Bado unamuhesabia Liverpool tu.Hongereni kenge. Sasa mmempa tottenham usongo wa kuwapiga city (na liverpool), kitu ambacho sisi tunataka
😄😄😄 sisi pia tunaweza kujiharibia. Tulikuwa tunataka sana Liverpool watusindikize kushindana na Pep ila wameamua kutuachia msalaBado unamuhesabia Liverpool tu.
Kutupiku tukijisahau, msimu huu ama kama 10 mbeleni?Habarini the blues hongereni sana timu yetu imekuwa title contender dk za mwishoni hadi Arsenàl na Liverpool wanashangaa tunaweza tukawapiku wakijisahau. CUCU amekuwa jogoo pale katikati. Pal.wr amekuwa kdb na Caiceďo amekuwa Caicedo. Galagher na Caicedo untouchiable. Badiashile a.egeuka kuwa Goodshile akicheza na Chalobah
Tody anakenua meno ya furàha ti kwa sababu ya mahèla mengi
1) Maatsen bei imepanda
2) Galagher bei imepanda
3) Chalobah dàu juu sana
4) Gilchrist akijifanya anajua mpira naye atapigwa mnada
Sisi Todd and co tunapenda mahela kuliko timu na makombe
Kwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.Wakisema hii timu ina average players
Warudi hapa na kutaja mmoja mmoja nàni takataka?
Wasimtaje tu Mudryk, huyo bado muda wàke atawashushua wengi
Ability ya coach jana na game za aston villa ndio tumepata point ila Poch ni mjinga kitu anachokitumia jana ndio alichokitumia pre season why aliacha hiyo approach wakat league imeanza yani anashtuka almost league ishaisha na tuko katika hali mbayaKwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.
Ili muendelee kuwa nae next season. We call it karma or fate 😁Ability ya coach jana na game za aston villa ndio tumepata point ila Poch ni mjinga kitu anachokitumia jana ndio alichokitumia pre season why aliacha hiyo approach wakat league imeanza yani anashtuka almost league ishaisha na tuko katika hali mbaya
Imemchukua miezi 8+ kurudi kwenye kitu alichokuwa anakifanyia kazi pre season why .
Mkuu nahisi kuna point umeimiss hapo,Kwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.
Me sitaki aendelee sio flexible,Ili muendelee kuwa nae next season. We call it karma or fate 😁
Ndugu kila kitu ni process hasa kwenye hii FOOTBALL, Kila mara kocha na bench lake watafanya kila wanachoona kinawafaa ili mradi kutimiza kile wanachokusudia. Kwa hiyo nikuombe kuwa na subira kwasababu hata hiyo formation uliyoiona jana katumia yawezekana mechi ijayo akaja na formation nyingine tofauti. Kwa sababu yeye pengine anahitaji zaidi ya hiki ambacho pengine sisi tunahisi ni bora. Lakini pia kila mfumo wa uchezaji huendana na wachezaji waliopo kipinfi kile cha pre season hatukua injuries tulizonazo sasahivi.Ability ya coach jana na game za aston villa ndio tumepata point ila Poch ni mjinga kitu anachokitumia jana ndio alichokitumia pre season why aliacha hiyo approach wakat league imeanza yani anashtuka almost league ishaisha na tuko katika hali mbaya
Imemchukua miezi 8+ kurudi kwenye kitu alichokuwa anakifanyia kazi pre season why .