Nilishawaonya clouds kuelemea CCM kupitia kipindi Chao Cha Clouds 360 ila naona hawajakoma .
Kusaga akumbuke alianzisha kijifundrise chake cha kipumbavu akihamasisha wenye hela kuchangia kits za COVID19 bila Magufuli kumuonea aibu alimpiga ban kwa kukataza huo upuuzi Tena akamwambia Kuna watu nasikia wameanza kuchangisha michango ya COVID19 hivi Kusaga hajui ameanza kuanguka? Alitumia mbeleko ya kumsifu Ummy Mwalimu, Kusaga kumbuka tuliokuweka hapo juu ni sisi wewe endelea kumsifu mfalme ukasahau ulikotoka
Soma aya ya mwisho Kusaga.
Clouds ni mali ya familia kumbuka ulikabidhiwa wewe toka kwa baba yako mkubwa ambae ndio alibidi apewe clouds wewe ni dogo Sana kwa sababu wewe ni mjukuu mdogo wa mtoto mdogo wa mzee Kusaga yule dogo wa Morogoro baba yake ni mkubwa kwako na Sasa wale watoto wanakuja unajua kwa nini wiki hii dogo kaenda Mbeya....???
Sasa tunakuambia hivi...
Yule mdogo wako anaevuta bangi Mafisa Morogoro na kunywa gongo sasa hivi akili imepevuka anaanza kudai umiliki wa Mali maana hiyo sio Mali yako ni ya familia endelea kufagilia upande mmoja ukaacha wa pili wanasiasa wanapita ....!