Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani nikichoona mbinu pekee ya kuingia Top four ni kufunga magoli mengi
Hamna namna , timu kuna wachezaji wanafanya individual mistakes za kipumbavu Sana hawa watoto .
 
Duuuh.......
Kosa la kocha pale ni nini mkuu?

Makosa yale yale yanajirudia mkuu,

Mpaka sasa sisi ndio tunaongoza kwa Red card, Yellow

Kocha anafanya nini kuhakikisha nidham uwanjan inakuwepo
Ushaona wachezaj wanayellow unashindwa vipi kuwaambia watulize vichwa vyao watulie
Last week James
Leo Galagher
 
3 Points in a hard way
Vijana wamepambana kweli kweli
Sachez hataacha kupewa sifa kwenye hili game leo
Silva na Disasi wamecheza vizuri sana na hata Colwill japo lile goli la kwanza angeweza kughasi mfungaji
 
3 Points in a hard way
Vijana wamepambana kweli kweli
Sachez hataacha kupewa sifa kwenye hili game leo
Silva na Disasi wamecheza vizuri sana na hata Colwill japo lile goli la kwanza angeweza kughasi mfungaji

Kinachoniuma zaidi ni makosa yale yale yanajirudia na kama poch amesharidhika
Mipira ya juu ni kama poch ameshindwa kwenye hili
Game 4 mfululizo tunaruhusu magoal mipira ya juu
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
Maoni yangu
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu

Uliangalia mpira kweli????
Unataka kusema mpira uliomgonga Kwenye kichwa Colwil ni pena?
Na unataka kusema ya mitoma nayo ni pena?

Tuwe tunaangalia mpira na si kusoma hizi commentary za livescore
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
Kumbe pale katikati alijaza watu na sio wachezaji?
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
we huna hata akili embu toka bwanaa
 
CHELSEA 3 BRIGHTON 2 Game kali sana hii leo , Chelsea wameonyesha kitu leo !! Poch leo alikuja na plan ya kujaza watu wengi kati kuharibu kampa kampa ya Brighton na alifanikiwa sana ! Brighton walimiliki mipira bila madhara !! Corner mbili walizo Bata Chelsea ndiyo ziliwapa goli za chap hii mie naita mipira ya kufa ( kutenga ) maana ki movement Chelsea vwalifeli , Chelsea wana pata goli la tatu kwa kosa la refa kushindwa kutafsiri VAR , Penalty" mchongo " 🥸🥸 penalty waliyo pewa Chelsea kosa kama hilo Brighton ana nyimwa penalty na refa hata kwenye VAR haendi ki check 🥸🥸🥸 , dakika za usiku kabisa beki wa Chelsea ana rukia mpira juu na ku save kwa mkono , refa ana dai hand ball no penalty hand ball mpira ufuate mkono si mkono ufuate mpira , hayo mambo kwa Bongo " refa kapewa bahasha kumbe ni weredi Mdogo tu
Mitoma hakusukumwa kama Milner alivyomsukuma Mudryk
Colwill hakunawa mpira ulimbabua kichwa
Penalty ya Chelsea ni 50/50 kimaamuzi
Adhabu kama hizi marefa wanakuwa na room ya kuam ua na mara nyingi wanatofautiana
Tofauti ni kwamba msukumo wa Milner ulimuadhiri naman gani Mudryk kwenye kwenda kujaribu kufunga goli
Ukweli ni kwamba Milner alimsukuma kwa mkono Mudryk japo sio kwa nguvu kubwa lakini ilitoasha kusababisha debate na debate kama hizi ni za kawaida kwenye footbal
Wanafikiri sio penalty watakuja na genuine reasons za kutosha kunyima penalty na wanasema ni penalty nao watakuja na sababu lukuki za kudai ni penalty
Ila mwisho wa siku Refa hafanyi maamuzi kwa debate au kupiga kura, yeye anadictate na ndio ustaarabu wa football
 
Leo nimeshangaa tuko nusu poch anamtoa Jackson na mudrik Kwa pamoja na Hawa wachezaji wawili walifanya mabeki wote wa Brighton wakae nyuma Kwa sababu ya speed na kuhamahama Kwao uwanjani ,matokeo yake points tatu tumepata Kwa tabu sana
 
Bora Galagar ajipumzikie, mana kuumia aligoma. Gallagah ndio anaetunyimaga ushindi. Game tutakayocheza bila Galagah lazima tushinde si chini ya goli mbili. Tunzeni hii
 
Mitoma hakusukumwa kama Milner alivyomsukuma Mudryk
Colwill hakunawa mpira ulimbabua kichwa
Penalty ya Chelsea ni 50/50 kimaamuzi
Adhabu kama hizi marefa wanakuwa na room ya kuam ua na mara nyingi wanatofautiana
Tofauti ni kwamba msukumo wa Milner ulimuadhiri naman gani Mudryk kwenye kwenda kujaribu kufunga goli
Ukweli ni kwamba Milner alimsukuma kwa mkono Mudryk japo sio kwa nguvu kubwa lakini ilitoasha kusababisha debate na debate kama hizi ni za kawaida kwenye footbal
Wanafikiri sio penalty watakuja na genuine reasons za kutosha kunyima penalty na wanasema ni penalty nao watakuja na sababu lukuki za kudai ni penalty
Ila mwisho wa siku Refa hafanyi maamuzi kwa debate au kupiga kura, yeye anadictate na ndio ustaarabu wa football
Mkuu wewe nimekuelewa

Ila mm nimetoa maoni yangu nashangaa watu wananijia juu
 
Naona kama Mudryk akicheza na Jackson kama wanaelewa sana tofauti na wakicheza wengine. Au ni mimi tu naliona hili?
1701702311454.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom