Clouds TV acheni kuwadhalilisha bibi, mama zetu!

Clouds TV acheni kuwadhalilisha bibi, mama zetu!

huku kutumia fursa kujipatia fedha sio nzuri na hao wanao ruhusu bibi zao waende mi wangu ciwezi hata iweje
 
frema120 sikutaka kabisa kuchangia hii issue lakini umeniita nitauliza tu maswali machache:
1.wewe unaweza kumruhusu bibi/mama yako ashiriki?
2.unafikiri hao mabibi hawana watoto/wajukuu?
3.hao mabibi walilazimishwa kushiriki?
4.hiki kipindi mpaka kinaonyeshwa siku zote hizo kama kingekuwa kinakiuka maadili si kingefungiwa?? TCRA imekufa??

kwa hio msilaumu tu clouds walaumuni na hao wanaoacha bibi zao 'wadhalilishwe' ukiniuliza mimi sijali kama wameamua wenyewe kushiriki hicho kipindi na hawavunji sheria yoyote ya JMT sawa mimi ni nani niwapangie nini cha kufanya
 
Last edited by a moderator:
Wajaribu kumwiga Bw. Masoud Kipanya na project yake ya maisha plus

kama ulikuwa akilini mwangu. Ila kizazi hiki cha sasa kimekumbwa gonjwa hatari sana la kushabikia mambo hasi na kwa kulitambua hilo clouds wanatumia fursa.
 
frema120 sikutaka kabisa kuchangia hii issue lakini umeniita nitauliza tu maswali machache:
1.wewe unaweza kumruhusu bibi/mama yako ashiriki?
2.unafikiri hao mabibi hawana watoto/wajukuu?
3.hao mabibi walilazimishwa kushiriki?
4.hiki kipindi mpaka kinaonyeshwa siku zote hizo kama kingekuwa kinakiuka maadili si kingefungiwa?? TCRA imekufa??

kwa hio msilaumu tu clouds walaumuni na hao wanaoacha bibi zao 'wadhalilishwe' ukiniuliza mimi sijali kama wameamua wenyewe kushiriki hicho kipindi na hawavunji sheria yoyote ya JMT sawa mimi ni nani niwapangie nini cha kufanya

sawa hamna sheria inayowabana ila muungwana hawezi kufanya kama clouds
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli hata mimi sipendi aina ya maswali wanayowauliza ? heri hata wawaulize kuhusu ukuaji wa mtoto na Afya ya uzazi ya zamani na sasa , ila kumuuliza mtu facebook unamjua ? ndio nini ??
 
Mimi sio mtazamaji mzuri wa Clouds TV kwa kuwa vipindi vyake vingi ni vya ovyo--havina mvuto wala mafundisho ya maana. Jana, kwa bahati mbaya, nilitazama kipindi cha 'BIBI BOMBA' kinachorushwa na TV hiyo. Nimehudhunishwa sana kuona jinsi bibi na mama zetu wanavyodhalilishwa hadharani. Bibi zetu huulizwa maswali ya kidhalilishaji.

Bibi mmoja aliulizwa kama aliwahi kula mboga inayoitwa 'Biology', akajibu 'ndiyo'. Hili ni swali linalohusu ufahamu na kwa wabibi wale ambao hawakwenda shule, hawajui biology ni nini. Si hivyo tu, hata wale walioishia la saba hawajui biology ni kitu gani. Kuwauliza mabibi swali kama hili ni kuwadhalilisha kitaaluma kwa kuwa tu hawakwenda shule.

Bibi mwingine aliombwa amtongoze kijana yule anayewauliza maswali hadi amkubali. Bibi akatekeleza agizo hilo laivu mbele ya skrini ya TV! Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu.

