Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tetesi za Pogba zinaendelea..jana alionekana jijini London karibu kabisa na Stanford Bridge..
article-2687987-1F8DB00100000578-77_634x402.jpg

Huyu kijana anakipaji cha hali ya juu kama mour atamchukua tutakuwa tumepata bonge la mchezaji kumbuka wachezaji wa kiafrika walivyo na sprit ya ushindi
 
Ni kweli ana uwezo.
Lakini mimi nafikiria faida nyingine za kuwa na wachezaji aina mbalimbali, Kwanza inasaidia timu inapotaka kubadili mfumo wa kiuchezaji.
Mfano: Unapotaka kucheza na Man City ni tofauti na kucheza na Arsenal Fc.
Au unapocheza na Sunderland AFC ni tofauti na kucheza mechi ya UCL vs Bayern.


Mwanzoni tulitaka kumsajili Toni Kroos, kwa sababu ni kiungo mwenye mashuti ya mbali..na kwa kweli tunahitaji mtu kama Kroos wa sasa.

Kama Pogba atakuja itakuwa poa pia..:cool2:



Huyu kijana anakipaji cha hali ya juu kama mour atamchukua tutakuwa tumepata bonge la mchezaji kumbuka wachezaji wa kiafrika walivyo na sprit ya ushindi
 
Habari yako Mkuu EMT, kitambo sana sijasoma nondo zako hata kwenye WC sikuoni, turudi kwenye hoja
Nakumbuka wakati wa Di Matteo, David Luiz alimaliza ule msimu vizurj sana na pamoja na mapungufu yake kwenye nafasi yake, washabiki wengi wa Chelsea walikua wanapenda jamaa arithi mikoba ya JT, nadhani na mimi nililileta hapa nikiwakilisha tu hayo maoni.
Kuna baadhi ya leadership skills ambazo Luiz anazo, wanasema jamaa ni very vocal kwenye dressing room na huwa anapresent a brother figure kwa mayoso na hata watu wa age yake na ukaribu wake na washabiki
Lakini akiwa uwanjani kwa kweli hawezi kulead by example, hawezi kupanga wenzake kwa sababu yeye mwenyewe hawezi kujipanga na sometimes yuko too emotional.
Naomba kukiri hapa kwamba nilikosea sana kudhani huyu bwana anaweza kuwa Captain wa team kama ya Chelsea

Ulichokisema nina kusuport 100% luis anakipaji kikubwa na pia ni mpiganaji tatizo lake ndilo hilo ana too emotional kiasi kwamba anaweza kusababisha foul unnecessary hata siku Terry alivyoumia mechi ya atletico na yeye kuchukua mikoba bado sisi washabiki tulikuwa na hofu ingawa aliperform vizur.Huko aendako anatakiwa kubadilika
 
Last edited by a moderator:
What about this..

Chelsea-formation-tactics.png

Kila ukipanga kikosi unamuacha kabisa Mosalah, why?
Kwa maana hiyo mtakua mnacheza 4-3-3? Kwa hali inavyokwenda hizo beki za pembeni zitabadilishwa tu, Fillipe yuko njiani, sasa sijui kati ya Brana na Azplicueta nani atacheza kulia.
Nasoma kuwa kijana wetu Paul Pogba ameonekana mitaa ya karibu na Stamford Bridge, mko tayari kutupa £60m?
 
60 gawa kwa 2.

Kwenye Premier League timu ya kwanza kutumia 4-3-3 kwa mafanikio CHELSEA FC najua unakumbuka 2004-2005.

Hata Oscar hayupo hapo..[ikitokea kaumia kama Neymar]
Nimebandika hiyo formation kujibu swali la mkuu EMT kuhusu kupata namba RAMIRES..

Mo Salah ni muhimu, na tena msimu huu atakuwa hatari sana kwa Hazard.

KWA NINI?

Mo Salah: mwepesi, anachenga za hatari, mfungaji, hakai na mpira muda mrefu...




Kila ukipanga kikosi unamuacha kabisa Mosalah, why?
Kwa maana hiyo mtakua mnacheza 4-3-3? Kwa hali inavyokwenda hizo beki za pembeni zitabadilishwa tu, Fillipe yuko njiani, sasa sijui kati ya Brana na Azplicueta nani atacheza kulia.
Nasoma kuwa kijana wetu Paul Pogba ameonekana mitaa ya karibu na Stamford Bridge, mko tayari kutupa £60m?
 
60 gawa kwa 2.

