BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Kibonde na mwenzake hakuna hata mmoja aliyesomea taaluma ya uhandishi w habari ni ujanja wa mjini ndio unawafanya waihi, kibonde anategemea kazi ya MC na huyo mwenzia anategema biashara za mkewe wake akiwa kwenye kipindi cha jahazi huwa muda wote ana promoti kazi za mkewake, asipo kuwa studio utamkuta anashinda kwenye pub ya mkewe pale sinza na nduguze wanasimamia biashara ya shemeji.
Kibonde ni mtoto wa nje ya ndoa na pia alisoma muhimbili primary alimaliza 1989 baada ya hapo sijui alikwenda shule gani ya sekondari kipindi hicho walikuwa wanakaa upanga karibu na skauti.
Mwenye data zaidi aendeleze
Kibonde ni mtoto wa nje ya ndoa na pia alisoma muhimbili primary alimaliza 1989 baada ya hapo sijui alikwenda shule gani ya sekondari kipindi hicho walikuwa wanakaa upanga karibu na skauti.
Mwenye data zaidi aendeleze