Clouds FM yaishambulia JamiiForums

Hey! wakuu sioni sababu ya kujadili suala la Kibonde na mwenzake. Let us concentrate on serious issues.


Kibonde ni mtengeneza habari, ni mtu maarufu, ana wasikilizaji wengi Dar-es-Salaam au Tanzania, huwezi kumdharau.

Awe amesoma, hakusoma, anaongea pumba, hajui kitu, anavaa mashati kijani, meusi, mwisho wa siku ana wasikilizaji wengi, kuna Watanzania anawahubiria, na wanamsikiliza kama Kakobe. Kwani Kakobe kasoma nini? Huwezi kumdharau Kibonde.
 


Kibonde ni mtengeneza habari, ni mtu maarufu, ana wasikilizaji wengi Dar-es-Salaam au Tanzania, huwezi kumdharau.

Awe amesoma, hakusoma, anaongea pumba, hajui kitu, anavaa mashati kijani, meusi, mwisho wa siku ana wasikilizaji wengi, kuna Watanzania anawahubiria, na wanamsikiliza kama Kakobe. Kwani Kakobe kasoma nini? Huwezi kumdharau Kibonde.

Kweli anasikilizaji ambao husikiliza comedy zake na nimaarufu kama yeyote anavyoweza kuwa maarufu kwa tabia yake ...mfano Matonya ,Kihiyo you name them.
Ok cha msingi hapa ni kuwa popurality inasuka kwa watu wengi kwa pumba zake ni wachache watakao msikiliza kwa ushauri .
 
Hana lolote yule naona pesa alizopewa kukipigia debe chama ndo zina mchengua,mi mwenyewe alinikera sana siku hiyo,mi namshauri aachane na mambo ya JF asije sahau kumeza dawa,
 
Hao wametumwa na mafisadi. Unajua mara nyingi ukiwasikiliza wanatumikia kundi fulani ambalo kila mtu analifahamu. Wao sio wandishi wa habari bali ni vibaraka wa mafisadi
 
Hivi Ephraim na Gardner wana elimu gani(off topic)???,wanayo elimu ya Uandishi wa habari??...Sometimes tuwe tunaangalia na uwezo wao wa kielimu..Unaeza kuta si kosa lao....................

Aaah! mkuu wale Clouds huwa wanachukuwa tu... ukiangalia wafanyakazi wao wote ni blaa blaa tu... As long unajua kubwabwaja basi... Sidhani kama wamesomea uandishi wa habari... Ndy maana kina Fina Mango waliamua kutimua coz hamna kitu pale... Hata Masoud Jipanya alishawahi kusema pale aliingia coz alikuwa mjanja wa kujenga hoja wala hakusomea...

Ukiwachunguza almost wote ni form IV leavers...
 
Kama kuna mtu alishawahi kumsikiliza kibonde na Gadna utaona kuwa wameshatumwa na mafisadi na kwa kuwa jamii forum inaongea ukweli basi wanatumiwa sasa ku-change mind set za watu. Ila kizuri kuliko vyote kwenye jamii forum hakuna mchanganyiko wa watu ambao unaweza kuyumbishwa kama "jamii" (Community) ambapo kuna watu wa aina tofauti kiuelewa. Kwenye jamii forum kuna wakereketwa na wanaojua issues toka imeanza na ndio maana imejichukulia umaaarufu mpaka na wenyewe wameijua na kutia wasi wasi. Mimi kwa mtazamo wangu naona kama hii ni success ya jamii forum ukisikia watu wanaanza kuogopa. Hii ni mwanzo na bado maana nimesikia jamii forum wanataka kuanzisha bulletin ambayo itakuwa inasambazwa nchini kote kwa issue zinazoihusu jamii ambazo zitakuwa zikijadiliwa (this is joke).
 
wale jamaaa ni wapuuzi wa mwisho.

naomba kufunga mjadala huu rasmi.

kwa nin tujadili watu wasiona manufaa kwa taifa?
njaa inawasumbua sana wale jamaa
 
Hao kina Kibonde na Gadner ni failures wa darasa la 4. Kinachowaokoa no uswahili tu hawakosi umbea na porojo za hovyo hovyo. Eti mtangangazaji wa RADIO CLOUDS naye waweza kumwita RADIO ANOUNCER? Kuweni makini jamani .Hawa ni washereheshaji wa kichten parties na Mikusanyioko ya rusha roho ...sana sana wakiongezea BONGO FlAVOUR wanajiona ndio wamefika kweli kweli. Gve me abreak .LOL
 
WASTAGE OF TTIME TO DISCUSS THESE PUPPETS AROUND HERE!
Hawana hadhi ya kudiscusiwa na sisi, watu wa taarabu wale!