Kwenye Premier League timu ya kwanza kutumia 4-3-3 kwa mafanikio CHELSEA FC najua unakumbuka 2004-2005.

Hata Oscar hayupo hapo..[ikitokea kaumia kama Neymar]
Nimebandika hiyo formation kujibu swali la mkuu EMT kuhusu kupata namba RAMIRES..

Mo Salah ni muhimu, na tena msimu huu atakuwa hatari sana kwa Hazard.

KWA NINI?

Mo Salah: mwepesi, anachenga za hatari, mfungaji, hakai na mpira muda mrefu...

Pogba hamuwezi mpata kwa £30m labla mtupe na mtu kama Ramires au Mo Salah maana namuhusudu sana huyo dogo, si unajua Juventus ni wabishi kwenye kuuza wachezaji wake!
 
Wakuu nathubutu kusema Blues bado hawajafanya usajili wa maana,huwezi kufananisha na Arsenal waliomnunua Alexis,Man u waliomnunua Di maria,Man city ndo usiseme.
huu msimu utakuwa una walakini sana kwetu kwa mtindo huu.
 
Wakuu nathubutu kusema Blues bado hawajafanya usajili wa maana,huwezi kufananisha na Arsenal waliomnunua Alexis,Man u waliomnunua Di maria,Man city ndo usiseme.
huu msimu utakuwa una walakini sana kwetu kwa mtindo huu.

wewe kinachokusumbua ni ushabiki badala ya kuangalia ubora wa mchezaji mmojammoja kwa kila timu hivi unafikiri sanchez atazuia arsenal msifungwe , kinachotakiwa katika timu ni ubora wa timu nzima na sio mchezaji mmoja.
Hata ukifananisha sanchez na Diego wa chelse katika ubora diego ana ubora zaid ya huyo unayemsema
 
wewe kinachokusumbua ni ushabiki badala ya kuangalia ubora wa mchezaji mmojammoja kwa kila timu hivi unafikiri sanchez atazuia arsenal msifungwe , kinachotakiwa katika timu ni ubora wa timu nzima na sio mchezaji mmoja.
Hata ukifananisha sanchez na Diego wa chelse katika ubora diego ana ubora zaid ya huyo unayemsema
mimi sishabikii Arsenal wala man u wala man city,mi ni blues dam,lakini hata kwenye kombe la dunia nadhani umeona mambo aliyofanya Sanchez kuliko hata Diego,unaposema unachoangalia ni ubora wa timu haina mantiki pia kama hakuna mchezaji ambaye ni bora kuliko,kama unaangalia timu lote,je Argentina ingeenda fainali bila Messi?pia nadhani umeona Brazil ilivyopoteza Neymar alivyokosa mechi ya majuzi
 
mimi sishabikii Arsenal wala man u wala man city,mi ni blues dam,lakini hata kwenye kombe la dunia nadhani umeona mambo aliyofanya Sanchez kuliko hata Diego,unaposema unachoangalia ni ubora wa timu haina mantiki pia kama hakuna mchezaji ambaye ni bora kuliko,kama unaangalia timu lote,je Argentina ingeenda fainali bila Messi?pia nadhani umeona Brazil ilivyopoteza Neymar alivyokosa mechi ya majuzi

sasa kwa maoni yako ni bora tungemchukua sanchez kuliko diego
 
Mkuu Viol, kumbuka kwamba tayari tuna wachezaji zaidi ya 24 wanacheza kwa mkopo. Sasa timu inaanza mazoezi ya pamoja na wachezaji hao wote...

Pia kumbuka tayari Chelsea ina wachezaji wengi wanaocheza nafasi ya kiungo[na ushambuliaji], wengi sana na wenye ubora wa hali ya juu.Fabregas,Marko Mari,Oriol Romeu,Willian,Hazard,Oscar
,Lukaku, Ba, Torres, Ramires, Matic, Mikel Obi, etc..

wewe unachotaka ni nini hasa ambaocho CHELSEA FC hawajafanya?
tunasajili kwa kufuata mahitaji ya timu..si kusajili tu kwa sababu ARSENAL wanasajili..

