lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
At the end of the day mwenye mamlaka ya mwisho kwa wachezaji na uchezaji na mazoezi ni Kocha, hawezi kwepa huyu. Wenye timu wanaweza kumtimua tu lakini hawawezi kumuingilia kwenye maamuzi. Washauri nao ni hivyo hivyo tu, wanamshauri akikataa basi tena. 100% Kocha anawajibika timu ikifanya vizuri au vibaya.Timu sio ya Pochettino, timu ina wamiliki na viongozi kibao kwenye kila idara.
Wanawajibika moja kwa moja kwenye performance ya timu uwanjani.
Nao wanamshauri kocha na pia na wao wanafanyia kazi mapungufu mengine ndani ya uwanja na nje ya uwanja.
Timu ni taasisi sio mali ya kocha.
Kwani ni kipi hakieleweki hapa. Tuanze kumuuliza Boehly kwa nini timu inafanya vibaya? Wao walimaliza upande wao kwenye usajili na kuajiri watum,ishi mbalimbali wa kumsaidia Pochettino.
Benchi la ufundi hawawezi kumuingilia kocha zaidi ya kumsaidia ushauri na mafunzo kwenye nyanja zao
Bado kidogo tu hii Chelsea nitaiacha na kujiuzulu kushabikia mpoira kabisa, mimi siwezi kuwa mshabiki wa Arsenal miaka 10+ bila ushindani wa dhahiri
