Current four star Generals in Tanzania

Majina tu ndio hilo hilo
Tafsiri halisi ya Infantry ni askari wa miguu. Je kuna Kamandi ya askari miguu?
Tofauti ipo ukiongelea askari wa miguu na ukiongelea jeshi la ardhini/nchi kavu. Tukiongelea jeshi la ardhini tunajumuisha makundi yote ya askari wanaopigana kwa kutumia ardhi (ukitoa Navy na Air) makundi hayo ni pamoja na ikiwemo field artillery, motors, armoured personnel carriers, field engineers, Hivyo Infantry ni sehemu ndogo tu ya Land forces. Hivyo ipo kamandi ya Land forces (Jeshi la ardhini/Nchi kavu) lakini hakuna kamandi ya Infantry zaidi ya vikosi na Brigade....
 

Urefu wa tenure unategemea pia age ya mtu alipoteuliwa kuwa CDF. Mtu anayeteuliwa kuwa CDF miaka minne kabla ya retirement, kwa mfano, obviously, hawezi kuwa CDF kwa miaka kumi!
 
Wewe unaona Brigadier na Brigadear General ni kitu kimoja??
Ni kitu kimoja. Unaweza kuthibitisha kuwa ni wawili tofauti?
Cheo cha kijeshi Brigadier general, kuitwa brigadier ni kukatishwa kwa jina lake.
 
Rekebisha hii post au ifute.
 
Majina siyakumbuki ninachokumbuka kila vikundi vya waasi walikuwepo majenerali achilia mbali waliopo katika serikali zao.
[emoji116][emoji116][emoji116]
Wahuni wanapenda. Vyeo vya jeshini kinoma....
Utasikia niaje brigedia kamanda,kapten,luteni jenerali, jenerali [emoji23][emoji23][emoji23]...
Wakati vyeo jeshini haviokotwi
 
Urefu wa tenure unategemea pia age ya mtu alipoteuliwa kuwa CDF. Mtu anayeteuliwa kuwa CDF miaka minne kabla ya retirement, kwa mfano, obviously, hawezi kuwa CDF kwa miaka kumi!
Yes it's true, na kwa vile hizi position zote za wale constitutional officers, baada ya kumaliza their tenure, hawaruhusiwi kuajiriwa popote, retirement age yao ni 65 up to 75. Sasa akiteuliwa CAG mwenye 40 years akahudumu for 10 years hadi 50 years, baada ya hapo hapaswi kuteuliwa utumishi wa umma, anakwenda wapi just at 50, 15 years kabla ya muda wa kustaafu?.
P
 
Yule so akitokea Military intelligence ungemjuaje kwa mfano [emoji1787]
 
Mabeyo na Sirro wakikutana nani anampigia mwenzie salute?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…