kumbuka tuliwafunga 6-0 hao hao ARSENAL na wachezaji hawa hawa tulionao...:A S-eek:




mimi sishabikii Arsenal wala man u wala man city,mi ni blues dam,lakini hata kwenye kombe la dunia nadhani umeona mambo aliyofanya Sanchez kuliko hata Diego,unaposema unachoangalia ni ubora wa timu haina mantiki pia kama hakuna mchezaji ambaye ni bora kuliko,kama unaangalia timu lote,je Argentina ingeenda fainali bila Messi?pia nadhani umeona Brazil ilivyopoteza Neymar alivyokosa mechi ya majuzi
 
mimi sishabikii Arsenal wala man u wala man city,mi ni blues dam,lakini hata kwenye kombe la dunia nadhani umeona mambo aliyofanya Sanchez kuliko hata Diego,unaposema unachoangalia ni ubora wa timu haina mantiki pia kama hakuna mchezaji ambaye ni bora kuliko,kama unaangalia timu lote,je Argentina ingeenda fainali bila Messi?pia nadhani umeona Brazil ilivyopoteza Neymar alivyokosa mechi ya majuzi


je, Ujerumani imeingia fainali kwa kumtegemea nani?
kama wewe ni mtu wa Chelsea FC, unapaswa kuwa mwelewa kwamba hapa CHELSEA FC hatujawahi kumtegemea mchezaji mmoja tu, au kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja.

MIFANO:

Chelsea 2- 0 PSG. hii mechi Hazard alianza, lakini kocha alipoona kwamba kijana hayupo fiti kwa mapambano, alimtoa hata kabla ya dakika 20, akaingia Andre Schurrle..ambaye alifunga goli la kwanza. Kipindi cha pili akamtoa kipenzi cha mashabiki, one of the Chelsea legends, Frank Lampard na kumwingiza uwanjani..Demba Ba..dakika ya 87 tukapata ushindi..kupitia goli alilofunga Ba.


MFANO #2, Chelsea FC vs Barcelona 2012. Tulikuwa tumefungwa goli 1, na ndipo JT akatolewa kwa kadi nyekundu, tukafungwa goli la 2...lakini kabla ya mapumziko Ramires akafunga goli 1, kipindi cha pili dakika za mwisho mwisho..Fernando Torres akasawazisha na kuisaidia Chelsea Fc kuingia fainali na hatimaye kuchukua ubingwa..


NB: Chelsea Fc ina wachezaji 3 kwenye timu ya taifa ya Brazil, lakini hiyo haina uhusiano wowote na kiwango cha Chelsea..:cool2:
 
Maoni ya mkuu Viol huwa yananisikitisha sana wakati mwingine..
Mkuu Viol nadhani yeye ni mshabiki wa wachezaji fulani tu, hajui tofauti ya kupenda timu na kumpenda mchezaji au wachezaji..:A S-eek:



sasa kwa maoni yako ni bora tungemchukua sanchez kuliko diego
 
je, Ujerumani imeingia fainali kwa kumtegemea nani?
kama wewe ni mtu wa Chelsea FC, unapaswa kuwa mwelewa kwamba hapa CHELSEA FC hatujawahi kumtegemea mchezaji mmoja tu, au kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja.

MIFANO:

Chelsea 2- 0 PSG. hii mechi Hazard alianza, lakini kocha alipoona kwamba kijana hayupo fiti kwa mapambano, alimtoa hata kabla ya dakika 20, akaingia Andre Schurrle..ambaye alifunga goli la kwanza. Kipindi cha pili akamtoa kipenzi cha mashabiki, one of the Chelsea legends, Frank Lampard na kumwingiza uwanjani..Demba Ba..dakika ya 87 tukapata ushindi..kupitia goli alilofunga Ba.


MFANO #2, Chelsea FC vs Barcelona 2012. Tulikuwa tumefungwa goli 1, na ndipo JT akatolewa kwa kadi nyekundu, tukafungwa goli la 2...lakini kabla ya mapumziko Ramires akafunga goli 1, kipindi cha pili dakika za mwisho mwisho..Fernando Torres akasawazisha na kuisaidia Chelsea Fc kuingia fainali na hatimaye kuchukua ubingwa..


NB: Chelsea Fc ina wachezaji 3 kwenye timu ya taifa ya Brazil, lakini hiyo haina uhusiano wowote na kiwango cha Chelsea..:cool2:

Nadhani kama ni muelewa amekusoma ingawa anaonekana kama mamuluki kutoka kwa wapinzani wetu
 
Mkuu Viol ni mdau wa Chelsea Fc, ..ila tu wakati mwingine anateleza na kujisahau..hasa anapotaka sisi tuige Arsenal Fc na Man utd hapo ndo mie nashangaa..

sisi tuige watu ambao malengo yao na yetu hayalingani?

CHELSEA FC - BLUE FOREVER.



Nadhani kama ni muelewa amekusoma ingawa anaonekana kama mamuluki kutoka kwa wapinzani wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom