M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Nasikiliza kipindi cha Jahazi hapa cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na Gadna wametumia zaidi ya dakika 5 za kipindi chao wakiponda na kulalamika kuwa JF inajadili mambo binafsi ya watu badala ya kuzungumzia hoja.
WanaJF mnachukuliaje mtazamo huu?
Je, ni kweli kuwa hakuna mambo ya msingi tunayojadiliana hapa jamvini au mwenzetu ni kipofu hatembelei JF zaidi ya kusimuliwa yanayojiri humu??
WanaJF mnachukuliaje mtazamo huu?
Je, ni kweli kuwa hakuna mambo ya msingi tunayojadiliana hapa jamvini au mwenzetu ni kipofu hatembelei JF zaidi ya kusimuliwa yanayojiri humu??