Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Oya wakali wa Soka safi ninaowakubali sana wapigeni wale Manchester mumfukuzishe Kocha wao kwanza wanajisifu wanasema watakupigeni nyingi
 
Chelsea tumeanzisha kampeni yetu ya KIMBIZA MWIZI ambayo inakwenda kuanza leo 6 Desemba kwenye mechi dhidi ya Red devil wa mchongo kila anayekuja mbele yetu sisi tunalala nae hata kama ana ukimwi.

Matokeo ni mawili tuu Chelsea kushinda au mpinzani kushindwa.
 
Hiki kikosi ondoa Badiashile akae Disasi,kisha kulia Captain James ,hapo Kwa Gallagher muweke Palmer Kisha waambie Caisedo na Enzo wawe sitting modified wasicheze mbali na Colwill,Disasi na Silva ,mpe uhuru Captain James wakati wa kushambulia awe mtu wa Tano mbele akitoka pembeni, Sterling na palmer waingie katikati na kuwa namba kumi wawili ,sterling ana kasi+ unyumbulifu+space manipulation master ,palmer ana utulivu + pasi ya mwisho +good ball sticking ,Enzo afanye wizi kidogo kwenye zone ya tatu kupiga rebound+good ball stricking .Hapa hatukosi top four Poch sijui anakwama wapi.
Poch kama kanisikia kasoro cucu ,upande wa kushoto angekaa Colwill Kisha kulia James ,ngoja nione atafanya Nini
 
Poch kama kanisikia kasoro cucu ,upande wa kushoto angekaa Colwill Kisha kulia James ,ngoja nione atafanya Nini
Mauricio Pochettino kuhusu Reece James kutoanza:

"Reece alicheza dhidi ya Newcastle na kisha akasimamishwa dhidi ya Brighton. Kwa sababu tofauti tunahitaji kumuangalia yeye na fitness yake." "Anaanzia benchi kukiwa na uwezekano wa kucheza kipindi cha pili na kisha kujenga tena ujasiri wake kwa siku zijazo, awe imara katika uchezaji wake."

Mauricio Pochettino on Reece James not starting:

"Reece played against Newcastle and then he was suspended against Brighton.

For different reasons we need to try to look after him and his fitness.""He starts from the bench with the possibility to maybe play in the second half and then to build again his confidence for the future, to be solid in his performance."
 
Gallagher kwa tuliowahi kukusema vibaya au kutotambua mchango wako tunaomba utusamehe. Game ya leo pengo lako dhahiri linaonekana
0_GettyImages-1748707373.jpg


Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Wala Galagher kukosekana sio pengo pengo kubwa ni Pochettino kuendelea kuwa kocha
 
Kuangalia mechi za Chelsea ni kujidhalilisha tu, hakuna lugha nzuri zaidi ya hiyo
 
hili timu letu ni bovu tusipeane moyo yani mechi kama hii inachukiza sana makosa ni mengi wanacheza tu nyuma kipa ndio tumepigwa footwork hana kudaka majanga mbele hakuna watu yani leo tumefungwa kwa kuonyesha kabisa bora manyumbu wana fighting spirit kuliko chelsea
 
Wale wanaomtetea Pochettino token i hapa muendelea kumtetea.
Huyu jamaa hatatufikisha popote, ni aibu tu. Man United leo walikuwa wabovu kuliko sisi, ila tumeruhusu kufungwa kijinga. Mipira tunapoteza kama wamelazimishwa kufika uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom