CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
Kumbe pale katikati alijaza watu na sio wachezaji?
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
we huna hata akili embu toka bwanaa
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
Mitoma hakusukumwa kama Milner alivyomsukuma Mudryk
Colwill hakunawa mpira ulimbabua kichwa
Penalty ya Chelsea ni 50/50 kimaamuzi
Adhabu kama hizi marefa wanakuwa na room ya kuam ua na mara nyingi wanatofautiana
Tofauti ni kwamba msukumo wa Milner ulimuadhiri naman gani Mudryk kwenye kwenda kujaribu kufunga goli
Ukweli ni kwamba Milner alimsukuma kwa mkono Mudryk japo sio kwa nguvu kubwa lakini ilitoasha kusababisha debate na debate kama hizi ni za kawaida kwenye footbal
Wanafikiri sio penalty watakuja na genuine reasons za kutosha kunyima penalty na wanasema ni penalty nao watakuja na sababu lukuki za kudai ni penalty
Ila mwisho wa siku Refa hafanyi maamuzi kwa debate au kupiga kura, yeye anadictate na ndio ustaarabu wa football
 
Leo nimeshangaa tuko nusu poch anamtoa Jackson na mudrik Kwa pamoja na Hawa wachezaji wawili walifanya mabeki wote wa Brighton wakae nyuma Kwa sababu ya speed na kuhamahama Kwao uwanjani ,matokeo yake points tatu tumepata Kwa tabu sana
 
Bora Galagar ajipumzikie, mana kuumia aligoma. Gallagah ndio anaetunyimaga ushindi. Game tutakayocheza bila Galagah lazima tushinde si chini ya goli mbili. Tunzeni hii
 
Mitoma hakusukumwa kama Milner alivyomsukuma Mudryk
Colwill hakunawa mpira ulimbabua kichwa
Penalty ya Chelsea ni 50/50 kimaamuzi
Adhabu kama hizi marefa wanakuwa na room ya kuam ua na mara nyingi wanatofautiana
Tofauti ni kwamba msukumo wa Milner ulimuadhiri naman gani Mudryk kwenye kwenda kujaribu kufunga goli
Ukweli ni kwamba Milner alimsukuma kwa mkono Mudryk japo sio kwa nguvu kubwa lakini ilitoasha kusababisha debate na debate kama hizi ni za kawaida kwenye footbal
Wanafikiri sio penalty watakuja na genuine reasons za kutosha kunyima penalty na wanasema ni penalty nao watakuja na sababu lukuki za kudai ni penalty
Ila mwisho wa siku Refa hafanyi maamuzi kwa debate au kupiga kura, yeye anadictate na ndio ustaarabu wa football
Mkuu wewe nimekuelewa

Ila mm nimetoa maoni yangu nashangaa watu wananijia juu
 
Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
1701702311454.png
 
Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
View attachment 2833125
Jackson anahitaji fimbo ili awe sirious na mpira, sehemu ya kutoa pasi yeye anakokota mpira mpaka apokonywe mpira...umri wake siyo wa kuachwa azoee ligi.
Sterling yeye ni kama tahira, ajajitambua ni wakati gani alete matani mchezoni...timu inahitaji ushindi yeye analeta utani.
Jana wamemfanya Silva kulalamika kila wakati kwasababu wachezaji hawakabi kwa kuziba mianya ya kuipa wapinzani waguse mipira ndani ya 18 yetu....Jana Silva alikasirika sana kwakweli.
Kocha wetu nae goigoi kama Lamp na Potter yaani awezi kuwakemea ujinga wanaofanya Jackson, Sterling, Conor na James..
 
Nipo serious mkuu, Gallageh anatukaba sana hamjui tu. Ni vile anakipaji ch kukimbia kimbia hovyo kila kona ya uwanja ila akili ya mpira ni 0.0%
Wewe inaonekana hujui mpira ila Ni shabiki wa mpira tuu.. kma ulikuwa hujui Gallagher ndo mchezaji aliyakata mashambulizi mengi mpka Sasa kwenye timu
 
Jackson anahitaji fimbo ili awe sirious na mpira, sehemu ya kutoa pasi yeye anakokota mpira mpaka apokonywe mpira...umri wake siyo wa kuachwa azoee ligi.
Sterling yeye ni kama tahira, ajajitambua ni wakati gani alete matani mchezoni...timu inahitaji ushindi yeye analeta utani.
Jana wamemfanya Silva kulalamika kila wakati kwasababu wachezaji hawakabi kwa kuziba mianya ya kuipa wapinzani waguse mipira ndani ya 18 yetu....Jana Silva alikasirika sana kwakweli.
Kocha wetu nae goigoi kama Lamp na Potter yaani awezi kuwakemea ujinga wanaofanya Jackson, Sterling, Conor na James..
Kumekucha
 
Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
View attachment 2833125
Nafikiri Kasi ya Hawa vijana Bado haijatumika vizuri weka wote wanne ,kushoto mudrik ,kulia sterling,katikati Jackson,nyuma Jackson Palmer Kisha double pivot ya Enzo na Caisedo wawe sitting midfield moto LAZIMA uwake .
 
Tuko uwanjani, leo Palmer kapumzishwa asianze, tuone hii line up itatupa matokeo yapi?

-----------------Jackson--------------------

Mudryk --------- Gallagher ---------- Sterlinmg

--------Caisedo -------------------Enzo------

Colwill--------Badiashile ------Silva -----Disasi

-------------------Sanchez ------------------
Hiki kikosi ondoa Badiashile akae Disasi,kisha kulia Captain James ,hapo Kwa Gallagher muweke Palmer Kisha waambie Caisedo na Enzo wawe sitting modified wasicheze mbali na Colwill,Disasi na Silva ,mpe uhuru Captain James wakati wa kushambulia awe mtu wa Tano mbele akitoka pembeni, Sterling na palmer waingie katikati na kuwa namba kumi wawili ,sterling ana kasi+ unyumbulifu+space manipulation master ,palmer ana utulivu + pasi ya mwisho +good ball sticking ,Enzo afanye wizi kidogo kwenye zone ya tatu kupiga rebound+good ball stricking .Hapa hatukosi top four Poch sijui anakwama wapi.
 
Hii ni hatari sana ,poor marking ,lack of concentration,Kuna blues mwenzangu alipoingia Joe Pedro nikamwambia huyo dogo anajua kuji position atatufunga

Wapinzan wakutupigisha msakl kidogo lazima turuhusu.

Hatuwezi ongoza 1-0 tulilinde hatuwez

Ili kupata matokeo lazima tufunge goal kuanzia 3 tofauti na hapo ni kukaa roho mkononi
 
Back
Top Bottom