Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Waje kwanza waangalie JF ina majukwaa mangapi,hapo ndio watakutana na jukwaa la ("CELEBRITIES") na watu wote wana uhuru wakuandika wanachotaka kuhusu hawa watu na wahusika wanaotajwa. Pia wana haki ya kuja hapa kupinga lolote baya lilozungumziwa kama sio kweli au kurekebisha tabia kama ni ukweli ili jamii isiwazungumzie maisha yao binafsi na pia wanaweza kuja kutoa shukrani wanaposifiwa.
Sijaona hapa mtu anazungumzia maisha ya jirani yake au rafiki yake, watu wanazungumziwa humu ni wale wanaigusa jamii yetu na ndio maana wanapofanya makosa watu watakuzungumzia kwa vile kazi yako inaigusa hio jamii. Gadner na Kibonde wanatakiwa wajue hilo swala kwamba hili swala sio Tanzania tu bali ni duniani kote.
Kwahiyo kama hawa wawili watakuja kusoma hapa nadhani watapata kujielimisha kwanini wanazungumziwa humu, na wajue JF sio kikundi bali ni watu binafsi tofauti ambao wanawasikiliza kila siku na wamepata uhuru wakutoa maoni yao na ni vizuri sana kwani kwa wao kulalamika imeonesha kwamba ujumbe umewafikia.
Sijaona hapa mtu anazungumzia maisha ya jirani yake au rafiki yake, watu wanazungumziwa humu ni wale wanaigusa jamii yetu na ndio maana wanapofanya makosa watu watakuzungumzia kwa vile kazi yako inaigusa hio jamii. Gadner na Kibonde wanatakiwa wajue hilo swala kwamba hili swala sio Tanzania tu bali ni duniani kote.
Kwahiyo kama hawa wawili watakuja kusoma hapa nadhani watapata kujielimisha kwanini wanazungumziwa humu, na wajue JF sio kikundi bali ni watu binafsi tofauti ambao wanawasikiliza kila siku na wamepata uhuru wakutoa maoni yao na ni vizuri sana kwani kwa wao kulalamika imeonesha kwamba ujumbe umewafikia.