I see them hust as a group of beggers, and agents of mafisadis.
 
'A word to the wise man suffices'
Hatuwezi kujadili issue za watu wasio na upeo kama kina kibonde, kama wanataka waweke CV zao kwanza. Vinginevyo tuwaache wakaendelee kuwa viburudisho vya watu kwenye kitchen party
 
Ndio kazi yao na maisha walioyachagua.... watakula wapi...! vinginevo watakosa tiketi za bure za shows na ku-party!!!!
WAPUUZENI!!
 
Nlifikiria mletaji wa post hii angelituwekea hicho walichosema hasa. Mimi nahisi kuna ukweli wa waliyoyaongea kwa kiasi hicho hicho mleta post hii alichotujuvya.

Na majibu yaliyofuata baada ya post hii, mengi yao yameakisi kule kule kwanye madai ya walalamikiwa ie Kibonde na Gadna, watu badala ya kujadili uhalali wa madai yao, wamekwenda kwenye vitu visivyonamsingi wowote kwenye hoja yao au malalamiko yao, masuala ya elimu, nani kawatafutia kazi za utangazaji, itikadi zao za siasa hazihusu kitu kwenye mada hii au madai waliyoyatoa zaidi ya kuthibitisha kile wanachokilalamikia humu jamvini. Hayo ndiyo yale mambo binafsi wanayolalamika kuwa jamvini humu yanashikiwa bango kuliko hoja za maana.

Sote tunakumbuka majadala wa kipuuzi uliowahi kuletwa humu jamvini kuhusu "ukabila" wa mwanamziki nguli, Lady jaydee. Mjadala ule ni wazi kuwa uligusa maisha yake binafsi zaidi kuliko mambo mengi ya maana ambayo unaweza kumuongelea mtu kama Jay dee, ukabila wa mtu ni mambo yanayomhusu mwenyewe unless otherwise, ameyaweka mwenyewe katika mjadala wazi unaoleweka na siyo mtu akurupuke tu kuja na mada ihusuyo mambo ya mtu kujisifia tu kwa raha zake.

Nionavyo, watu humu wabadilike, waache kujifanya kujuwa kwingi na kudhihirisha kuelimika kwao kudogo, ambako wao wanakuona kukubwa, kwa kuacha kujadili "issues" na kujadili watu, hayo ni mambo ya walioishiwa na hoja kama vile mwanamme mpumbavu anaposhindana na mwanamke kwa maneno, mwishowe akishindwa anaamua kurusha ngumi. Tubadilikeni jamani! na si kila anayesema ukweli zidi yetu aonekane adui au haipendi JF, sisi si malaika kama kila kitu tupo sawa, tunakosea na tunawakosea watu, kama waungwana na wasomi kweli, tunavyojidai, basi tukubali kujisahihisha tunapoikosea, siyo kupayukwa payukwa pale ukweli unapotugusa.



Umesema sawa Mkulu,
Hasa umo kwenye rangi,kuna watu humu wanadhani kuwa member wa JF ni kibari cha kutukana watu ,tu kwa sababu unawafahamu kwa uchache na wenyewe hawajuu kwamba wewe ndio unaye mwaga mtandaoni yale machache unayo yajua kuhusu wao.
Elimu haipatikani shule au kwa kwenda na kukaa darasani tu,Waungwana.


 
'A word to the wise man suffices'
Hatuwezi kujadili issue za watu wasio na upeo kama kina kibonde, kama wanataka waweke CV zao kwanza. Vinginevyo tuwaache wakaendelee kuwa viburudisho vya watu kwenye kitchen party

CV yako iko wapi tuijadili kwanza?
 
Sishangai kusikia ya Cloud FM na hao akina vibonde, In most cases they always make noises! Hakuna hoja huyu anakuja na hili huyu analake! Its for laymen huwezi kukuta mtu mwenye upeo wa kuchanganua mambo anasikiliza Mawingu FM! Watu wenyewe ni vijani, Ukiona kijana wa leo yuko green ujue huyo anatafuta kula tu! Porbably shule ndo hivo tena unatumia hako ka jina kujishikiza!
 


Kibonde ni mtengeneza habari, ni mtu maarufu, ana wasikilizaji wengi Dar-es-Salaam au Tanzania, huwezi kumdharau.