Wizara ya jinsia inapaswa kukataza udhalilishaji huu wa kijinsia. Nasi wananchi tuache kushabikia upumbavu huu--tukatae kuwapigia kura bibi wanaoshiriki.
unashangaza.. sasa huyo bibi alieulizwa swali ambalo wala halijui.. kilichomfanya akubali kuwa alikula biology ni niniii?? maana huwezi kuitikia kitu usichokijua na kuwa ati umekifanya na kumbe hujawahi hata kukiona.. huu ni uzoba wa hao kina mama na wala tv haijawadhalilisha. alichotakiwa kufanya huyo mama alitakiwa ajibu kuwa sijawahi kula biology. na wala asingeonekana mjinga.
 
Mimi sio mtazamaji mzuri wa Clouds TV kwa kuwa vipindi vyake vingi ni vya ovyo--havina mvuto wala mafundisho ya maana. Jana, kwa bahati mbaya, nilitazama kipindi cha 'BIBI BOMBA' kinachorushwa na TV hiyo. Nimehudhunishwa sana kuona jinsi bibi na mama zetu wanavyodhalilishwa hadharani. Bibi zetu huulizwa maswali ya kidhalilishaji.

Bibi mmoja aliulizwa kama aliwahi kula mboga inayoitwa 'Biology', akajibu 'ndiyo'. Hili ni swali linalohusu ufahamu na kwa wabibi wale ambao hawakwenda shule, hawajui biology ni nini. Si hivyo tu, hata wale walioishia la saba hawajui biology ni kitu gani. Kuwauliza mabibi swali kama hili ni kuwadhalilisha kitaaluma kwa kuwa tu hawakwenda shule.

Bibi mwingine aliombwa amtongoze kijana yule anayewauliza maswali hadi amkubali. Bibi akatekeleza agizo hilo laivu mbele ya skrini ya TV! Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu.

Wizara ya jinsia inapaswa kukataza udhalilishaji huu wa kijinsia. Nasi wananchi tuache kushabikia upumbavu huu--tukatae kuwapigia kura bibi wanaoshiriki.

Hakika ni udhalilishaji usio na kipimo, dunia imekwisha yani kwa sababu ya pesa tu watoto wadogo wamefikia mahali pa kuwadhalilisha watu wazima kama wale. Mi nadhani kama kule ni kuwajali hebu wanaoendesha kipindi kile wawalete na bibi zao pale wawahoji maswali yale ya kishenzi wanayowahoji bibi wale.
 
mabibi wanavyowavalishwa kama mabinti.huo niuzalilishaji mkubwa sana.kuwachezesha miziki ya bongo fleva.hawa watu niwapuhuzi mno iki kipindi kilitakiwa kuendeshwa kinidhamu mno sbb kinawausisha watu wazima.kijana anaekiongoza muhuni tu.hawa mabibi wanakubali sababu ya shida na umaskini waliokuanao
 
mabibi wanavyowavalishwa kama mabinti.huo niuzalilishaji mkubwa sana.kuwachezesha miziki ya bongo fleva.hawa watu niwapuhuzi mno iki kipindi kilitakiwa kuendeshwa kinidhamu mno sbb kinawausisha watu wazima.kijana anaekiongoza muhuni tu.hawa mabibi wanakubali sababu ya shida na umaskini waliokuanao

hahaha bibi anaruka hip hop hure oo ee' wangebadil mfumo mzima wa kipindi hakina tija.
wangekifanya kiwe na mafunzo hao bibi wangetufunza kusuka vikapu na vingne ving wanaweza c kuwaambia wavae milegezo,nmesense kbs
 
kuna kitu hakiko sawa, kumbe ndio kuna hayo mambo kwenye kipindi :shock:
 
Hao wanajidhadhalisha wenyewe kwanza, nani aliwalazimisha kwenda kujidhalilisha?

Hapana ndugu, ukiwa na njaa utafanya hata upuuzi ili mkono uende kinywani. Wanachokifanya clouds ni udhalilishaji kwa kuexploit umasikini wa wazazi wetu.
 
of coz yes mabibi wanakatishwa viuno kama madensa wa twanga ani aibu kinoma
 
Back
Top Bottom