Jackson anahitaji fimbo ili awe sirious na mpira, sehemu ya kutoa pasi yeye anakokota mpira mpaka apokonywe mpira...umri wake siyo wa kuachwa azoee ligi.Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
View attachment 2833125
Nipo serious mkuu, Gallageh anatukaba sana hamjui tu. Ni vile anakipaji ch kukimbia kimbia hovyo kila kona ya uwanja ila akili ya mpira ni 0.0%Duuuh
Mkuu uko serious kabisa ama unatania.
Wewe inaonekana hujui mpira ila Ni shabiki wa mpira tuu.. kma ulikuwa hujui Gallagher ndo mchezaji aliyakata mashambulizi mengi mpka Sasa kwenye timuNipo serious mkuu, Gallageh anatukaba sana hamjui tu. Ni vile anakipaji ch kukimbia kimbia hovyo kila kona ya uwanja ila akili ya mpira ni 0.0%
KumekuchaJackson anahitaji fimbo ili awe sirious na mpira, sehemu ya kutoa pasi yeye anakokota mpira mpaka apokonywe mpira...umri wake siyo wa kuachwa azoee ligi.
Sterling yeye ni kama tahira, ajajitambua ni wakati gani alete matani mchezoni...timu inahitaji ushindi yeye analeta utani.
Jana wamemfanya Silva kulalamika kila wakati kwasababu wachezaji hawakabi kwa kuziba mianya ya kuipa wapinzani waguse mipira ndani ya 18 yetu....Jana Silva alikasirika sana kwakweli.
Kocha wetu nae goigoi kama Lamp na Potter yaani awezi kuwakemea ujinga wanaofanya Jackson, Sterling, Conor na James..

Nafikiri Kasi ya Hawa vijana Bado haijatumika vizuri weka wote wanne ,kushoto mudrik ,kulia sterling,katikati Jackson,nyuma Jackson Palmer Kisha double pivot ya Enzo na Caisedo wawe sitting midfield moto LAZIMA uwake .Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
View attachment 2833125
Hii ni hatari sana ,poor marking ,lack of concentration,Kuna blues mwenzangu alipoingia Joe Pedro nikamwambia huyo dogo anajua kuji position atatufungaWiki nyingine tunaruhusu goal la kichwa![]()
Hiki kikosi ondoa Badiashile akae Disasi,kisha kulia Captain James ,hapo Kwa Gallagher muweke Palmer Kisha waambie Caisedo na Enzo wawe sitting modified wasicheze mbali na Colwill,Disasi na Silva ,mpe uhuru Captain James wakati wa kushambulia awe mtu wa Tano mbele akitoka pembeni, Sterling na palmer waingie katikati na kuwa namba kumi wawili ,sterling ana kasi+ unyumbulifu+space manipulation master ,palmer ana utulivu + pasi ya mwisho +good ball sticking ,Enzo afanye wizi kidogo kwenye zone ya tatu kupiga rebound+good ball stricking .Hapa hatukosi top four Poch sijui anakwama wapi.Tuko uwanjani, leo Palmer kapumzishwa asianze, tuone hii line up itatupa matokeo yapi?
-----------------Jackson--------------------
Mudryk --------- Gallagher ---------- Sterlinmg
--------Caisedo -------------------Enzo------
Colwill--------Badiashile ------Silva -----Disasi
-------------------Sanchez ------------------
Hii ni hatari sana ,poor marking ,lack of concentration,Kuna blues mwenzangu alipoingia Joe Pedro nikamwambia huyo dogo anajua kuji position atatufunga
Poch mzembe anang'ang'ana kucheza kw kujihami, ndio mana tukikutana na timu inayo paki tunahangaika. Shida inaanzia kw Ghallgah, weka kiungo mnyumbulifu mwnye kasi. Sio hilo Roboti, alipoangalia ndio huko huko pasi inapelekwa mamaee.Hiki kikosi ondoa Badiashile akae Disasi,kisha kulia Captain James ,hapo Kwa Gallagher muweke Palmer Kisha waambie Caisedo na Enzo wawe sitting modified wasicheze mbali na Colwill,Disasi na Silva ,mpe uhuru Captain James wakati wa kushambulia awe mtu wa Tano mbele akitoka pembeni, Sterling na palmer waingie katikati na kuwa namba kumi wawili ,sterling ana kasi+ unyumbulifu+space manipulation master ,palmer ana utulivu + pasi ya mwisho +good ball sticking ,Enzo afanye wizi kidogo kwenye zone ya tatu kupiga rebound+good ball stricking .Hapa hatukosi top four Poch sijui anakwama wapi.
Usiwe unajibu hoja kw kusema mtu hajui mpira, kila mtu huwa ana mtazamo wake vile anavyoona yeye ni sawa kwake, mimi kwangu Gallagah ni mchezaji mbovu. Yaani tunafeli sana eti Ghallagah ndio mchezaji tegemeo.Wewe inaonekana hujui mpira ila Ni shabiki wa mpira tuu.. kma ulikuwa hujui Gallagher ndo mchezaji aliyakata mashambulizi mengi mpka Sasa kwenye timu
Hicho tu ndio anajua kichwani mwake. ndio mana tukikutana na wanaopaki tunaadhirika.Gallagher ni specialist wa Tackles na kwenye ligi Galagher ni wa nne mbele ya
- Joao Raphinha
- Pedro Podro
- Vinicius Souza
- Cono Gallagher
Akija Nkunku na Lavia naamini Poche atakuwa na choice zaidi, pale no. 10 anatakiwa kiungo mbunifu. Pochettino alimjaribu Enzo hapo ikawa ni balaa tupuPoch mzembe anang'ang'ana kucheza kw kujihami, ndio mana tukikutana na timu inayo paki tunahangaika. Shida inaanzia kw Ghallgah, weka kiungo mnyumbulifu mwnye kasi. Sio hilo Roboti, alipoangalia ndio huko huko pasi inapelekwa mamaee.
Usiwe unajibu hoja kw kusema mtu hajui mpira, kila mtu huwa ana mtazamo wake vile anavyoona yeye ni sawa kwake, mimi kwangu Gallagah ni mchezaji mbovu. Yaani tunafeli sana eti Ghallagah ndio mchezaji tegemeo.
Kwa hiyo na huyo☝️nae hajui mpira? aliemtoa Ghalagah kwnye kikosi chake.




Mnataka ETH afukuzwe kazi?acheni roho mbayaNafikiri Kasi ya Hawa vijana Bado haijatumika vizuri weka wote wanne ,kushoto mudrik ,kulia sterling,katikati Jackson,nyuma Jackson Palmer Kisha double pivot ya Enzo na Caisedo wawe sitting midfield moto LAZIMA uwake .
Hiki kikosi ondoa Badiashile akae Disasi,kisha kulia Captain James ,hapo Kwa Gallagher muweke Palmer Kisha waambie Caisedo na Enzo wawe sitting modified wasicheze mbali na Colwill,Disasi na Silva ,mpe uhuru Captain James wakati wa kushambulia awe mtu wa Tano mbele akitoka pembeni, Sterling na palmer waingie katikati na kuwa namba kumi wawili ,sterling ana kasi+ unyumbulifu+space manipulation master ,palmer ana utulivu + pasi ya mwisho +good ball sticking ,Enzo afanye wizi kidogo kwenye zone ya tatu kupiga rebound+good ball stricking .Hapa hatukosi top four Poch sijui anakwama wapi.
Just imagine.King Kai anawasalimiaView attachment 2834787