Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,519
- 5,423
Ni sawa na kanali kuwa ADC wa rais kwenye nchi za Africa meanwhile nchi za Ulaya na Marekani ADC ni Petty officer cheo cha chini kuliko Luteni usu. Mm nafikiri ni kudharirirsha jeshi. Kanali ni cheo kikubwa sana jeshini. Tena kwa US na Europe( Alemania, Uk, France, belgium )kanali ni cheo cha juu sanaZipo lakini kwa hapa zinaongozwa na 2 stars, kwa sababu bado ni ndogo. Airforce yenye ndege 15 unaipa 4 star general itakuwa ni matumizi mabaya ya cheo.
Ametoka jeshini muda mrefu sana hivyo atakuwa amesahauMkuu nathamini mchango wako lakini kwa kulinda heshima yako ningeomba ufute hii post!
Cc: Mkomavu
Tatizo huja pale msukuma mjinga anapotaka mamlaka aliyonayo ndugu yawe kama yake na si ya ndugu yake.Wasukuma ni watu poa sana, ila ndiyo hivyo tunapakwa matope kwa sababu za kijinga kabisa tena watoto wa chuo.
ExactlyLuteni usu mpaka kapteni ni junior officers
Ilibadilishwa sasa MGKuna wakati mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa(kama sikosei pale Kunduchi) aliwahi kua Lt General(* General), sijajia kama iko hivyo hadi sasa au ilibadilishwa.
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.
P.
Mpambe wa Rais ni mpambe wa Commander in Chief. Naamini ni sawa kuwa na senior officer hapo.Ni sawa na kanali kuwa ADC wa rais kwenye nchi za Africa meanwhile nchi za Ulaya na Marekani ADC ni Petty officer cheo cha chini kuliko Luteni usu. Mm nafikiri ni kudharirirsha jeshi. Kanali ni cheo kikubwa sana jeshini. Tena kwa US na Europe( Alemania, Uk, France, belgium )kanali ni cheo cha juu sana
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.
P.
Ni kweli mkuu, mambo ya kuongoza field yalikuwepo kipindi tunapigana na 10m soldiers. Siku hizi utapewa cha heshima tuAu kipo kisiasa/ceremonial zaidi.
Leo nilikuwa naangalia Prince Philip mume wa Malkia wa Uingereza anazikwa, wamemtaja vyeo vyake, kumbe naye alikuwa Field Marshall.
Uuongozi wa Jeshi ni clusters zenye idadi fulani.
the lowest ni unit, ina watu 9 ma privates, wanaongozwa na Koplo.
Units 3 zinaunda Section, ina askari 30, ma koplo 3 na inaongozwa na Sergeant
Section zikiwa tatu, zina askari 90, makaplo 9, ma Sergeant 3, zinaunda plotoon wanaongozwa na Luteni, hivyo cheo cha Luteni ni platoon Kamanda.
Platoon zikiwa tatu, zina askari 360, zina ma koplo 36, ma sajenti 12, na ma luteni 3, zinaunda Coy, na inaongozwa na Major.
Coya zikiwa 3 zina askari 1080, zina ma koplo 108, masajenti 36, maluteni 9, zinaunda kikosi, au batallion kinaongozwa na Colonel, ndio zile mnasikia kambi ya jeshi.
Vikosi au Batallion vikiwa 3, vinaunda Brigedi, inaongozwa na Brigedia, jina jingine la Brigedier ni Brigade Commander
Brigade zikiwa 3 zinaunda Divisheni, na zinaongozwa na Major General, hivyo jina jingine la Maj. Gen ni Division Commander.
Division zikiwa tatu, ndio zinaunda Jeshi kamili na linaongozwa na Generali.
P.
Brigadier General kipo mkuu, Katibu wa Foreign Affairs ni Brigedia Ibuge.Nadhani hicho cheo cha Brigadier hakipo katika muundo wa sasa.
Majina tu ndio hilo hiloAdante kunielimisha, kumbe jeshi la aridhini sio infantry, ni land force, katika kusaidiana kuelimishana, infantry ni jeshi la wapi?.
P
Huyo vipi .? Jamani kwa nini kisiwepoBrigadier General kipo mkuu, Katibu wa Foreign Affairs ni Brigedia Ibuge.
Anayo tayari ....atavaa siku mojaMama Samia naye washamtengenezea magwanda yake?
Hii miundo ni mambo ya kurithi... Twende nayo tuHuyo vipi .? Jamani kwa nini kisiwepo
Second lieutenant -*
Lieutenant **
Captain***
Major-ngao ya taifa
Lieutenant colonel-ngao ya taifa *
Colonel-ngao ya taifa**
Brigadier ×
Major general×*
General×**
Lieutenant general
Mkuu pascal Twalipo ni muislam na amezikwa kiislamu makaburi ya chang'ombe keko.Hakuna figisu yoyote ya kumuondoa Mabeyo, cheo cha CDF kina security of tenure ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama alivyo Gavana wa BOT, CAG, etc, rais yoyote akija hawezi kuwaondoa na kuleta watu wake.
Hili sio tuu la hakuna Mzanzibari mwenye sifa ya kuwa CDF, kati ya ma CDF, mwenye jina la Kiislamu ni mmoja tuu, Abdallah Twalipo, na sijui ni jina tuu, au alikuwa Muislamu kweli, maana binti yake Flora, tumesoma nae primary alikuwa Mkristo.
Hili nililiulizia hapa
PJe, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali tuu, sio thread ya udini au ukabila. Je, kuna uhusiano wowote kati ya dini/kabila la mtu na ukakamavu ndani ya majeshi yetu nchini Tanzania? Je, kuna uhusiano wowote wa kati ya kabila la mtu na ukakamavu wa majeshini? Je, watu wa dini fulani au makabila fulani...www.jamiiforums.com
Senior officer inaanzia major to colonelJunior NCOs koporo usu mpaka Ssgt.
Senior NCOs ni kwa Warrant officers 1 na2
Senior officers inaanzia Kanali na kwenda juu. Angalia ADC wa Mama na wa Mwinyi jr ujifunze kitu kwa Marais hawa wawili katika nchi moja.
Thanks for this info, that means alioa Mkristo na watoto wakafuata dini ya mama yao, ndio maana mmoja akaitwa Flora.Mkuu pascal Twalipo ni muislam na amezikwa kiislamu makaburi ya chang'ombe keko.
Asante, nitalifanyia kazi hili.Paskal heshima kwako nasubiri uanze kuandika biography Gen Mabeyo utupe yasemwayo baada ya kifo cha Jiwe.....hapo tu historia isipotee....katiba iheshimiwe!! #paskal
Eti unasema, kwani hapa wanaongelewa waasi au jeshi rasmi la nchi husika?Majina siyakumbuki ninachokumbuka kila vikundi vya waasi walikuwepo majenerali achilia mbali waliopo katika serikali zao.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Ametoka jeshini muda mrefu sana hivyo atakuwa amesahau
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app