadi Kibaha,Kimara hadi Mloganzila na Muhimbili hadi Gerezani zinaendelea kutolewa kama kawaida.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART
Novemba 5, 2023

View attachment 2804767
Makonda akiwa RC Dar aliuambia umma kuwa wameamua kuondoa hiyo kadhia kwa kujenga daraja la juu lenye urefu wa sentimita 300
 
By the way kwanini wasisitishe ujenzi mmoja wakatatua shida ya hapo Jangwani?
 
Watu hawaelewi kuwa hilo bonde linaloitwa Jangwani asili yake ni ziwa.

Iliwahi kutangazwa (awamu ya Kikwete) na Makonda akarudia kuwa hapo litakuja daraja kubwa la kisasa litaloanzia Magomeni na kuishia Fire.

Mwendazake akauzima huo mradi.

Pia kulikuwa na mradi wa kuufanya mto msimbazi kupanuliwa na boat kupita humu na kufanya kivutio cha mji na kurahisisha usafiri, vyote vikazimwa na 'ile jitu, nahisi lilikuwa likisema "kwanini nisiijenge Chato".
 
Watu hwaelewi kuwa hilo bonde linaloitwa jangwani asili yake ni ziwa.

Makonda aliwahi kutangaza (awmu ya Kikwete) kuwa hapo litakuja daraja kubwa la kisasa litaloanzia magomeni na kuishia fire.

Mwendazake akauzima huo mradi.
Mwigulu Alikopa fedha na kusema patajengwa Daraja, lakini pesa zimepigwa na hakuna kinachoendelea!
 
Hili tatizo la hapo jangwani ni moja ya kitu ambacho kinadhihirisha sana hawa viongozi wetu vichwani mwao sijui huwa wanawaza madudu gani, kila mwaka kila mvua tatizo ni lile lile, hivi hata hawajisikii aibu kweli kwa watu wanaotuongoza??!!.

Hawa wanatudhalilisha sana mbele ya watu wanaojielewa na kuona nchi yetu haina watu wenye maono kwenye mambo mengi sana ikiwa hili dogo tuu linasumbua miaka yote kila msimu wa mvua unapokuja.

Ifikie kipindi ji bora tungekuwa tunawajibishana kwa uzembe wa mara moja tuu ili kila mtu awe makini kwenye sekta yake, inasikitisha saana saaana kwa kweli.
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa baada ya barabara tunayoipita sasa hapo Jangwani kukamilika kwa kunyanyuliwa juu, jengo lililobakia hapo ilikuwa ni workshop ya mkandarasi tu ambaye aliitwa KAJIMA, hapo Jangwani palitulia na hakukua na mafuriko, sasa hayo majengo na mastructure mengine yaliojengwa baadaye hapo, hawaoni ndio chanzo cha mafuriko ya kila mwaka...?
 
Tanzania kila siku ni
TAARIFA KWA UMMA
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) unawaarifu abiria wetu wa usafıiri wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu Mwendokasi,kuwa leo Novemba 5, 2023 Saa 6:30 Mchana,barabara ya Morogoro eneo la Jangwani imefungwa.
Changamoto hii inasabishwa na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, na hivyo kusababisha barabara katika eneo la Jangwani kujaa maji.Hivyo kwa sasa Mabasi Yaendayo Haraka yanaendelea kutoa huduma kupitia barabara ya Kawawa inayopita eneo la Kigogo na Karume mpaka pale hali itakavyokua shwari.Wakala wa DARTunaomba radhi abiria wote kutoka na changamoto hii inayowaathiri kutokufika kwa wakati maeneo wanayokwenda.
Aidha,huduma za mabasi yetu katika Njia Mlishi ya Kimara hadi Mbezi, Kimara hadi Kibaha,Kimara hadi Mloganzila na Muhimbili hadi Gerezani zinaendelea kutolewa kama kawaida.


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka - DART
Novemba 5, 2023

View attachment 2804767
ni malalamiko tu aisee kmmmk we tired aisee! Samia indeed we tired
 
Watu hwaelewi kuwa hilo bonde linaloitwa jangwani asili yake ni ziwa.

Iliwahi kutangazwa (awamu ya Kikwete) na Makonda akrudia kuwa hapo litakuja daraja kubwa la kisasa litaloanzia magomeni na kuishia fire.

Mwendazake akauzima huo mradi.

Pia kulikuwa na mradi wa kuufanya mto msimbazi kupanuliwa na boat kupita humu na kufanya kivutio cha mji na kurahisisha usafiri, vyote vikazimwa na 'ile jitu, nahisi lilikuwa likisema "kwanini nisiijenge chato".

Wewe bibi acha unafiki huu mradi jiwe ndio aliwe dhamiria kuuanzisha kwa kuwa hamkumpenda mka muua. Huyu hapa kunenge akiwa RC wa dsm kipindi cha JPM.
IMG_4190.jpg
 
Watu hwaelewi kuwa hilo bonde linaloitwa jangwani asili yake ni ziwa.

Iliwahi kutangazwa (awamu ya Kikwete) na Makonda akrudia kuwa hapo litakuja daraja kubwa la kisasa litaloanzia magomeni na kuishia fire.

Mwendazake akauzima huo mradi.

Pia kulikuwa na mradi wa kuufanya mto msimbazi kupanuliwa na boat kupita humu na kufanya kivutio cha mji na kurahisisha usafiri, vyote vikazimwa na 'ile jitu, nahisi lilikuwa likisema "kwanini nisiijenge chato".
Zungu alitaka kupiga mkwanja ndio Komredi Makonda akamshtukia na kunyonya Shujaa!

Kwa sasa Mkinga Vunja Bei ana jambo lake Hapo Jangwani litakalokomesha Mafuriko 😂
 
Back
Top Bottom