Awe amesoma, hakusoma, anaongea pumba, hajui kitu, anavaa mashati kijani, meusi, mwisho wa siku ana wasikilizaji wengi, kuna Watanzania anawahubiria, na wanamsikiliza kama Kakobe. Kwani Kakobe kasoma nini? Huwezi kumdharau Kibonde.

Karibu JF Sheikh...
 
gadner kalalamikiwa na mkewe kama jf tunamfatafata,na mzee kuonyesha naye yumo akaenda kutunanga kwenye kipindi chake,huyo kibonde,ni kibonde kweli km jina lake,maana kwaakili yake anajua jf ni mwiba wa chama cha majambawazi,nayeye kashajiunga sasa anajipromote ili wampe ulaji wa kubwabwaja kwenye mikutano yao,wote wanatetea ugali wao tu hawana lolote,maana gadna mkewe akinuna inabidi alale sebuleni na kupelekwa outing hakuna.

ni hapo tu BK

Pole sana B, ....Naona jamaa wamekuchefua kweli kweli.

Mimi nilidhani Clouds wanashughulika na muziki (+ burudani nyingine na usanii sanii). Wameanza lini kujadili hoja? Hiyo ndo taabu ya kuingia uwanjani bila jezi wala mazoezi. Hata hivyo naungana na baadhi ya wadau kwamba tuwanange kiaina aina ili waende shule kwanza wajifunze jinsi ya kushusha nondo badala ya usanii 24/7.

Mi nlisha achana nao kitambo hao.....upuuzi wao usiniumize kichwa ( wacha vijana watumike (vibaya))
 
Nlifikiria mletaji wa post hii angelituwekea hicho walichosema hasa. Mimi nahisi kuna ukweli wa waliyoyaongea kwa kiasi hicho hicho mleta post hii alichotujuvya.

Na majibu yaliyofuata baada ya post hii, mengi yao yameakisi kule kule kwanye madai ya walalamikiwa ie Kibonde na Gadna, watu badala ya kujadili uhalali wa madai yao, wamekwenda kwenye vitu visivyonamsingi wowote kwenye hoja yao au malalamiko yao, masuala ya elimu, nani kawatafutia kazi za utangazaji, itikadi zao za siasa hazihusu kitu kwenye mada hii au madai waliyoyatoa zaidi ya kuthibitisha kile wanachokilalamikia humu jamvini. Hayo ndiyo yale mambo binafsi wanayolalamika kuwa jamvini humu yanashikiwa bango kuliko hoja za maana.

Sote tunakumbuka majadala wa kipuuzi uliowahi kuletwa humu jamvini kuhusu "ukabila" wa mwanamziki nguli, Lady jaydee. Mjadala ule ni wazi kuwa uligusa maisha yake binafsi zaidi kuliko mambo mengi ya maana ambayo unaweza kumuongelea mtu kama Jay dee, ukabila wa mtu ni mambo yanayomhusu mwenyewe unless otherwise, ameyaweka mwenyewe katika mjadala wazi unaoleweka na siyo mtu akurupuke tu kuja na mada ihusuyo mambo ya mtu kujisifia tu kwa raha zake.

Nionavyo, watu humu wabadilike, waache kujifanya kujuwa kwingi na kudhihirisha kuelimika kwao kudogo, ambako wao wanakuona kukubwa, kwa kuacha kujadili "issues" na kujadili watu, hayo ni mambo ya walioishiwa na hoja kama vile mwanamme mpumbavu anaposhindana na mwanamke kwa maneno, mwishowe akishindwa anaamua kurusha ngumi. Tubadilikeni jamani! na si kila anayesema ukweli zidi yetu aonekane adui au haipendi JF, sisi si malaika kama kila kitu tupo sawa, tunakosea na tunawakosea watu, kama waungwana na wasomi kweli, tunavyojidai, basi tukubali kujisahihisha tunapoikosea, siyo kupayukwa payukwa pale ukweli unapotugusa.

Wewe jamaa ni KIBOKO uliyoyasema YOTE ni ukweli mtupu, na hii inadhihirisha akina KIBONDE wa G wanasema UKWELI
 
Unajua fani ya utangazaji bongo imekuwa kama usanii, kwa kusikika redioni jamaa hawa wanajiona matawi kinoma. kibaya zaidi badala ya kutangaza habari nzuri za mambo ya maana. wanakaa wanapiga porojo za vijiweni. Hawana kitu hawa kazi kujipendekeza tu kwa watu.
 
Back
Top Bottom