Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,296
Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa ndio wenye CCM, katika kundi hilo wewe haumo, maana sisi pamoja na wewe tulikuwa tunaenda kulala baada Mzee Mpungwe kuzima disco, naamini bado hujasahau .
Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.
Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!
MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .
Chadema iliwahi kuwaamuru watanzania kuipuuza TBC na kuanzia hapo mpaka naandika uzi huu TBC imepuuzwa nchi nzima na hata watangazaji wake wakitangaza bila kuvaa nguo hakuna mwananchi atakayeangalia TBC.
Achana na Chadema jikite kwenye weledi, hawa watangazaji wanaokuja ambao hawajui hata clouds ilikotoka watakuponza, kutengeneza brand yaweza kuchukua miaka mingi lakini kuiharibu haichukui hata dk 5, kuwa makini mno!
MAJUTO NI MJUKUU, Usije kusema hatukukuambia .